Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
makocha watawaleta lakini timu itaendelea kufungwa tu hadi pale utaalamu utakapoheshimiwa na mmiliki wa klabu...........
Rutashubanyuma Mkuu uliombwa usi-flood hii thread na miposti yako ya kwenye magazeti! Huku ni wajanja kila mtu anajua pakupata hizo habari naona umegoma kuelewa!
Wakuu,
Binafsi sintapenda Jose arudi tena chelsea kwa sababu phylosophy ya chelsea (Roman) ni kucheza mpira wa ushindi na wenye kuvutia, Kasi na pasi fupi fupi za haraka.
Morinho kilichomuondoa chesea ni kwamba hakuweza kufanya hivyo, yeye alitumia defensive game na pass ndefu kwa drogba na kupachika mabao, of cause tulikuwa mabigwa misimu miwili mfululuzo lakini Club ilihitaji zaidi ya mafanikio hayo na ndiyo mwanzo wa kiongozi huyu kutimuliwa.
Sasa leo akija ataweza kutimiza hayo? nafikiri tunahitaji kocha mwenye kufundisha mfumo tofauti ukizingatia timu nyingi zinajizatiti hasa Liverpool na City kwa hiyo ligi msimu ujao itakuwa ngumu mno.
Mbali na hayo yote Roman naye pia ajirekebishe, pesa si mafanikio bali ni mikakati na ushirikiano mzuri kati ya uongozi wa juu, benchi la ufundi na wafanyakazi wa club kwa ujumla wao.
Sasa kama unajua kwamba 98% ya yanayojadiliwa yanatoka kwenye magazeti kwanini unarudia tena kujaza hapa jamvini magazeti hayohayo ambayo unajua kabisa tumeshayasoma?!!!! [COLOR=red]Na kibaya zaidi unaonekana una tatizo la kupost hizo paste zako, maana umekuwa ukipaste mara mbili, tatu au hata nne the same story![/COLOR] You're full of repetition with worthless posts! Now, it's you who need to grow up!
Ungekuwa smart ungefanya a simple analysis ya threads zako zote ulizoanzisha kwenye jukwaa la sports na kugundua kitu. Umeanzisha threads nyingi sana kwa mtindo huu wa copy-paste lakini hakuna hata a single reply [COLOR=red](mfano mzuri ni ile uliyojaza pasted video clips kwenye page 50.....madness!![/COLOR]).
Since Abramovich decided he was a professor of the game he has dispensed with Claudio Ranieri, José Mourinho, Avram Grant, Luiz Felipe Scolari and now Ancelotti. Guus Hiddink, who is being tipped to return, was only a caretaker in 2009. So the prevailing culture in the Chelsea dressing room has lurched from Italian to Portuguese to Israeli to Brazilian to Dutch back to Italian and maybe now on to Dutch again. The Bridge is about to welcome its seventh manager in eight years.
Code:Sasa kama unajua kwamba 98% ya yanayojadiliwa yanatoka kwenye magazeti kwanini unarudia tena kujaza hapa jamvini magazeti hayohayo ambayo unajua kabisa tumeshayasoma?!!!! [COLOR=red]Na kibaya zaidi unaonekana una tatizo la kupost hizo paste zako, maana umekuwa ukipaste mara mbili, tatu au hata nne the same story![/COLOR] You're full of repetition with worthless posts! Now, it's you who need to grow up!
Hiyo kwenye nyekundu ndiyo ishu.........................tatizo siyo langu ni la JF.........hata mimi hushangaa kwa nini posts zinajirudia rudia mara mbili wakati mwingine lakini hilo jingine liko nje ya rules.............................na haifai mtu mmoja abanwe na non-rules wakati wengine hawabanwi nazo.....................................huu uzi tangia uanzishwe wako wengi wanabandika makala za magazetini lakini sioni lawama zikielekezwa dhidi yao..............................JF itapoteza maana kama baadhi mtaweka masharti ya kupashana habari mmuonavyo wenyewe..............na sisi wengine tuna maono tofauti.......................kwa hiyo tuvumiliane..................mkileta udikteata mtabaki wenyewe..........................kama kuna posts huzipendi...........................ni kuachana nazo..................................humu ndani kuna posts nyingi zinaniboa hasa kwa kupotosha ukweli lakini siwezi kuwaziba midomo wahusika wasijiuumbue na uongo wao.............
Tatizo lako wewe ni upeo mdogo na hakuna utafiti wowote ule ambao umeufanya juu ya uzi zangu nyingi sasa nionacho ni wivu tu unakusumbua hebu pitia kwanza halafu useme kama kweli hazina wachangiaji....................lol. Ama kweli kumbe baadhi yenu mna madongo tu ya wivu yanawasumbua.................................kwenye video clips unachangia nini?..................aidha unaziangalia au huziangalii.that is all.............Code:Ungekuwa smart ungefanya a simple analysis ya threads zako zote ulizoanzisha kwenye jukwaa la sports na kugundua kitu. Umeanzisha threads nyingi sana kwa mtindo huu wa copy-paste lakini hakuna hata a single reply [COLOR=red](mfano mzuri ni ile uliyojaza pasted video clips kwenye page 50.....madness!![/COLOR]).
Lingine ni kuwa kuchangiwa kwa uzi au kutochangia hakuna maana kulingana na JF rules ili mradi anayetaka kuzisoma anaendelea kuzisoma.......................na yule anayezituma ameridhika na mchango wake............................kubwa hakuna kanuni iliyovunjwa....................JF inaongozwa na kanuni siyo matashi ya baadhi ambao taarifa zao nyingi humu ni ubabaishi tu na wala hawasomi taarifa sahihi zilizomo magazetini...................kama ni madness wewe inakuuma nini? Nikiwa mad sijui wewe utakuwaje..............