Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mpaka Leo sijui kwa nini Terry aliteleza na kutunyima taji la champions league
Ile penalty alikuwa anaenda kuipiga kalou huyo mwingereza akakimbilia kujipatia sifa aliniudhi mbaya kabisa hadi leo inaniuma maana tulishindwa na team ya kawaida sana,na angatutia gundu afadhali alipigwa umeme 2012 tukacheza bila yeye tukanyanyua kwapa
 
Anasepa huyo asee mtabaki kama vibogoyo
Tumempa baraka zote kwa kujitolea kwake,

Japo ana asilimia kubwa kwenda Madrid lakini bado anasema hajui kitakachotokea kwa kuwa anasubiri Chelsea na real Madrid wamalizane wenyewe kwanza
hazardeden_10_8___ByELLH3C04N___.jpg
 
Man U na Leicester city wanamgombania Reece James na Chelsea wamenyamaza tu!
 
  1. Chelsea wameshinda fainali tano kati ya sita walizocheza za Ulaya alihali
  2. Arsenal wameshindwa fainali tano kati ya sita walizocheza za Ulaya
 
Sizitaki mbichi hizi
Kila mchezaji akisajiliwa Liverpool anaamini hapo hakuna kitu hata wawe ni akina VVD
It is these Mickey Mouse Cups that give us the strength and motivation to win the big cups
Wanatamani sna tu. Ila uwezo wa kuchukua Ni shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom