Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea have reportedly turned down two bids for Brazil winger Willian
Sky Sports report that Barcelona and Atletico Madrid have both made offers of £35million for the 30-year-old.
But it is said the Blues have rejected both despite the possibility that Willian could leave for free next summer.
GettyImages-1142091546.jpg
Japo hana impact kubwa sana uwanjani lakini uwepo wake hasa kwa kipindi hiki ambacho timu itakua na ingizo kubwa la vijana anaweza kuwa funzo kubwa kwa hawa madogo. Wanasemaga kijiji hakikosi wazee, nasisi tunawahitaji watu kama hawa wenye experience na mechi kubwa pamoja na mashindano makubwa.

Willian apewe mkataba wa miaka miwili.
 
Hapana Liverpool ni taasisi
Tunacheza kitimu
Barca kala 4-0 bila SALAH wala Firmino
Bayern kashindwa tufunga bila VVD
Anyway mtakuwa tena wa 4 sababu Man U na Arsenal bado ni "utumbo"
Ubingwa mbio ni wale wale,Man City vs Liverpool

Khe khe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Daa watu wakishibapilau huw wanajisahau na kuleta dharau sana. Ok wach tusubiri lingi ipo karibu kuanza
 
Team mpeni Arteta
Ana mbinu za Pep
Atawapa nafasi ya 4 mcheze UCL
Ubingwa ni wa Liverpool.
 
Seeing the EPL now reminds me of the 2004 2005 EPL era when it was Chelsea and United as a superior teams, Liverpool and Man City only fought for the top 4, the difference is that, now Liverpool and Man City are the superior teams at the premier league. Chelsea and Manchester United are only fighting for the top 4.

Seeing the composition of the Man city players now very similar to the era of Chelsea glory at that time which was handled by world-class coach and also strengthened by great players in both core and reserve positions. Almost in each position have star players and world class
 
Nashauri Timu mpeni Kepa awe Kocha! Hata Gianluca Vialli alikuwa kocha na mchezaji kwa wakati mmoja.
 
Ni mmoja kati ya wanachelsea ambaye siamini ndani ya lampard kuwa kocha wa Chelsea kwa sasa. Ngoja nimuone ila hatakawia kutimuliwa huyu
 
Luis Enrique kaachia ngazi Spain, kwa nini tusitembee naye huyu huyu. Mimi kwa Lamps bado sina imani kabisa.
IMG_20190620_065114.jpeg
 
Luis Enrique kaachia ngazi Spain, kwa nini tusitembee naye huyu huyu. Mimi kwa Lamps bado sina imani kabisa.View attachment 1132171
Unajua kilicho msaidia Zinedine akafanya vizuri pale Madrid? Wanasema bado heshima yake ya ulegend ni kubwa miongoni mwa wachezaji, hiyo heshima na mawasiliano mazuri kwa wachezaji ndicho kilichomsaidia kuexcell

Lampard naye ni hivyo hivyo. Kwa sababu ya jina aliloliacha pale Chelsea, wachezaji wengi wa kizazi hiki bado wanamwona kama role model wao na kwa hiyo heshima ni kubwa. Hata kwenye bodi ya Chelsea heshima kwa Lampard ni kubwa kiasi kwamba watamsikiliza Zaidi tofauti na akina Sarri.
Enrique akija anaweza asisikilizwe na bodi pamoja na wachezaji na kwa hiyo akavurunbda kama wenzake waliopita
Mimi namuamini sana Lampard japo haina maana hatavurunda, ila kwa asilimia kubwa naona atatufaa hasa kipindi hiki cha BAN ili aweze kuwatumia academy na loan army. Hawa akina Enrique ni wagumu kubadilika, ni makocha waliozoea kufanya vizuri kwenye bajeti kubwa na wachezaji wakubwa. Sio unamuona hata PEP kabla hajaingia sokoni alikuwa wa kawaida tu
Tumpe Lampard nafasi ataweza
 
