Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwakikos chako hicho , tutaona mengi ....

Yaan kuondoka hazard ndio mmepotea hivo, mmekuwa average team ,nakupa mech 10 tu , kama utakuwa ndan ya top 6 ,bas EPL mnachukua , amin hivo ,

Hata Chelsea ikiwa mbovu itachukua angalau kakombe, wewe na arsenal imara mtaishia na 6 kama owen alivyoona
 
Hata Chelsea ikiwa mbovu itachukua angalau kakombe, wewe na arsenal imara mtaishia na 6 kama owen alivyoona
Jifariji na kikosi chako hiki cha Abraham kinana na jirud

Tupo hapa , mm nitakuwa nawatembelea kutoa pole na rambirambi
 
Kuna mtu atabaki kusema Luiz ndo tatizo la defence ya Chelsea? Watu wanapenda kufuata sana mkumbo ila hawajui kuwa Luiz na Rudiger ndo wanaibeba backline ya Chelsea. Ukibisha chukua mfano Wa msimu uliopita au ule Chelsea ilipobeba kombe la EPL na Conte
Ww una akili sana

Tatizo ni kipa pazia
 
Hahahhahahahahahahahhahah

Marefa wameona fowad butu kwahiyo wanawapa penati
 
Fowadi girud +Abraham kinana+ pulisiki

Eti mna matumaini kabisa iwape goals 25 +

Golini yupo kepa
 
Admin, hili jukwaa lina spam nyingi sana
Spam wa kwanza hamis77
Spam wa pili ni Aroon
Wameacha nyumba za huko zinaungua wamekuja huku kuleta longolongo
 
Nawakumbusha ndugu zangu, mechi ya kwanza mnacheza na MUFC, na siwafichi tuna hasira mno!
 
Mwenye Kumbukumbu nzuri anipigie hesabu Kepa Anazubaaga ameshadunguliwa mangapi katika hii Preseason?

Hakiyanani Salah, Mane na Auba marahii watagawana tena kiatu kupitia huyu Kepa.

CC: AROON
 
Admin, hili jukwaa lina spam nyingi sana
Spam wa kwanza hamis77
Spam wa pili ni Aroon
Wameacha nyumba za huko zinaungua wamekuja huku kuleta longolongo
Kwao hakukaliki na wamekosa matumaini wameona bora wahamie nyumba ya jilani ili waondoe stress zao.
 
Ma
Mwenye Kumbukumbu nzuri anipigie hesabu Kepa Anazubaaga ameshadunguliwa mangapi katika hii Preseason?

Hakiyanani Salah, Mane na Auba marahii watagawana tena kiatu kupitia huyu Kepa.

CC: AROON
Mane Salah na Auba walimfunga Kepa magoli Mangapi ? Ni vitu Vya ajabu wachezaji ambao hawakuweza kumfunga goli kipa magoli matatu kila mmoja katika mechi mbili kugawana kiatu ,nahisi ni mtazamo usio na fact
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom