Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

BREAKING NEWS: Luca Modric Tells Spurs He Wants To Leave For Chelsea! Haya Chelsea Mshindwe Nyie..
 
Luca Modric Says He Wants To Leave Tottenham And Join Chelsea! And + Who Is A Complete Player Between Lionel Messi And Cristiano Ronaldo??
 
Yule E'too naye anataka kuhamia England, akija GUNNERS itakuwa poa sana kwani ataongeza nguvu ya mashambulizi na pia kuziona nyavu za mahasidi wetu. Bado ana uwezo mkubwa tu wa kutandaza kandanda.
 
Yule E'too naye anataka kuhamia England, akija GUNNERS itakuwa poa sana kwani ataongeza nguvu ya mashambulizi na pia kuziona nyavu za mahasidi wetu. Bado ana uwezo mkubwa tu wa kutandaza kandanda.
Ooooohoo ndugu yangu ulijuaje nilikuwa nafuatilia kwa karibu sana! Na lingine ni yule kijana Gelivinho na Odemwinge vip?
 
Ooooohoo ndugu yangu ulijuaje nilikuwa nafuatilia kwa karibu sana! Na lingine ni yule kijana Gelivinho na Odemwinge vip?

Wote hao ni moto wa kuotea mbali. Huyu mnigeria Ode nimempenda sana jamaa ana moyo mkubwa wa kujituma awapo uwanjani. Akiweza kuepuka kuumia basi atakuwa maarufu sana kule EPL na usishangae yule SAF akamnyakua haraka sana maana yule mzee huwa hana ajizi kwenye usajili.
 
Do we have a policy now to discuss one team only!?
 
I hope jembe Drogba stays lakini, wakuuzwa ni Frank Lampard Umri wake umeenda sana he's clearly not the same player he was+ i think yuko overated sana.. Modric is much more of creative playmaker na he's only 25. I think the big reason Torres failed to shine last season was due to lack of a real playmaker kama vile gerrard and benayoun walivyokua wanamfeed mipira at liverpool
 
Yule E'too naye anataka kuhamia England, akija GUNNERS itakuwa poa sana kwani ataongeza nguvu ya mashambulizi na pia kuziona nyavu za mahasidi wetu. Bado ana uwezo mkubwa tu wa kutandaza kandanda.
teh teh wenger awez mnunua yule akuna jeuri ya kutumia pesa kama mchaga anashinda njaa na pesa mfukoni!
 
Haya Mkuu 🙂 yule mgonjwa wa malaria alias Drogba ni aje msimu ujao?

Mkuu BAK ile nimashine bila shida, nadhani msimu ujao Anelka atapata nafasi za shida shida, lakini pale mbele tutawaweka Torres na aidha Drogba ama Kalou
 
teh teh wenger awez mnunua yule akuna jeuri ya kutumia pesa kama mchaga anashinda njaa na pesa mfukoni!

Hahahahahah lol! labda kafunga ramadhani Mkuu 🙂...umenikumbusha mbali sana haya mambo ya kushinda na njaa lakini siwezi kuweka hapa lol! inaweza kuleta kasheshe la hali ya juu.
 
Mkuu BAK ile nimashine bila shida, nadhani msimu ujao Anelka atapata nafasi za shida shida, lakini pale mbele tutawaweka Torres na aidha Drogba ama Kalou
kama totenham watataka drgba atumika katika exchnge na modric mi naona poa kuna tores,kalou,sturdge na dogo wa andrlech lukalu timu bado itakuwa inatsha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom