Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea 3 vs Watford 0

Huddersfield 1 vs Man u 1

Arsenal vs......?

Tulieni manake mnajua mpira kuliko wanaocheza uwanjani
Arsenal 1 vs Man U 1
Dhidi ya timu mbovu halafu walitaka wakaiwakilishe EPL kule Championship - dhubutu, wabaki Europa ili wakajifunze kucheza kandanda
 
Kwa mechi mbili zilizobaki mmh. Arsenal anarudi kwenye nafasi yake ya sita, take my word

Msimamo mpya utakuwa kama ifuatavyo
  1. Man City 98
  2. Liverpool 97
  3. Spurs 74
  4. Chelsea 72
  5. Man United 71
  6. Arsenal 70
Updates
Msimamo baada ya mechi za Jumapili ya tar 12 May 2019 utakuwa kama ifuatavyo
  1. Man City 98
  2. Liverpool 97
  3. Chelsea 74
  4. Spurs 73
  5. Arsenal 70
  6. Man United 69
 
Tumpongeze kocha kwa kubahatika kuingia Top four ila management yetu imeifanya chelsea team ya kawaida sana jambo ambalo halivumiliki
 
Maurizio sarri anachotakiwa kufanya ni kuipa Chelsea taji la Europe league basi

Yote kwa yote amefanya vizuri kwa msimu wake wa kwanza mpaka sasa kwa upande wangu

Usajili wa beki mmoja wa kati mahiri ni muhimu

Kiungo namba 8 pia ni muhimu na striker mmoja mkali anahitajika

Eden anaondoka mbadala wake ni Christian pulisic akisimama na Odoi mambo ni mazuri tu

Pamoja na yote Chelsea haitakiwi kumuuza willian popote ni mchezaji muhimu wa kusaidia team pale wengine wanapoumia yeye na Pedro
 
Maurizio sarri anachotakiwa kufanya ni kuipa Chelsea taji la Europe league basi

Yote kwa yote amefanya vizuri kwa msimu wake wa kwanza mpaka sasa kwa upande wangu

Usajili wa beki mmoja wa kati mahiri ni muhimu

Kiungo namba 8 pia ni muhimu na striker mmoja mkali anahitajika

Eden anaondoka mbadala wake ni Christian pulisic akisimama na Odoi mambo ni mazuri tu

Pamoja na yote Chelsea haitakiwi kumuuza willian popote ni mchezaji muhimu wa kusaidia team pale wengine wanapoumia yeye na Pedro

- Is it confirmed Eden is leaving?

- Tumeridhika na Left back options tulizonazo in Alonso and Emerson?

- Beki wa Kati: Kuna haja ya kusajili au kurudisha walioko on loan? Mfano, Zouma.

- Kovacic: Tunamhitaji bado au aondoke?

- Drinkwater?

- Ross Barkley?
 
Maurizio sarri anachotakiwa kufanya ni kuipa Chelsea taji la Europe league basi

Yote kwa yote amefanya vizuri kwa msimu wake wa kwanza mpaka sasa kwa upande wangu

Usajili wa beki mmoja wa kati mahiri ni muhimu

Kiungo namba 8 pia ni muhimu na striker mmoja mkali anahitajika

Eden anaondoka mbadala wake ni Christian pulisic akisimama na Odoi mambo ni mazuri tu

Pamoja na yote Chelsea haitakiwi kumuuza willian popote ni mchezaji muhimu wa kusaidia team pale wengine wanapoumia yeye na Pedro
Tukisajiri kiungo namba 8 kipenzi chetu N'golo itabidi aondoke hakuna namna, pia tunaunga mkono kusajiri beki wa kati makini ila zuma arudi kucheza ,pulisic anacheza vizuri akitoka kulia ndio maana Dortmund anapigwa benchi Kali na Sancho dogo wamoto balaa,odoi atakosa namba hakuna namna naona kabisa akiondoka, kwa hivyo kuziba pengo la hazard ni majanga angalau Zaha anafika nusu ya uwezo wa hazard, pia Insigne na wote wanatoka kushoto,tunahitaji namba tisa, hiyo position hatuna mchezaji ,na mfumo wa Sari Depay anatufaa, tusisahau namba 3 hatuna mchezaji, pia azipiculator kachoka kiufupi Team yetu inahitaji repair ya hali ya juu na usajiri tulivyo pigwa stop balaa kubwa
 
- Is it confirmed Eden is leaving?

- Tumeridhika na Left back options tulizonazo in Alonso and Emerson?

- Beki wa Kati: Kuna haja ya kusajili au kurudisha walioko on loan? Mfano, Zouma.

- Kovacic: Tunamhitaji bado au aondoke?

- Drinkwater?

- Ross Barkley?
Sina shaka na Alonso, wala ermason cha msingi wakuze viwango vyao tu wote wameonyesha wana kitu

Zouma ni mzuri ila sio kwa club ya levo ya Chelsea so ni kusajili tu mzuri zaidi kutoka club kubwa

Kovacic bado anahitajika ila Mimi kiwango chake hakinifurahishi kabisa labda akiongeze zaid ya hapo alipo la sivyo atasota benchi tu

Drink water aondoke tu hana maisha Chelsea kwa sasa

Ross bakley bado hajanionyesha alichonacho bado ndio maana benchi linampenda
 
Tukisajiri kiungo namba 8 kipenzi chetu N'golo itabidi aondoke hakuna namna, pia tunaunga mkono kusajiri beki wa kati makini ila zuma arudi kucheza ,pulisic anacheza vizuri akitoka kulia ndio maana Dortmund anapigwa benchi Kali na Sancho dogo wamoto balaa,odoi atakosa namba hakuna namna naona kabisa akiondoka, kwa hivyo kuziba pengo la hazard ni majanga angalau Zaha anafika nusu ya uwezo wa hazard, pia Insigne na wote wanatoka kushoto,tunahitaji namba tisa, hiyo position hatuna mchezaji ,na mfumo wa Sari Depay anatufaa, tusisahau namba 3 hatuna mchezaji, pia azipiculator kachoka kiufupi Team yetu inahitaji repair ya hali ya juu na usajiri tulivyo pigwa stop balaa kubwa
Huu ni utani sasa Zaha hamfikii kiwango pulisic hata kidogo

Dortmund wanampa nafasi Sancho kwa kuwa pulisic sio mchezaji wao tena ni Mali ya Chelsea kwa sasa

Kila mtu ana mtazamo wake ila kwangu aspliqueta ni beki bora namba 2 kwa england pale

Ngolo hawezi kuondoka huyu ni kiraka wa team anacheza popote huyu lakini pia ni vizuri kuwa na wachezaji wawili kila nafasi hii huongeza ukuaji wa mchezaji

Odoi alishaanza kupata namba kabla hajaumia so akirudi bado namba yake IPO
 
- Is it confirmed Eden is leaving?

- Tumeridhika na Left back options tulizonazo in Alonso and Emerson?

- Beki wa Kati: Kuna haja ya kusajili au kurudisha walioko on loan? Mfano, Zouma.

- Kovacic: Tunamhitaji bado au aondoke?

- Drinkwater?

- Ross Barkley?
Not confirmed na kwa sababu Chelsea imefuzu Championship, kuondoka kwa Hazard ni 50/50 na itaamuliwa na RM kufukia dau Chelsea wanayotaka na hao hao RM wana target nyingi sana ambazo hawataweza kuzifikia zote. Wan Mbape, Neymar, nk
Cha pili jinsi mashabiki wanavyompenda sidhani kama Hazard ataondoka kwa kulazimisha
 
Huu ni utani sasa Zaha hamfikii kiwango pulisic hata kidogo

Dortmund wanampa nafasi Sancho kwa kuwa pulisic sio mchezaji wao tena ni Mali ya Chelsea kwa sasa

Kila mtu ana mtazamo wake ila kwangu aspliqueta ni beki bora namba 2 kwa england pale

Ngolo hawezi kuondoka huyu ni kiraka wa team anacheza popote huyu lakini pia ni vizuri kuwa na wachezaji wawili kila nafasi hii huongeza ukuaji wa mchezaji

Odoi alishaanza kupata namba kabla hajaumia so akirudi bado namba yake IPO
Pulisic hapewi namba kwa sababu ya Sancho wala sio kwa sababu anaondoka, ingekuwa ni hivyo Hazard angekosaga namba siku nyingi Chelsea. Christian Pulsic ni mchezaji wa kawaida labda akija afanye improvement kubwa. Kuondoka kwa mchezaji haiondoi ubora wake na umuhimu wake,
 
Chelsea inamhitaji beki kiongozi replacement ya Luiz kama alivyokuwa John Terry
Kiungo kiongozi naona kama Jorginho akiendelea kuwa kwenye form kama mechi mbili zilizopita anaweza kuongoza viungo, RLC akiendelea hivi atakuja kuziba pengo la Lampard kwani tulidhani Barkley angeweza ila kashaonyesha hataweza
Tunahitaji striker wa kudumu, Giroud na Higuaín hawawezi kuwa strikers wa kuhimili EPL na ndio maana giropud ana struggle sana kufunga EPL kama anavyostrugle Higuaín. Striker wa kiwango cha akin a Drogba na Diego costa aletwe mara moja
Odoi, Pulisic wakipewa backup na willian na Pedro wanatosha
 
Not confirmed na kwa sababu Chelsea imefuzu Championship, kuondoka kwa Hazard ni 50/50 na itaamuliwa na RM kufukia dau Chelsea wanayotaka na hao hao RM wana target nyingi sana ambazo hawataweza kuzifikia zote. Wan Mbape, Neymar, nk
Cha pili jinsi mashabiki wanavyompenda sidhani kama Hazard ataondoka kwa kulazimisha
Usisahau mkataba wa hazard unaelekea mwisho na hajasain bado mkataba mpya na chelsea
 
Mimi ni chelsea lakini sijui kwanini natamani kumuona hazard akicheza Spain haswa barca
 
Pulisic hapewi namba kwa sababu ya Sancho wala sio kwa sababu anaondoka, ingekuwa ni hivyo Hazard angekosaga namba siku nyingi Chelsea. Christian Pulsic ni mchezaji wa kawaida labda akija afanye improvement kubwa. Kuondoka kwa mchezaji haiondoi ubora wake na umuhimu wake,
Huwezi kumchezesha pulisic huku ukijua msimu ujao sio mchezaji wenu tena so ni lazima wamtafute mbadala na wampe nafasi ya kucheza na ndio maana toka Chelsea wamsajili pulisic na kumrudisha Dortmund amalizie msimu kocha alianza kumweka benchi lengo likiwa ni kutafuta mbadala wake na hilo limewacost mpaka wakakosa ubingwa kwa kuwa pulisic alikuwa anaasist za kutosha achilia mbali ufungaji wake wa mabao na uwezo wake mkubwa wa mbio na chenga za maudhi

Hivyo ndivyo ninavyoamini Mimi
 
Usisahau mkataba wa hazard unaelekea mwisho na hajasain bado mkataba mpya na chelsea
Kusaini sio issue, issue ni hajafanya maamuzi na sidhani kama ataondoka kwa fujo, kwa 75% inaelekea muda wowote atakubali kusaini mkataba kwa sababu
  1. kwanza anaupenda mfumo wa Sarriball,
  2. pili Chelsea kuingia top 4 ni motivation kwa wachezaji kama Hazard wanaotafuta makombe makubwa na
  3. tatu mapenzi waliyonayo mashabiki wa Chelsea kwa Hazard inaweza kumfanya akubalki kubaki
 
Huwezi kumchezesha pulisic huku ukijua msimu ujao sio mchezaji wenu tena so ni lazima wamtafute mbadala na wampe nafasi ya kucheza na ndio maana toka Chelsea wamsajili pulisic na kumrudisha Dortmund amalizie msimu kocha alianza kumweka benchi lengo likiwa ni kutafuta mbadala wake na hilo limewacost mpaka wakakosa ubingwa kwa kuwa pulisic alikuwa anaasist za kutosha achilia mbali ufungaji wake wa mabao na uwezo wake mkubwa wa mbio na chenga za maudhi

Hivyo ndivyo ninavyoamini Mimi
Hiyo sio point weka pembeni, wasingekubali abakie kwa mkopo, wangemrelease wamuajiri mwingine, hii iko wazi
 
Mkuu hii sababu siyo kweli kabisa. Huwa namfuatilia sana huyu dogo na ni kweli anapata namba mara nyingi tu na kama hataanza basi lazima aingie baadae kwa sababu pia ni ushindani wa namba na Sancho.
Huwezi kumchezesha pulisic huku ukijua msimu ujao sio mchezaji wenu tena so ni lazima wamtafute mbadala na wampe nafasi ya kucheza na ndio maana toka Chelsea wamsajili pulisic na kumrudisha Dortmund amalizie msimu kocha alianza kumweka benchi lengo likiwa ni kutafuta mbadala wake na hilo limewacost mpaka wakakosa ubingwa kwa kuwa pulisic alikuwa anaasist za kutosha achilia mbali ufungaji wake wa mabao na uwezo wake mkubwa wa mbio na chenga za maudhi

Hivyo ndivyo ninavyoamini Mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom