lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,686
- 25,900
Tofauti na ban ya Real Madrid, Barcelona na Antletico Madrid ni kwamba wao walitumikia kifungo wakati mmoja kati ya 2015 na 2017 hivyo ngoma ni kama ilikuwa draw.
Ila sisi Chelsea tunatumikia kifungo wakati rivals wetu wa top 6 wako huru tena huru kabisa, HAPA ndiko penye shida na balaa
Na ndio maana hapa wanatucheka ile mbaya, Ila wakumbuke tu kuwa Mungu sio King Ngwaba, wala Bardizbah, wala ROBERTO 20. Hata kama hatutachukua EPL lakini msimu ujao ni msimu wa kuidhihirishia Dunia kuwa Chelsea ni timu na wala sio Hazard
Ila sisi Chelsea tunatumikia kifungo wakati rivals wetu wa top 6 wako huru tena huru kabisa, HAPA ndiko penye shida na balaa
Na ndio maana hapa wanatucheka ile mbaya, Ila wakumbuke tu kuwa Mungu sio King Ngwaba, wala Bardizbah, wala ROBERTO 20. Hata kama hatutachukua EPL lakini msimu ujao ni msimu wa kuidhihirishia Dunia kuwa Chelsea ni timu na wala sio Hazard