Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Nani alijua kama 2016/2017 tungebeba EPL baada ya kumaliza nafasi ya 10 msimu uliotangulia?
Labda kutokee figusu kwenye bodi, ila kama Sari ataendeleza alipoishia, timu ikapress kama anavyotaka Sari basi tutakuwa na solid team msimu ujao. Chelsea inahitaji wachezaji 2 hasa na si zaidi ya hapo. Kama Giroud akiweza kufunga magoli 18+ msimu ujao basi tegemea lolote.
This is Chelsea timu inayobeba EPL kila baada ya misimu 2/3?
Labda ninachokwambia ukitafsiri kuwa ni ubishani! Lakini ukweli ni kwamba Giroud kwasasa hana uwezo wa kufunga Goli 18+ kwenye EPL per season.
Na hizo fikra za kusema kuwa Chelsea inabeba EPL kila baada ya misimu 2/3 anza kuzisahau mapema coz zama zenu zimeshapita hasa ukizingatia Foundation iliyokuwa ikifanya hivyo ambayo asili Yake imejengwa tokea 2004 imeshachoka.
Kwasasa Sarri alikusudia kujenga Foundation ya kwake ambayo imekwamishwa na Ban ya usajili kwa kipindi hichi.
Lakini kwa kikosi ulichonacho hakuna uwezo wa kubeba ubingwa ahead of City hata Siku moja. Nimemtaja City kwasababu anazidi kuinvest a lot of power kwa ajili ya EPL.