OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,960
- 25,311
Hahaha endelea kujiita ivyo ili kumuenz Hazard[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naona sasa ni mda wakujiita
Pulisc cfc
Hahaha endelea kujiita ivyo ili kumuenz Hazard[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naona sasa ni mda wakujiita
Pulisc cfc
Dah kwa iyo Sarri na yeye kaamsha?Ngoja tusubiri tutatangaziwa kocha gani ila kama ni Lampard sioni mwisho mzuri kwa msimu wake wa kwanza. Tutamchafulia heshima aliyotuwekea akiwa mchezaji.
Kaifunga Liverpool.Acha uongo wewe hazard kamfunga Allison mara mbili ndani ya msimu mmoja?
Ao juve ci wamemchukua Sarri na hawatosheki tu wanataka kutushusha daraja nini pumbavu zao..Juventus wanamtaka Emerson
Atletico Madrid wanamtaka kwa udi na uvumba Alonso, hao hawana nia njema na Chelsea ambayo tayari tuna pengo kubwa la Hazard. Kwa maoni yangu EMerson wala Alonso wasiruhusiwe kutoka, hatutakuwa na Left Back wazuri Zaidi ya hao
Kuna goli moja Hazard alizaba Liverpool msimu ule wa Mourihno alipokuja darajani baada ya kubeba Europa. Aise lile goli lilikuwa kali balaa.. na bado aliendelea kutoa dozi mbali mbali mpaka sasa fani wao wanafurahi kuondoka kwake maana alizipa tabu timu zao.Liverpool Arsenal na Tottenham ndio team ambazo zimefungwa magoli ya dhahabu na hazard.
Hawatakaa wamsahau, maana mabeki walitaabika mno na bado wakafungwa magoli ya mwaka
OdoiImekuwa ni furaha sana kwa fans wa timu za Liverpool, Arsenal, Man United n.k kwa kuondoka kwa msumbufu aliyewatesa mabeki zao.
Ila hope tutamtengeneza msumbufu mwingine atakayewasumbua.
Good Luck Eden Hazard.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Odoi
Mkuu wapo wachambuzi wengi waliotutoa kwenye top kwa uchache ni Edo Kumwembe, Shaffih Dauda na kumbukumbu zangu zinanikumbusha hata Geoff Lea naye alitutoa.
Ongezea hapo hilo champions league ulilotwaa juzi, hiyo ni toka mwaka 2000 sijui hayo unayotaja umeyatoa wapiView attachment 1122030
Wale majamaa huwa naona kuwa ni wakusanyaji habar za michezo tu hakuna mchambuzi, kidogo Edo alikuwa anajitahid ila now kashakuwa mpiga ramli tu na mcheza kamariKwani hao nao wachambuzi? Huyo Shaffih Dauda ndiye aliyesema Simba SC itashika Mkia kwenye Makundi ya ACL na katu haitavuuka kwenye Makundi na haitoshinda Mchezo hata mmoja.
Na haohao ndiyo waliosema Liverpool haitoboi kwa Bayern, ikisha wakasema haitoboi kwa Barcelona.
Hao ni Wababaishaji tu na Wachafuzi. Sio Wachambuzi kabisa.
Hawajamchukua bado ila wametakiwa kuununua mkataba alionao kwa kiasi cha pauni karibu milioni 6 ndio wanajiuma uma watoe au wasitoeAo juve ci wamemchukua Sarri na hawatosheki tu wanataka kutushusha daraja nini pumbavu zao..
EPL hapo iko wapi nduguMimi nimeandika Nilichoshuhudia kushinda.
Sikuandika kilichomo kwenye picha yako.
Umesahau na man city....zabaleta hatokaa akamsahau Hazard kwa udhalishaji aliyomfanyia akiwa na timu yake man CityLiverpool Arsenal na Tottenham ndio team ambazo zimefungwa magoli ya dhahabu na hazard.
Hawatakaa wamsahau, maana mabeki walitaabika mno na bado wakafungwa magoli ya mwaka
Kumbe Leo umetambua kuwa watu wanajifariji na yaliyopita......!!Ah wapi! Past is like memory.. Kilochopita kitabakia kuwa ni kumbukumbu tu.
Tunakumbuka fika kuwa Zola alitufunga magoli ya kuzalilisha ambayo kwa hayo ya Hazard ni ucheza tu! Lakini nani anamtaja Zola? You know why? Kwasababu imebaki kumbukumbu tu!
Kwahiyo na huyo Hazard utabakia kujifariji kwa kumbukumbu tu.
Tena wanashukuru kweli kweli. Mabeki wa Spurs, Liver, Arsenal, Man u, Man City hawatamsahau Hazard kwa kweliUnapumua baada ya kuondoka, mkikutana na hazard wanaenda mabeki wanne wanne [emoji3] [emoji3] bila hivyo hakawii kuwaburuza wote
Katika hilo goli la mwaka la Chelsea, Hazard kawapita kama vile hawachezi akina Keita, Robertson na FabinhoUnapumua baada ya kuondoka, mkikutana na hazard wanaenda mabeki wanne wanne [emoji3] [emoji3] bila hivyo hakawii kuwaburuza wote
Zaidi ya Billioni 344Hazard kauzwa kwa Bei gani wakuu?