eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Haiwezi kutokea hiyo kwa figisu za soka zilivyo.Arsenal bado wanaweza kuqualify for UCL
Man city wako kwenye uchunguzi wa Financial Fair Play na wadadisi wa mambo wanaipa Man city asilimia kubwa ya kupigwa ban mashindano ya mwakani ya UCL. Ikiwa watapigwa ban, Arsenal walio kwenye nafasi ya tano ndio wataungana na mshindi wa 2-4 kwenye mashindano hayo
Arsenal yeye ajiandae na Europa league tu