Kulikuwa na wachezaji wenye kaliba ya EPL title na hatukuwa na BAN, kama kweli unaijua Chelsea vizuri na pia hakukuwa na ushindani kama huu wa Man city na Liverpool
Tusifunge macho kana kwamba hatuioni hii BAN ya FIFA kwa misimu miwili
Wakati huo ilikuwa ni top 5 tu
- Arsenal walidorora
- Man u walidorora
- Mancity walikuwa bado kuamka
- Liverpool walikuwa hoi
- Leo hii Mancity cheza nao mbali
- Liverpool wameimarisha karibu idara zote
- Chelsea udhaifu wetu tunaujua kuwa tuna ordinary players
Nimeteleza mkuu ni madirisha miwili, asanteMkuu rekebisha sio Misimu Miwili, Ni Windows Mbili (Msimu Mmoja).
Mkuu kwa uhalisia Chelsea haina nafasi ya kubeba ubngwa hasa ukizingatia viwango walivyopo Liverpool na Man City. Lakini bado nabaki kuamini Chelsea siyo mbaya kama wengi wanavyoidhania. Kuna idara chache zina shida hasa kwenye CB na ushambuliaji mainly striker ndo anatupa tabu. On the table we are batter than the current Man U, Arsenal and there are areas where we are solid than Tottenham.
OK ili Chelsea ichukue ubingwa mwakani inabidi haya yatokee
Hili likitokea kweli tunaweza nasisi kuchukua ubingwa
Hizi timu shindani waingie kwenye ugomvi/mgogoro AU- Wachezaji vital waondoke Manciyty, Liverpool, Spurs AU
- Timu zote hasa kubwa za Top 6 zisisajili kuimarisha vikozi vyao.
ila kama Mancity na Liverpool walivyo sasa hivi na timu kali halafu bado tena wanaimarisha idara zao,
Arsenal na Man united na Spurs nao wanaingia sokoni kuleta silaha kali,
Sisi tunaingia uvunguni kuangalia kama kuna manati au kombeo duh, hakuna kitu hapo
And Chelsea will announce a coach when there are two days before PL starts like they did with Sarri. Kunq ubabaishaji mwingi sana kwenye clubThis Friday or at least on Monday, Chelsea will release Maurizio Sarri, after that Juventus will announce him as their new manager. [Goal Italia]
Ni bahati mbaya pia RLC hatakuwepo nusu msimu hadi msimu mzimaMkuu kwa uhalisia Chelsea haina nafasi ya kubeba ubngwa hasa ukizingatia viwango walivyopo Liverpool na Man City. Lakini bado nabaki kuamini Chelsea siyo mbaya kama wengi wanavyoidhania. Kuna idara chache zina shida hasa kwenye CB na ushambuliaji mainly striker ndo anatupa tabu. On the table we are batter than the current Man U, Arsenal and there are areas where we are solid than Tottenham.
If Luiz gives his 100% as he deed in 2016/2017, Rudiger, Azipilicueta, Emerson/Alonso, Kante, Joginho, RLC?, Pulisic, Odoi?/Willian we will compete.
That is not PHENOMENON, just ordinary
king ngwaba una ufala mwingi sana 😛😛😛😛
Na Chelsea wamesema wanamuongezea mkataba hadi 2021Kocha wa team ya taifa ya Brazil, Tite amemwita kikosini winga wa Chelsea Wilian kuziba pengo la Neymar ambaye aliumia mazoezini
Pole ndugu. Ashaenda.Mungu fundi bana. Unaeza shangaa akaamua kutenda muujiza wa karne dili la Hazard likaingia mchanga ghafla alaf akasain mkataba mpya.
Miujiza ipo dunia hii
Dah Barkley ndo tunategemea halafu ndo anachomesha timu yake ya taifa kizembe.
Seven wonderful years, thanks hazardeden