Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Didier Drogba sign for Chelsea 20, July, 2004 kwa €24 m, Arsenal watasema tulipigwa . Lakini siku alipostaafu ndio walifurahi zaidi, hawawezi kumsahau huyu mtu.
IMG_20190721_035511.jpeg
IMG_20190721_035627.jpeg
 
Ross Barkley naona anafaa zaidi namba 10 kwenye mfumo wa Lampard na kwenye preseasons zote kucheza vizuri kuliko alivyokuwa anachezeshwa na Sarri kwenye midfield
Chelsea sasa itakuwa ngumu kuchagua first timu kwa sababu Tumesheheni wachezaji wazuri kwenye defense, midfield na attacking section ukiondoa striker tu ndio kuna gap kwa sababu tammy bado mchanga hana uzoefu wa PL, Bachuayi ni mzuri lakini sio wa kumtegemea, Giroud ni mzuri Europa lakini PL ameprove kuwa wa kawaida sana. Kuwapata strikers kama akina Didie Drogba ni kazi kweli kweli
 
Huu ndio unaweza kuwa mfumo atakaotumia Lamps katika msimu ujao na inawezekana hata mechi ya kwanza akapanga kikosi kwa namna hii. 4-2-3-1 au akatumia 4-4-2 mbele anaweka striker wawili.

Batshuayi

Pulisic, Barkley, Willian

Jorginho, Kante

Emerson, Luiz, Zouma, Azpi.

Kepa
SUBs, Giroud, Tammy, Kova, Drinkwater, Mount, Pedro, Tomori, Gilmour, Christensen. Caballero,

Nimeweka kikosi hicho kwa kuzingatia wachezaji waliopo na role zao, pia kwa kuzingatia wachezaji wengine bado majeruhi kama Rudiger, RLC, James na Odoi they are recovering.
 
Liverpool kapoteza mchezo wake wa kirafiki km ambavyo hata sisi tulipoteza. Lakini angalia wao walivyokuja kwa kasi kwetu.
 
Huu ndio unaweza kuwa mfumo atakaotumia Sarri katika msimu ujao na inawezekana hata mechi ya kwanza akapanga kikosi kwa namna hii. 4-2-3-1 au akatumia 4-4-2 mbele anaweka striker wawili.

Batshuayi

Pulisic, Barkley, Willian

Jorginho, Kante

Emerson, Luiz, Zouma, Azpi.

Kepa
SUBs, Giroud, Tammy, Kova, Drinkwater, Mount, Pedro, Tomori, Gilmour, Christensen. Caballero,

Nimeweka kikosi hicho kwa kuzingatia wachezaji waliopo na role zao, pia kwa kuzingatia wachezaji wengine bado majeruhi kama Rudiger, RLC, James na Odoi they are recovering.

Pulisic, Batshuay, Willian na Barkley??? Hapo hapana timu hata ya kuingia 6 bora.

Hicho ni kikosi kibovu kuwahi kutokea katika historia ya Chelsea.

Save hii post kwa future reference
 
Pulisic, Batshuay, Willian na Barkley??? Hapo hapana timu hata ya kuingia 6 bora.

Hicho ni kikosi kibovu kuwahi kutokea katika historia ya Chelsea.

Save hii post kwa future reference
Rudia kusoma nilicho andika. Nimesema kwa kuzingatia kuna wachezaji ni majeruhi wakipona lazima waje kuongeza nguvu.

Hivi Pulisic unamchukuliaje? Barkley mfumo wa Sarri tu ndo ulikua unamkataa anafaa acheze nyuma ya mshambuliaji wa kati.

Mkuu naitunza post yako. Ngoja tueanyooshe msimu ujao na usajili hamfanyi nyie. Hiiiiii
 
Rudia kusoma nilicho andika. Nimesema kwa kuzingatia kuna wachezaji ni majeruhi wakipona lazima waje kuongeza nguvu.

Hivi Pulisic unamchukuliaje? Barkley mfumo wa Sarri tu ndo ulikua unamkataa anafaa acheze nyuma ya mshambuliaji wa kati.

Mkuu naitunza post yako. Ngoja tueanyooshe msimu ujao na usajili hamfanyi nyie. Hiiiiii

Pulisic hamna kitu mule ni sawa na Lingard wa Manure tu.
 
Liverpool kapoteza mchezo wake wa kirafiki km ambavyo hata sisi tulipoteza. Lakini angalia wao walivyokuja kwa kasi kwetu.
Sometimes tunapoteza energy kubishania vitu ambavo havipo, they just exists in an illusion world. Wakija tuwe tunawaacha walonge wakimaliza waondoke. Preasons matches ni mechi za kuwajaribu wachezaji mpaka yale makapikapi ili yakitupwa nje ya timu yasije kulaumu na kuigawa timu, pili wachezaji wengi wanacheza kwa tahadhari kukwepa majeruhi. Matokeo yake ndio hiyo saa nyingine unafungwa na Ndondo FC
 
Willian confirms he will take Eden Hazard old shirt no. 10. Last season Willian wore shirt no. 22 last season
 
Ethan Ampadu beki wa kati ambaye pia anaweza kucheza kama kiungo mkabaji kutoka academy ya Chelsea kaenda kwa mkopo RB Leipzig.
IMG_20190722_191638_511.jpeg
 
Hao akina Ngwaba naona wanapambana na hali zao huko kwao
 
CHELSEA TEAM NEWS
Chelsea team to play Barcelona:
Kepa, Azpilicueta, Christensen, Luiz, Emerson, Jorginho, Kovacic, Pulisic, Mount, Pedro, Abraham.
Subs: Caballero, Cumming, Alonso, Zouma, Tomori, Zappacosta, Bakayoko, Barkley, Drinkwater, Kenedy, Palmer, Batshuayi, Giroud.


Tayari Barca kashalia kimoko....mpira unaendelea - Dogo Abraham kashafanya yake.



Barcelona team to play Chelsea: Ter Stegen, Roberto, Umtiti, Pique, Alba, Sergio Busquets, Oriol Busquets, Puig, Dembele, Griezmann, Collado.

Subs: Neto, Pena, Semedo, Rakitic, Todibo, Perez, Rafinha, Malcom, Lenglet, Alena, De Jong, Monchu, Araujo, Guillem.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom