I beg to differ!

Inaweza kuwa hakuna tofauti kati ya Legacy ya Zidane (Kwa Real) na Legacy ya Lampard (Kwa Chelsea).

Lakini kuna tofauti kubwa sana sana sana sana kwa Real alioipokea Zidane na Chelsea atakayoipokea Lampard.

Kumbuka kuwa Zizzou kaipokea Real ikiwa na Wachezaji kama Ronaldo, Benzema, Bale, Ramos, Marcelo, Casemiro, Modric na Kroose ambao hao wote ni World Class players wenye uwezo wa kukupa matokeo muda wowote ule.

Na msisitizo ni kwa hawa BBC (Bale-Benzema-Cristian) ambao Walitosha kumpa mafanikio Zizzou kiasi ya Kwamba hakutengeza timu Bali alirithi timu iliyokwisha kutengezwa.

Sasa je Lampard atawakuja wachezaji wa Calibre ya aliowakuta Zizzou?
@King Ngwaba
Kwanza nashukuru kwa kukiri kuw legancy zinaweza kufanana respectively na mimi nasema success zinaweza kutofautiana kwa sababu mazingira na aina ya wachezaji wanatofautiana hasa uwepo wa goal machine kama Ronaldo akisaidiwa na Bale na Benzema.
Wewe hapo umefocus mafanikio ya copy and paste ya Zizzou vs Lampard.
Lampard atapata mafanikio Chelsea zaidi ya makocha wengine wanaotajwa tajwa kuichukua Chelsea wakati huu kama akina Enrique, Nuno, Gracia nk wangeipokea Chelsea ya sasa bila Hazard na the likes wa akina Ronaldo and blaa balaa. Wala sikusema atapata mafanikio kama wa Zidane hapo Barnabeu ya kuchukua UCL back to back.
Chelsea tuliyonayo haitegemei kushindania kombe la EPL au UCL, target yetu ni top 4 mpaka BAN ipite. Na kwa maana hiyo bado niko sawa kwa asilimia kubwa kwamba FRANK LAMPARD anaweza kuwainspire hawa wachezaji kufuiklia hiyo goal. Hapo ndipo Context ya mjadala. Infact hata aje kocha hodari kutoka Mbinguni, Chelsea haiwezi kucompete kwenye EPL au UCL au zote mbili combined. Labda FA, Carabao na UCL kusogea hadi top of 16 au quarter final
 
Hazard alikua kirusi ndani ya Chelsea kwa mujibu wa Sarri na ndio kilichomfanya kocha aondoke.
It is true!
Tangu Enzi za MOU Hazard alikuwa chanzo cha migomo pale akitofautiana na kocha. Kafanya hivyo kwa MOU (2015/16) kufanya hivyo kwa Conte (2017/18) na akajaribu kufanya hivyo kwa Sarri kuanzia Dec lakini baadaye kwenye Feb alitubu na vyombo vingi vya habari viliandika Hazard akikiri kuwa yeye amekuwa tatizo kwa makocha wengi na kwamba sasa basi na ndio maana baada ya Feb form yake ilirudi kwa kasi japokuwa mimi naamini alicheza vizuri ili aondoke salama bila ugomvi na mashabiki.
Ref.
https://www.bbc.com/sport/football/46956929
"In my career, I've frustrated all my coaches. And with Sarri, once again, I frustrate him. I frustrated Mourinho.
 
Fernando Torres Retires From Football

Former Liverpool, Chelsea and Spain striker to retire after 18 years of football career.

Torres didn't have the best of times in a Chelsea shirt, but he will always be remembered for his goal at the Camp Nou against Barcelona en route to winning the Champions League in 2012.

Katika hizo timu tatu, ni Chelsea pekee alibeba makombe mengi, FA pamoja na makombe yote ya UEFA
 
MAURIZIO SARRI: Describing Chelsea as a team of individuals compared to his cohesive former side Napoli.
During his official unveiling as Juventus' new coach on Thursday morning, the Italian said: “Chelsea is a team made up of players, probably who have a higher technical level but with individual characteristics.
“They have players who play on the flank, want to play one v ones so from that point of view, the football they play is less fluid, less smooth.
“Compared to Napoli where they could all play well [together], at Chelsea there were seven or eight players playing individualistically. They were effective, solid and that was so not so easy to defeat.”


Mimi nakubaliana na Sarri, japo Chelsea wana muda wanacheza kama timu lakini in many cases wanacheza kila mchezaji kuonyesha anajua hasa wingers na washambuliaji ukimuondoa Olivier Giroud ambaye ni team playmaker kila wakati
Mfumo wa Sarri unataka wachezaji wanaopendana na kuaminiana kwa zile set pieces na short passes
 
STATS show Chelsea were better WITHOUT Eden Hazard last season with more wins, goals and better defence.
2019-06-20-1.jpg
 
MAURIZIO SARRI has taken a dig at Eden Hazard by claiming he caused defensive problems for Chelsea last season.
 
Atlético give up on Marcos Alonso after failing to meet Chelsea asking price — report

Tunamuitaji bado, alifeli kwenye mfumo wa Sarri ila naamini kwa Lampard atafufuka
 
Cech spotted at Stamford Bridge with Granovskaia ahead of Chelsea announcement
Petr Cech’s return to Chelsea in a technical director sort of role is hardly a secret at this point, but earlier today (Thursday), the Chelsea legend was spotted at Stamford Bridge holding up a shirt and getting his picture taken alongside director Marina Granovskaia.

Huyu atatangazwa muda wowote
 
STATS show Chelsea were better WITHOUT Eden Hazard last season with more wins, goals and better defence.
2019-06-20-1.jpg

Hivi game za Futuhi na Carabao without Hazard ndiyo unataka kufananisha na EPL & UCL without Hazrd?

Wrong stats.
 
Back
Top Bottom