Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

...and the count goes on! Sijui niwape pole, au hongera ya kumfukuza?



Hahahaha! We mean business at The Bridge! You can keep your loser, Wenger as long as you want, which is only good news for the rest of the teams in EPL.
 
Naweza kukubali Ancelloti mzembe ,lakini pia tajiri anamchanganya sana huyu jamaa, pia rekodi ya chelsea kwa everton imekuwa mbovu sana
 
Muajirini Rafa Benitez au Avram Grant basi.....lol!! Makocha saba ndani ya miaka saba kweli hamtaki mchezo, hamkawii kuja kumfuata SAF sasa.
 
Muajirini Rafa Benitez au Avram Grant basi.....lol!! Makocha saba ndani ya miaka saba kweli hamtaki mchezo, hamkawii kuja kumfuata SAF sasa.



Hao wote wawili sio level ya Chelsea, watafukuzwa kabla ya Xmas. Nina hisia huenda Hiddink akarudi.
 
Hao wote wawili sio level ya Chelsea, watafukuzwa kabla ya Xmas. Nina hisia huenda Hiddink akarudi.
Nadhani Roman anamtaka Hiddink as well, swali ni will he swap Turkish National team job for Chelsea's hot seat?
 
Good riddance!

Ubingwa ulikuwa ''umejileta'' wenyewe lakini kama kawaida yake, akaboronga tena!
 
nangalia sky news breaking news ni ancelloti SACKED! bye babu ancelloti
 
Carlo-splash_1314893a.jpg



Acheni Lotte kama ilivyotegemewa khe khe keeeeeeeeeeeeeeeee

Deal with mafia mtakoma ubishi hawa ni sawa na mafisadi

si mnaona wanavyotuzunguka na dili la Dowans khe khe kheeeeeeeeeee

JK anasema mpaka na yeye alipwe ndio watanzania mkome ubishi.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
huu ndio mwisho wa Chelsea "Moro United" Kuwika.............kocha atakayekuja, atakuwa na style yake na wachezaji wake....it will take sometimes.............labda kocha ajaye Chelsea afanye kama Gurdiola alivyofanya pindi alivyochukua timu kutoka kwa yule Mdachi Frank....Gurdiola hakufanya mabadiliko makubwa.....ali-maintain....na kuongeza spices kidogo....look where they are now......................
 
Habari njema hii, tena amechelewa sana, ameifanya timu icheze bila malengo kwa muda wote aliokaa pale
 
HIVI CHELSEA MTAFUKUZA MAKOCHA WANGAPI? KAMA NI HIVYO BORA MMCHUKUE WENGER,TUJUE MOJA:dance:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom