chichi pilato
Senior Member
- May 26, 2019
- 132
- 97
Yaishe mkuu nisije nikakuvua maganda buresiku nyingine usirudie tena kuvamia thread zisizokuhusu, utabakwa
Yaishe mkuu nisije nikakuvua maganda buresiku nyingine usirudie tena kuvamia thread zisizokuhusu, utabakwa
Bado anatakiwa kuufanyia marekebisho mfumo wake wa uchezaji maana watu wanamgundua mapema mbinu zake.Sasahivi ndio kaamua kutaka kuondoka. Lakni mumesahau mulipokua mnamshikia mabango hafai atimuliwe mpaka majuzi tu?
Nilishawaona ni wanafiki na ndio maana kule kwao wamemegukameguka halafu akasema nitoe ushahidi. Tusubiri na hapa atakuja kusema utoe ushahidiWacha unafiki wewe[emoji23][emoji23][emoji23] Unajua kabisa hatusajili afu unaulizia tetesi..
Uyo Sarah kaifunga Chelsea magoli miwili tu kwenye iyo misimu yake miwili sawa na Hazard kamanyanyasa Allison mara mbili ndan ya msimu huu ..acha kuleta mihemko apa.Unaongea kama vile Hazard anaifunga Liverpool kila Msimu wakati ukweli Halisi kaifunga Liverpool msimu huu uliomalizika tu baada ya kukaa Zaidi ya Misimu 3 bila ya kuona Nyavu za Liverpool.
Hazard hakuwa na uwezo wa kuifunga Liverpool kila Msimu Wakati Salah misimu Miwili aliyoichezea Liverpool yote kainyanyasa Chelsea.
Hazard kaifunga Liverpool karibu misimu yote labda ni mmoja au miwili tu kuanzia 2013Unaongea kama vile Hazard anaifunga Liverpool kila Msimu wakati ukweli Halisi kaifunga Liverpool msimu huu uliomalizika tu baada ya kukaa Zaidi ya Misimu 3 bila ya kuona Nyavu za Liverpool.
Hazard hakuwa na uwezo wa kuifunga Liverpool kila Msimu Wakati Salah misimu Miwili aliyoichezea Liverpool yote kainyanyasa Chelsea.
Wamebeba uefa wamekuwa kama wendawazimu wanaropoka ovyo sana. Ci Unajua makombe kwao ni mara moja banda ya miaka kumiNilishawaona ni wanafiki na ndio maana kule kwao wamemegukameguka halafu akasema nitoe ushahidi. Tusubiri na hapa atakuja kusema utoe ushahidi
Nilishawaona ni wanafiki na ndio maana kule kwao wamemegukameguka halafu akasema nitoe ushahidi. Tusubiri na hapa atakuja kusema utoe ushahidi
Nina wasiwasi kama deal la Hazard limekamilika
Hii redio ambayo magazeti walioandika kuwa Chelsea wamekubali kiasi cha Euro 100m ni waongo
Kumbuka media za UK masaa machache kabla ya hii redio kuaj na propaganda walisema CEO wa Real Madrid aliondoka London huku mazungumzo yakiwa yamevunjika -HAKUNA DEAL LOLOTE LIMEFANYIKA
Ebu fuatilia hii habari
It’s been about five-six hours since Spanish radio boldly announced that Eden Hazard will be boldly announced as Real Madrid’s latest signing, within hours. Within hours!
In the words of Judge Smails, well, we’re waiting. Still waiting. Speaking of movie references, “Waiting” is one of the greatest, admittedly juvenile, comedies of all time. Fight me.
Anyway, what were we talking about?
Oh right, Hazard to Real Madrid. It’s done! Haven’t you heard? So done!
“El Chiringuito” even upped the ante a few minutes after their original announcement, claiming that the deal was “official”, even! So official!
The “so official” price: €100m.
They repeated that claim three hours later because the next few hours didn’t turn into the next few hours, so we needed more next few hours.
Last month, these same jokers claimed Real Madrid “will pay” the €130m that Chelsea have been asking for all along. A few days later, they reported that it was a “done deal”. Clearly, neither of things have happened yet, a month on. In fact, reports in England today claim that Real Madrid CEO left after extended negotiations at Chelsea without a deal agreed.
Waliondoka kina drogba, lampad, tery itakuwa hazard tushuke darajaChelsea & Real Madrid make €100m Hazard deal
1 hour ago 01:26
Belgian star to complete summer switch
Real Madrid and Chelsea have agreed a €100 million (£88m/$112m) transfer fee for Eden Hazard, The Guardian claims.
The Belgian attacker has been linked with a move to the Santiago Bernabeu for over a year and has long seemed set to complete the switch this summer.
The move will be announced in a few days after the two sides were able to work out a deal.
Msimu huu ujao lazima mushuke daraja I swear
Ukitaka kujua maana ya team kutokumtegemea mchezaji mmoja tu, subiri Chelsea itaendelea kudundaTimu hili litashuka daraja au kutokuingia hata 6 bora i swear ni huo msimu ujao mtaamin vzr
We ongea tu siku ikifika hutaonekana, badala yake utaishia kusema tumebebwaAugust 14 kwanz lzm mnyookee
Hahaha unaota wewe[emoji23][emoji23][emoji23] unaeza shangaa tukafanya maajabu.Timu hili litashuka daraja au kutokuingia hata 6 bora i swear ni huo msimu ujao mtaamin vzr
Mkuu watizame tu hao vijana, ni watu wasiojielewa kabisa. Waache wajiandae na nafasi ya 6.
Waliondoka kina drogba, lampad, tery itakuwa hazard tushuke daraja
Subiri utakuja kuhadithia hapa hapa