Kwa jinsi media inavyomtaja Lampard kama manager mpya wa Chelsea na wameenda mbali Zaidi kuwa wamekubaliana mkataba wa miaka mitatu na kwamba atatangazwa wiki ijayo. Walifanya hivihivi kwa Sarri kwamba anakuwa manager wa Juventus mpaka ikawa. Tujiandae kisaikolojia kumpa support Manager wa kwanza wa Kiingereza kuinoa Chelsea nafikiri baada ya miongo kadhaa
 
Unlike Sarri, Lampard is tactically versatile and adapts to his opponents. However, like the Italian, he has so far preferred to utilize a 4-3-3 formation with inverted wingers who cut inside.

His system is a more counter-attacking version to the possession-based one used at Stamford Bridge last season. His teams are aggressive in transition, as illustrated when Derby beat Man Utd at Old Trafford, also coming close to defeating Chelsea in the Carabao Cup.

In that sense, Lampard's management style can be compared to Jurgen Klopp’s. Just like the Liverpool boss, he also looks to connect with his team’s fans. At Derby last season, he led 'the bounce', with fans jumping as soon as their manager gave them the order.

The influence of Mourinho on Lampard is natural – with the pair having worked together for four years during two spells at Chelsea – but this is no second coming of the ‘Special One’.

Lampard has himself spelt out that he has his own unique football philosophy.
"I try to be myself, I think that’s very important," Lampard told Goal in April."Copying anyone as a manager, or anyone in general is a mistake.

"You have to find your own methods or your own ways so I certainly have no fear of tapping into a bit of the managers that I have worked with over the years but I don’t think that I am similar to any of them.
 
Unajua kilicho msaidia Zinedine akafanya vizuri pale Madrid? Wanasema bado heshima yake ya ulegend ni kubwa miongoni mwa wachezaji, hiyo heshima na mawasiliano mazuri kwa wachezaji ndicho kilichomsaidia kuexcell

Lampard naye ni hivyo hivyo. Kwa sababu ya jina aliloliacha pale Chelsea, wachezaji wengi wa kizazi hiki bado wanamwona kama role model wao na kwa hiyo heshima ni kubwa. Hata kwenye bodi ya Chelsea heshima kwa Lampard ni kubwa kiasi kwamba watamsikiliza Zaidi tofauti na akina Sarri.
Enrique akija anaweza asisikilizwe na bodi pamoja na wachezaji na kwa hiyo akavurunbda kama wenzake waliopita
Mimi namuamini sana Lampard japo haina maana hatavurunda, ila kwa asilimia kubwa naona atatufaa hasa kipindi hiki cha BAN ili aweze kuwatumia academy na loan army. Hawa akina Enrique ni wagumu kubadilika, ni makocha waliozoea kufanya vizuri kwenye bajeti kubwa na wachezaji wakubwa. Sio unamuona hata PEP kabla hajaingia sokoni alikuwa wa kawaida tu
Tumpe Lampard nafasi ataweza

I beg to differ!

Inaweza kuwa hakuna tofauti kati ya Legacy ya Zidane (Kwa Real) na Legacy ya Lampard (Kwa Chelsea).

Lakini kuna tofauti kubwa sana sana sana sana kwa Real alioipokea Zidane na Chelsea atakayoipokea Lampard.

Kumbuka kuwa Zizzou kaipokea Real ikiwa na Wachezaji kama Ronaldo, Benzema, Bale, Ramos, Marcelo, Casemiro, Modric na Kroose ambao hao wote ni World Class players wenye uwezo wa kukupa matokeo muda wowote ule.

Na msisitizo ni kwa hawa BBC (Bale-Benzema-Cristian) ambao Walitosha kumpa mafanikio Zizzou kiasi ya Kwamba hakutengeza timu Bali alirithi timu iliyokwisha kutengezwa.

Sasa je Lampard atawakuja wachezaji wa Calibre ya aliowakuta Zizzou?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom