Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
Sawaaa.. Kunyanyua kwapa tena tukutane baada ya miongo kadhaaWazee wa Mickey Mouse kwa kifupi tu hili ndiyo Kombe la Wanaume
View attachment 1114844
View attachment 1114846
Sawaaa.. Kunyanyua kwapa tena tukutane baada ya miongo kadhaaWazee wa Mickey Mouse kwa kifupi tu hili ndiyo Kombe la Wanaume
View attachment 1114844
View attachment 1114846
Always you are out of context!Hivi Unawachukuliaje Man City mpaka kufikia kuwatusi kuwa wawe na Beki kama Zouma?
TutawachakazaMna miaka kibao mjabeba makombe jana mumesafisha nyota mnasumbua.
Hongereni.
Tukutane super cup.
Sahau kabisa.Tutawachakaza
Jisahaulishe tu mkuuSahau kabisa.
Hahahahahahahahah mkuu nakupiga EasyyyyyyyMna miaka kibao mjabeba makombe jana mumesafisha nyota mnasumbua.
Hongereni.
Tukutane super cup.
Juzi tu tumewatia mbili leo unajisahaulishaSahau kabisa.
Kwa kipindi cha miaka 19 Chelsea ndio club iliyotwaa makombe mengi zaidi kuliko team yoyote pale EPLLakini sio UCLView attachment 1114711
EPL iko wapiWazee wa Mickey Mouse kwa kifupi tu hili ndiyo Kombe la Wanaume
View attachment 1114844
View attachment 1114846
Kama hamuyataki mnashiriki ya nini?
Shirikini UEFA tu.
We jamaa huwa ahautumii akili aiseeHivi Unawachukuliaje Man City mpaka kufikia kuwatusi kuwa wawe na Beki kama Zouma?
Hizi picha zenu za makombe ambayo tumeshatwaa hatuzitaki huku
Tunauliza EPL iko wapi??
Tunaenda kumpiga Liverpool kwenye super cup na muuaji atakuwa Pulisic
Endelea kujitekenya tuTunaenda kumpiga Liverpool kwenye super cup na muuaji atakuwa Pulisic
HahahahahahahahahUshaanza ramli?
Kwa kipindi cha miaka 19 Chelsea ndio club iliyotwaa makombe mengi zaidi kuliko team yoyote pale EPL
Mna miaka kibao mjabeba makombe jana mumesafisha nyota mnasumbua.
Hongereni.
Tukutane super cup.
Tunaenda kumpiga Liverpool kwenye super cup na muuaji atakuwa Pulisic