Mkuu samahani ni madirisha mawili ambayo ni hili linaloisha na dirosha dogo(january).Hivi ni misimu miwili ama madirisha mawili ya usajili
Mkuu samahani ni madirisha mawili ambayo ni hili linaloisha na dirosha dogo(january).Hivi ni misimu miwili ama madirisha mawili ya usajili
kwani msimu ulio isha kepa hakuwepo au hakudaka?Mwenye Kumbukumbu nzuri anipigie hesabu Kepa Anazubaaga ameshadunguliwa mangapi katika hii Preseason?
Hakiyanani Salah, Mane na Auba marahii watagawana tena kiatu kupitia huyu Kepa.
CC: AROON
Natoa wapi hofu niko na legend wa timu. Hakuna kinacho haribika.Najua mkuu una hofu sana,
Wewe ni mtabiri kumbe?Hata Chelsea ikiwa mbovu itachukua angalau kakombe, wewe na arsenal imara mtaishia na 6 kama owen alivyoona
Arsenal wako serious na Carhill! Wanamtaka kwa udi na uvumba
Unafurahi sare ,tena magoli yote penalty?Tuwekee na matokeo ya full time
Hahaaa.. DaaahWanaume tunajadili mambo ya club yetu, wewe unapita mbele yetu na kanga moja iliyolowana maji.


Nitaendelea kukuita MCHUMBA.Nilikuuliza swali unaniita dogo, je ukinikuta natoka chumban na mama yako ,utaendelea kuniita dogo??
Hahaha kuna uyo mwingine anapenda kufurahishwa balaa..tena na wauni tu wasio na future yeyoteWanaume tunajadili mambo ya club yetu, wewe unapita mbele yetu na kanga moja iliyolowana maji.
Mickey Mouse Cup mmeikosa tena!Manchester United FC akiwaacha salama Hakiyanani naapa munabeba EPL na CL halafu sisi next season tutacheza Championship
Pesa mnazo au maneno tu, Pepe kapanguza pochi yote sasa Arsenal mmebaki kuomba omba mkopo tu! halafu unakuja kusema target yenu ni UMTITI , na Camara , Rugani. Hao mlikuwa mnawataka kwa mkopo mkakataliwa, be honesty. Carhill huyo wa bure ndio size yenu na msipoziba ufa wa beki yenu mtavuna magoli zaidi ya 50 msimu ujaoAcha kudanganywa na habari za udaku, Ndio hao hao waliwaambien arsenal ina bajeti 45 m,
Target za arsenal ktk CB NI UMTITI , na Camara , Rugani
Bodi imemkataa khedira ,na Alves ,ndio ihusishwe na Huyo jamaa , si bora tubak na mustafi.
Mm ni baba yako mdogo niheshimuNitaendelea kukuita MCHUMBA.
Endelea kupiga ramli, mpira hauchezwi mdomon, tukutane EPL imeanza,Pesa mnazo au maneno tu, Pepe kapanguza pochi yote sasa Arsenal mmebaki kuomba omba mkopo tu! halafu unakuja kusema target yenu ni UMTITI , na Camara , Rugani. Hao mlikuwa mnawataka kwa mkopo mkakataliwa, be honesty. Carhill huyo wa bure ndio size yenu na msipoziba ufa wa beki yenu mtavuna magoli zaidi ya 50 msimu ujao
Murphy believes Arsenal are most at risk of dropping out of the top six, adding: ‘Arsenal look most vulnerable'.
1. Liverpool
2. Manchester City
3. Tottenham
4. Manchester United
5. Chelsea
6. Arsenal
Namuunga mkono Murphy kwa suala la Arsenal
-You are very vulnerable at defensive phase
Arsenal pamoja na Washabiki wake hawako serious wao kila kitu masikhara tu ,naona unaendeleza utamaduni wenu wa masikhara ,ikitokea tukatolewa uefa makundi tunakuja Europa kukunyoosha unakaaa kimnya na ki ndoo tunakibeba tenaEndelea kupiga ramli, mpira hauchezwi mdomon, tukutane EPL imeanza,
Utabiri wako kama wangu Copyright kabisaMurphy prediction on top 6 positioning in 2019/20 season
1. Liverpool
2. Manchester City
3. Tottenham
4. Manchester United
5. Chelsea
6. Arsenal
Maoni yangu
Mimi napingana na prediction yake kwenye position ya Spurs
Spurs hatamaliza top 4 mwaka unaokuja
Spurs watashare na Arsenal no 5 na 6
Arsenal watacheza Ueropa mpaka walichukuwe, wasipolichukua hakuna kuja UCL, hiyo ni BAN
Willian, Rudiger na Loftus Cheek watabadili hiyo line up wakirejeaTOA MAONI YAKO View attachment 1172814