Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,043
- 3,371
Chelsea haifichi mambo yake walianza tetesi sarri anaondoka kweli kasepa ,pasipo na shaka Lampard ndio kocha wetuBado ni tetesi haijawa official kwa mimi hii timu angepewa kocha wa ajax
Chelsea haifichi mambo yake walianza tetesi sarri anaondoka kweli kasepa ,pasipo na shaka Lampard ndio kocha wetuBado ni tetesi haijawa official kwa mimi hii timu angepewa kocha wa ajax
Waacheni bodi ifanye maamuzi, tusijitie wajuaji kuliko bodi ya Chelsea,Kashindwa kuipandisha daraja derby ataweza pressure za Chelsea? ,team yetu bado inapaswa kuchukua kombe lolote ili kuendeleza record bora kabisa ya kutotoka kapa
Alonso???First eleven inaweza ikawaView attachment 1130116
Unakariri maisha....naona kumtoa Barcelona imewakaa vinywani hadi leo coz hamwamini.....Hapana Liverpool ni taasisi
Tunacheza kitimu
Barca kala 4-0 bila SALAH wala Firmino
Bayern kashindwa tufunga bila VVD
Anyway mtakuwa tena wa 4 sababu Man U na Arsenal bado ni "utumbo"
Ubingwa mbio ni wale wale,Man City vs Liverpool
Alonso anataka kusepa AtleticoAlonso???
Bac hii timu ni ya kujipigia msimu ujaoAlonso anataka kusepa Atletico
Hahaha kaka usifikili ninkirahis kam unavyodhaniBac hii timu ni ya kujipigia msimu ujao
Kama tulivyo jipigia arsenal fainaliBac hii timu ni ya kujipigia msimu ujao
Naona Kepa kawa kocha mchezaji wa Chelsea!
Sawa....sio mbayaHahaha kaka usifikili ninkirahis kam unavyodhani
Kama tulivyo jipigia arsenal fainali
Jukwaa la Liverpool si lipo mzee baba, chelsea huipendi kutoka moyoni
Mzee unamtoa jorginho, barley, michy, Alonso?First eleven inaweza ikawaView attachment 1130116
Teh.. ArsenalBac hii timu ni ya kujipigia msimu ujao
Mnamizuka sana aisee....mnajua hali mtayokutana nayo??!!Teh.. ArsenalView attachment 1131201