ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Kukukumbusha tu ni kwamba Chelsea tumepigwa ban ya kusajili ila ni Liverpool ndio wanatumikia ban hiyo.
Ivi jamaa hataelewa kile ulichoandika?
Kukukumbusha tu ni kwamba Chelsea tumepigwa ban ya kusajili ila ni Liverpool ndio wanatumikia ban hiyo.
Hahahahahahahahah
Madogo wawili wamechukuliwaKukukumbusha tu ni kwamba Chelsea tumepigwa ban ya kusajili ila ni Liverpool ndio wanatumikia ban hiyo.
Kila siku nasema mimi luiz hafai kuwa beki ana mapungufu mengi sanaNdugu ni mpira gani umeangalia, kona imepigwa, mfungaji karuka na Luiz hakufanya jitihada za kutosha kuruka nae. Luiz kavaa namba 30. Go and recheck again the corner
View attachment 1169288
We furahi kwa sababu baada ya mwezi unaweza usiipate tena hii furaha.Hahhahahaaaaaa
Ila usinizuie ,napenda kufurahi
Vile vitoto haviendi kufanya chochote timu ya wakubwa. Yan usajili mnaoufanya haujafikia hata tuliofanya sisi.Madogo wawili wamechukuliwa
Sio kama nyie ambao mkisajili huwa mnaambulia magarasa
Anaelewa ila lazima ajitoe ufahamuIvi jamaa hataelewa kile ulichoandika?
: Claude Makelele is back at Chelsea tomorrow as Young Player and Technical Mentor. Similar role to Petr Cech but working with loan and youth talents. Will also work in ambassador duties.
Jamaa kavimba amefurahishwa na mjamaa mwingineMwanaume unaona raha kufurahishwa na mwanaume mwenzako.
Huu mjadala tushaufunga kitambo kwamba best goolie in EPL Allison, Kepa na Ederson kulingana na statistics. Nimekufurahisha kwenye fainali bdo kuna watu wanataka kufurahishwa zaidi. Teh






Wewe hujui kitu nyamaza.Bakayoko,morata,drinkwater mbona una short memory mkuu
Kepa kanyanyua kwapa mbele ya Leno na AssAnal nzima, hulioni ilo?? hahaha Viva Kepa ataendelea kunyanyua makwapa ndani ya misimu kadhaa. Ninyi sijui mnategemea nini aniiWANACHEI-SHE TUSIJIFICHE KWENYE KIVULI CHA DE GEA
Jina : Dean Henderson
Nafasi : golikipa
Klabu : Sheffield United kwa mkopo kutoka Man Utd
Umri : miaka 22
Ligi aliyopo : Championship
Clean sheets kwenye ligi : 20
Ada ya uhamisho : €2.5 millions
-
-
Jina : Kepa Anazubaaga
Nafasi : Msimama golini
Klabu : Chelsea fc
Umri : miaka 24
Ligi aliyopo : Premier league
Clean sheets kwenye ligi : 13
Ada ya uhamisho : €80 millions
Kwa kuangalia hizo takwimu hapo tumelambwa na kwa harakaharaka kwenye hiyo euro million 80 tuliyonunua pazia letu tungepata akina Dean Henderson 40
View attachment 1170176
Hahahahahahaha hii kumbukumbu nzuri.Kukukumbusha tu ni kwamba Chelsea tumepigwa ban ya kusajili ila ni Liverpool ndio wanatumikia ban hiyo.
Cheltako viandeKepa kanyanyua kwapa mbele ya Leno na AssAnal nzima, hulioni ilo?? hahaha Viva Kepa ataendelea kunyanyua makwapa ndani ya misimu kadhaa. Ninyi sijui mnategemea nini anii
Hahaha kajitahidi kwakweli, hasa apo kwa Manure na AssAnalMichael Owen kaanza unabii wake kwa top 6 huu hapa
Position kwenye ligi ijayo
1) Man City
2) Liverpool
3) Tottenham Hotspurs
4) Chelsea
5) Manchester United
6) Arsenal
Source. www.football.london
Hapo kwa AssAnal kuna chochote jipya kweli??Nani kutoboa?View attachment 1170774