Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Claude Makelele naye kajiuuzulu ukocha kule Belgium ili aje kujiunga na Lampard
Yeye na Drogba watakuwa wakimsaidia Lampard kwenye kuinoa Chelsea akipewa kandarasi ya kuifundisha Chelsea
Ngoja tuone hope watafanya kitu cha maana.
 
Tangu nimeanza kushabikia Chelsea sijawahi kuona kocha anayechezea mpira kama Sarri. Narudia tena Sarri is the best hauchoki kuangalia mechi.

Bye Sarri lkn hatutachukua muda kabla ya kummis
Kweli alileta soka la kuvutia..nakumbuka ile fainali na man city tulipiga mpira wa maana Sana.. nikikumbuka..msimu upiopita man city walitunyanyasa sana mbele ya conte..yaani siwezi kusaau ule mchezo..japo tulifungwa moja lakini tulinyanyasika..
 
Argentina Taifa lenye nyota kwenye ligi za Ulaya kama akina Messi, Di Maria, Paredes, Aguero lakini wanashindwa kuisadia timu yao kushinda mataji!!
Leo Colombia imewabugiza Argentina 2-0 mbele ya hao masupastaa
 
Argentina Taifa lenye nyota kwenye ligi za Ulaya kama akina Messi, Di Maria, Paredes, Aguero lakini wanashindwa kuisadia timu yao kushinda mataji!!
Leo Colombia imewabugiza Argentina 2-0 mbele ya hao masupastaa

Dimaria ameflop na Dyabala nae ameflop

Argentina wana Icardi sasa tatizo Icardi hana nidhamu

Fikiria pale mbele wawekwe Messi, Aguero na Icardi
 
Chelsea yetu inegeuka team ya majaribio kumleta legend Lampard na Drogba kuifundisha Chelsea haswa kwenye kipindi kigumu kama hiki cha zuio la kujiimarisha ni kuirudisha team nyuma ,hakuna good achievement yoyote aliyoifanya Lampard kupewa ukocha Chelsea huko alikotoka ,makocha wote hawawezi kuwa zidane yule jamaa ni bigger mind na tofauti sana .Mimi binafsi sikupenda sarri ball ila bora kitu kuliko kukosa kabisa na ndiko tunaelekea ni bora angepewa team Nuno wa wolves ,kwa makusudi kabisa tumeamua kuwaiga man u kurudi nyuma .
 
Tangu nimeanza kushabikia Chelsea sijawahi kuona kocha anayechezea mpira kama Sarri. Narudia tena Sarri is the best hauchoki kuangalia mechi.

Bye Sarri lkn hatutachukua muda kabla ya kummis
Uko sahihi mkuu ila Lampard pia ni muumini wa mpira wa kushambulia japo kuna wakati anapack basi kulingana na nature ya timu anayocheza nayo
 
Hata kama Lampard atateuliwa manager wa Chelsea halafu akafukuzwa, bado atabaki na ile heshima yake ya Legend na bado atakuwa na ukaribu ule ule na Chelsea na washabiki wake
Kama ilivyo kwa MOU anafukuzwa halafu kesho anarudi muda wowote, hao wameitendea Chelsea mema isiyo kifani

Kabisa mkuu
 
VIP na ninyi mliyumba bila cotinyo?
Hapana Liverpool ni taasisi
Tunacheza kitimu
Barca kala 4-0 bila SALAH wala Firmino
Bayern kashindwa tufunga bila VVD
Anyway mtakuwa tena wa 4 sababu Man U na Arsenal bado ni "utumbo"
Ubingwa mbio ni wale wale,Man City vs Liverpool
 
Tangu nimeanza kushabikia Chelsea sijawahi kuona kocha anayechezea mpira kama Sarri. Narudia tena Sarri is the best hauchoki kuangalia mechi.

Bye Sarri lkn hatutachukua muda kabla ya kummis
Sarri ball is the best ila hana ubunifu, angeongeza ubunifu, tactics na tricks angekuwa bonge la kocha. Mfahidhina Sarri japo kwa wakati Fulani ufahidhina wake unafaa
 
Hapana Liverpool ni taasisi
Tunacheza kitimu
Barca kala 4-0 bila SALAH wala Firmino
Bayern kashindwa tufunga bila VVD
Anyway mtakuwa tena wa 4 sababu Man U na Arsenal bado ni "utumbo"
Ubingwa mbio ni wale wale,Man City vs Liverpool
Kwani Chelsea sio taasisis? Ingeweza kupata mafanikio hayo yote kwa miaka 15 miaka 8 bila Hazard? Hata hivyo asante kwa kusema ukweli tofauti na wengine wanaosema tutashuka daraja. Chelsea huu msimu unaoisha ilitabiriwa na wengi namba 6 tukamaliza namba 3 maana yake timu bora EPL ya tatu baada ya Man cioty na Liverpool
 
Chelsea yetu inegeuka team ya majaribio kumleta legend Lampard na Drogba kuifundisha Chelsea haswa kwenye kipindi kigumu kama hiki cha zuio la kujiimarisha ni kuirudisha team nyuma ,hakuna good achievement yoyote aliyoifanya Lampard kupewa ukocha Chelsea huko alikotoka ,makocha wote hawawezi kuwa zidane yule jamaa ni bigger mind na tofauti sana .Mimi binafsi sikupenda sarri ball ila bora kitu kuliko kukosa kabisa na ndiko tunaelekea ni bora angepewa team Nuno wa wolves ,kwa makusudi kabisa tumeamua kuwaiga man u kurudi nyuma .
Bado ni tetesi haijawa official kwa mimi hii timu angepewa kocha wa ajax
 
Sarri ball is the best ila hana ubunifu, angeongeza ubunifu, tactics na tricks angekuwa bonge la kocha. Mfahidhina Sarri japo kwa wakati Fulani ufahidhina wake unafaa
Wenye ubunifu mbona hawajaingia top 4?
 
Chelsea yetu inegeuka team ya majaribio kumleta legend Lampard na Drogba kuifundisha Chelsea haswa kwenye kipindi kigumu kama hiki cha zuio la kujiimarisha ni kuirudisha team nyuma ,hakuna good achievement yoyote aliyoifanya Lampard kupewa ukocha Chelsea huko alikotoka ,makocha wote hawawezi kuwa zidane yule jamaa ni bigger mind na tofauti sana .Mimi binafsi sikupenda sarri ball ila bora kitu kuliko kukosa kabisa na ndiko tunaelekea ni bora angepewa team Nuno wa wolves ,kwa makusudi kabisa tumeamua kuwaiga man u kurudi nyuma .
Kwani lampard alijarubu team ipi akashindwa?
 
Claude Makelele naye kajiuuzulu ukocha kule Belgium ili aje kujiunga na Lampard
Yeye na Drogba watakuwa wakimsaidia Lampard kwenye kuinoa Chelsea akipewa kandarasi ya kuifundisha Chelsea

Mihemuko imewazidi Chelsea. Yatayowakuta tusije kuyaona ya ajabu. Jiandaeni kisaikolojia
 
Kwani lampard alijarubu team ipi akashindwa?
Kashindwa kuipandisha daraja derby ataweza pressure za Chelsea? ,team yetu bado inapaswa kuchukua kombe lolote ili kuendeleza record bora kabisa ya kutotoka kapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom