BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 6,417
- 12,987
Mkuu man u na mim wap na wapiPole sana nyie man u mnateseka sana
YNWA member
Mkuu man u na mim wap na wapiPole sana nyie man u mnateseka sana
Mkuu man u na mim wap na wapi
YNWA member
Hazard kawachanganyaAnajua kabs ww ni liva kwan hajaona avatar......sema tu anaogopa kusema
Mkuu hiki kitu ndio nilichokililia siku zote. Kuondoka kwa Sarri kutatuumiza sana. Afadhali angebaki naweza sema angekua anajua anafanya nini kwa ajili ya misimu mitatu mpaka mitano ijayo. Yan kwa timua timua ya makocha hatuwezi kujenga timu kamwe. Sarri nina uhakika angeweza kuzibadilisha kombeo na manati kuwa AK47 pamoja na SMG mfano Emerson na RLC.
OK ili Chelsea ichukue ubingwa mwakani inabidi haya yatokee
Hili likitokea kweli tunaweza nasisi kuchukua ubingwa
Hizi timu shindani waingie kwenye ugomvi/mgogoro AU- Wachezaji vital waondoke Manciyty, Liverpool, Spurs AU
- Timu zote hasa kubwa za Top 6 zisisajili kuimarisha vikozi vyao.
ila kama Mancity na Liverpool walivyo sasa hivi na timu kali halafu bado tena wanaimarisha idara zao,
Arsenal na Man united na Spurs nao wanaingia sokoni kuleta silaha kali,
Sisi tunaingia uvunguni kuangalia kama kuna manati au kombeo duh, hakuna kitu hapo
Kuna mashabiki wengi Chelsea hawajielewi. Sarri alifikia wakati anaawaanzisha Loftus Cheek, Odoi na Christensen pamoja kwenye EPL. This is a massive step. Tulizoea fukuza fukuza na ikatupa makombe ila kwa sasa mazingira yamebadilika sana. Bila kuwa na timu inayoelewa huwezi kutoboa kwa Liverpool hii na Man CityMkuu hiki kitu ndio nilichokililia siku zote. Kuondoka kwa Sarri kutatuumiza sana. Afadhali angebaki naweza sema angekua anajua anafanya nini kwa ajili ya misimu mitatu mpaka mitano ijayo. Yan kwa timua timua ya makocha hatuwezi kujenga timu kamwe. Sarri nina uhakika angeweza kuzibadilisha kombeo na manati kuwa AK47 pamoja na SMG mfano Emerson na RLC.
Lakini eti kuna watu wanafurahi Sarri kuondoka.
Hawa jamaa wana ufala sana [emoji3][emoji3]Ni arsenal ndo ituwashie moto [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja tusubiri tutatangaziwa kocha gani ila kama ni Lampard sioni mwisho mzuri kwa msimu wake wa kwanza. Tutamchafulia heshima aliyotuwekea akiwa mchezaji.Kuna mashabiki wengi Chelsea hawajielewi. Sarri alifikia wakati anaawaanzisha Loftus Cheek, Odoi na Christensen pamoja kwenye EPL. This is a massive step. Tulizoea fukuza fukuza na ikatupa makombe ila kwa sasa mazingira yamebadilika sana. Bila kuwa na timu inayoelewa huwezi kutoboa kwa Liverpool hii na Man City
Hili ni jukwaa la Chelsea siyo Arsenal. Kawatangazie huko kwenye jukwaa laoYani dah! Kila nikikumbuka michezo muliyoshinda kwa jitihada binafsi za Hazard basi nawaonea huruma sana!
Natangaza points zangu 6 kabisa za EPL ninachukua hapa
Hata wakati msimu huu unaanza hatukuwa kati ya timu zitakazo maliza top 4,Sitegemei kuona mnamaliza mbele ya Lfc, spurs, city, united, arsenal, everton, wolves hivy kwa haraka haraka hata Europa msimu ujao2020/2021 hamtoinusa
Huu ni uongo mkubwa katika watu waliokuwa wanaongea sana ni nyinyi ,ktk mwanzo wa msimu ulio pita na sariball yenu pamoja na kumrate joginho mpk mkafikia hatua ya kusema EPL mnaichukua nyinyi. Ila baada ya game kama 6 hiv joginho akaflop na kukongoroka kabisaaaHata wakati msimu huu unaanza hatukuwa kati ya timu zitakazo maliza top 4,
Msimu ulipokua unaanza Liverpool alipewa asilimia kubwa kuchukua kombe,
Msimu ulipokua unaanza Man U alipewa nafasi ya kuchukua kombe hata moja.
Mungu hakupi unachotaka anakupa unachotafuta/ unachostahili.
Hamna team hapa, cotinyo hatufai kabisa, hiyo namba ni ya odoi,Eti wambea wanasema ban ikiondolewa lineup ya Chelsea itakuwa hivi
View attachment 1121372
[emoji3] [emoji3] [emoji3] atabaki kuwa star wangu tu na nitaendelea kuwa fans wa ChelseaNaona sasa ni mda wakujiita
Pulisc cfc
Watatuma tu na hilo ndio lengo laoChelsea wanatakiwa kusubmit maombi ya kusimamishwa kwa ban kwa muda hadi rufaa yao itakapotolewa hukumu
Soma CAS walivyosema kuhusu ban ya FIFA:
"For a challenged decision to be stayed during the CAS proceedings, a specific request to this effect must be made.
"At the time of writing [June 7], a request has not been filed in the Chelsea/FIFA matter. Accordingly, the FIFA decision remains in force."
Kinachonishangaza ni kwamba baada ya Hazard kuhama, kuna majirani wameamua kutia kambi humu kana kwamba tuna msiba
Chelsea is going to be a very great and successful team in Europe after Hazard exit, take my word
Tunaweza tusiwe great msimu huu lakini Ban ikiisha au ikiondolewa, haya majigambo uchwara tutayaweka kwenye bin
Acha uongo wewe hazard kamfunga Allison mara mbili ndani ya msimu mmoja?Uyo Sarah kaifunga Chelsea magoli miwili tu kwenye iyo misimu yake miwili sawa na Hazard kamanyanyasa Allison mara mbili ndan ya msimu huu ..acha kuleta mihemko apa.
Khe khe khe khe khe. Mnachekesha kweli aiseeeSitegemei kuona mnamaliza mbele ya Lfc, spurs, city, united, arsenal, everton, wolves hivy kwa haraka haraka hata Europa msimu ujao2020/2021 hamtoinusa