Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sizitaki mbichi hizi
Kila mchezaji akisajiliwa Liverpool anaamini hapo hakuna kitu hata wawe ni akina VVD
The same Mickey Mouse Cups that give us the strength and motivation to win the big cups

London is not built for the big cups.... Only for the Mickey mouse cup thats why there is only one CL in London.

6th is coming at Merseyside
 
Tumechukia MATANO na la 6 linakuja kesho

Huku wewe sio saizi yako
hongera kwa umri wako umeona Liverpool akichukua uefa Moja tu, kwa kifupi washabiki wa Chelsea wanafuraha kuliko mshabiki yoyote wa Liverpool Tanzania maana kaona team yake ikivuna makombe live sio stories na videos za youtube, ubingwa wa Youtube hauna flavour .Niwapongeze Mashabiki wa chelsea mnayashuhudia mafanikio ya Team yenu sio masimulizi
 
hongera kwa umri wako umeona Liverpool akichukua uefa Moja tu, kwa kifupi washabiki wa Chelsea wanafuraha kuliko mshabiki yoyote wa Liverpool Tanzania maana kaona team yake ikivuna makombe live sio stories na videos za youtube, ubingwa wa Youtube hauna flavour .Niwapongeze Mashabiki wa chelsea mnayashuhudia mafanikio ya Team yenu sio masimulizi

Kuona Moja haifuti Tano unless uwe umekimbia umande
 
Arsenal bado wanaweza kuqualify for UCL
Man city wako kwenye uchunguzi wa Financial Fair Play na wadadisi wa mambo wanaipa Man city asilimia kubwa ya kupigwa ban mashindano ya mwakani ya UCL. Ikiwa watapigwa ban, Arsenal walio kwenye nafasi ya tano ndio wataungana na mshindi wa 2-4 kwenye mashindano hayo
 
Kwann timy isipamban yenyewe kusaka nafasi mpka ipende kupita mlango wa nyuma
NO FREE LUNCH
Arsenal bado wanaweza kuqualify for UCL
Man city wako kwenye uchunguzi wa Financial Fair Play na wadadisi wa mambo wanaipa Man city asilimia kubwa ya kupigwa ban mashindano ya mwakani ya UCL. Ikiwa watapigwa ban, Arsenal walio kwenye nafasi ya tano ndio wataungana na mshindi wa 2-4 kwenye mashindano hayo
 
Tumechukua MATANO na la 6 linakuja kesho

Huku wewe sio saizi yako
La sita lipi? Mkitaka kubeba makombe kama hayo, mfukuzeni Klopp ..mna timu nzuri kwa sasa ila nyota ya Klopp ndo haing'ai uko.

Kama ndani ya miaka kumi una kombe moja tu tena Mickey Mouse cup, unategemea leo hii uibuke tu uko ulipotoka ubebe kombe linalozidi uwezo wachezaji?

Toka umezaliwa kijana EPL haijawai kukanyaga Liverpool halafu unaibeza London? Acha ushamba..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom