Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Tathimini yangu kwa timu yetu pendwa kwa msimu ujao.
BACK LINE.
Chelsea kwa kweli tunahitaji mbadala wa Luiz yan beki mwenye experience na michuano ya ulaya halafu pia tuna hitaji mbadala wa Azpilicueta nadhani msimu ujao atarudishwa R. James aliyekuwa kwa mkopo Wigan. Kama kwenye back line hatutapata beki wa kati au rufaa itakataliwa basi tumrudishe Fikayo Tomori aliye kwa mkopo chini ya Lampard na Derby County, ni beki mzuri sana huyu dogo na ameshiriki 90% ya mechi zote za Derby County. Pia upande wa kushoto kumeshamalika uwepo wa Alonso na Emerson unatosha sana kuukabili msimu ujao. Kwa upande wa kipa hakuna mashaka tunaye mzuri na anaendana na bei yake ila naye caballero apewe mkataba kwa sababu unaisha msimu huu, so ni bora aendelee kuwa mbadala wa Kepa.
MIDFIELD
Kiukweli nadhani Sarri ataendelea kumpa nafasi Jorginho na hata kiuhalisia Jorginho ameonyesha kiwango kizuri kwa baadhi ya mechi na hasa mechi 2-3 zilizopita sema anatakiwa apate mtu wa kumpa back up na kumpa changamoto na hakuna mwingine zaidi ya kumrudisha Bakayoko ukiangalia ana perform vizuri sana Ac Milan. Tukija kwa atacking midfielder nadhani hakuna shida Kante, Barkley, Kovacic na zaidi namuona mbali sana msimu ujao RLC. Atakuja kugombaniwa sana na vigogo huyu dogo.
Inaendelea.. Am ready to be corrected. Mnikosoe.
BACK LINE.
Chelsea kwa kweli tunahitaji mbadala wa Luiz yan beki mwenye experience na michuano ya ulaya halafu pia tuna hitaji mbadala wa Azpilicueta nadhani msimu ujao atarudishwa R. James aliyekuwa kwa mkopo Wigan. Kama kwenye back line hatutapata beki wa kati au rufaa itakataliwa basi tumrudishe Fikayo Tomori aliye kwa mkopo chini ya Lampard na Derby County, ni beki mzuri sana huyu dogo na ameshiriki 90% ya mechi zote za Derby County. Pia upande wa kushoto kumeshamalika uwepo wa Alonso na Emerson unatosha sana kuukabili msimu ujao. Kwa upande wa kipa hakuna mashaka tunaye mzuri na anaendana na bei yake ila naye caballero apewe mkataba kwa sababu unaisha msimu huu, so ni bora aendelee kuwa mbadala wa Kepa.
MIDFIELD
Kiukweli nadhani Sarri ataendelea kumpa nafasi Jorginho na hata kiuhalisia Jorginho ameonyesha kiwango kizuri kwa baadhi ya mechi na hasa mechi 2-3 zilizopita sema anatakiwa apate mtu wa kumpa back up na kumpa changamoto na hakuna mwingine zaidi ya kumrudisha Bakayoko ukiangalia ana perform vizuri sana Ac Milan. Tukija kwa atacking midfielder nadhani hakuna shida Kante, Barkley, Kovacic na zaidi namuona mbali sana msimu ujao RLC. Atakuja kugombaniwa sana na vigogo huyu dogo.
Inaendelea.. Am ready to be corrected. Mnikosoe.