Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

STRIKING FORCE
Foward line ndio tatizo kubwa kwetu msimu huu na hata ule ulioisha. Katika top six Chelsea ndio timu iliyofunga magoli machache sana msimu huu. Kwa hiyo tunahitaji sana clinical striker atakayetupa walau magoli 20 kwa msimu mmoja. Mtu kama Luka Jovic anafaa sana pia our academy graduate like Tammy Abraham ambaye amekuwa na msimu mzuri sana akiwa kwa mkopo Aston Villa amefunga magoli 25 katika mechi 37 hivi wana Chelsea tunataka nini kingine kwa huyu dogo.

Kuhusu CHO hakuna shaka huyu mtoto apate nafasi tu ataonyesha kiwango chake. Pulisic ni mchezaji ambae tayari ameshjitambulisha namna yake ya uchezaji cha msingi muda tu utasema. Willian na Pedro hawa wazee watatoa experience yao kwa hawa watoto. Giroud na Higuain sioni nafasi zao msimu ujao siyo wachezaji wa kutegemea kabisa kwa hiyo wafunguliwe mlango wa kutokea tu. Hazard kama atakuwepo msimu ujao itapendeza sana.

Hiyo ni tathmini yangu kwa kuzingatia walau katika kila idara kuwe na mtu mzima mmoja mwenye experience zake. Sijamzungumzia Hazard kwa sababu simuoni msimu ujao kwa maana Madrid watakua washamalizana naye na nadhani kinacho subiriwa ni kutangazwa kwake. Kuna mahali nilisoma wameandika tar 12/05 ndio mustakabali wake utatangazwa.

Mchezaji bora wa msimu nampa Hazard. Mchezaji chipukizi na CHO. Karibuni wadau wa mpira na mashabiki wote tufanye tathimini na tutoe maoni yetu.

.
.
.
FORWARDS:

Kwa kweli hapa, kutokana na formation pendwa ya Sarri ya 4-3-3, hapa inakuwa changamoto kuzungumza.

- Nakubali kuwa Giroud na Higuain waondoke tu, tena mapema.

- Hakuna haja ya kumrudisha Morata

- KUNA HAJA KUBWA YA KUSAJILI STRIKER ila sina hata idea ni nani wa kumpendekeza. Jovic? Depay? Insigne?

- Forward line yetu tuliyonayo ingependeza sana kama tungecheza 4-2-3-1. Kwa 4-3-3 kuna wengi watakaa benchi ila kama ulivyosema kuwa Willian na Pedro wanazeeka hivyo ni vyema kuwa na madogo wa kuchukua nafasi zao

- Eden Hazard
- Willian
- Pedro
- Callum Hudson Odoi
- Christian Pulisic
- Tammy Abraham
 
.
.
.
FORWARDS:

Kwa kweli hapa, kutokana na formation pendwa ya Sarri ya 4-3-3, hapa inakuwa changamoto kuzungumza.

- Nakubali kuwa Giroud na Higuain waondoke tu, tena mapema.

- Hakuna haja ya kumrudisha Morata

- KUNA HAJA KUBWA YA KUSAJILI STRIKER ila sina hata idea ni nani wa kumpendekeza. Jovic? Depay? Insigne?

- Forward line yetu tuliyonayo ingependeza sana kama tungecheza 4-2-3-1. Kwa 4-3-3 kuna wengi watakaa benchi ila kama ulivyosema kuwa Willian na Pedro wanazeeka hivyo ni vyema kuwa na madogo wa kuchukua nafasi zao

- Eden Hazard
- Willian
- Pedro
- Callum Hudson Odoi
- Christian Pulisic
- Tammy Abraham
Hayo unayosemea mkuu, ni hadi ban iishe
 
.
.
.
MIDFIELD:

- I don't rate Kovacic. Halafu kuna hofu ya Real Madrid kutaka kumtumia Kovacic kwenye deal la kumnunua Hazard hivyo kwangu ni heri arudi.

- Danny Drinkwater auzwe tu maana naona Sarri hajamkubali.

- Sijaona kati ya vijana waliopo on loan wa kumrudisha ambaye atafanya vizuri zaidi ya waliopo.

- Kuna hatihati ya Bakayoko kurudi kwa lazima kwa kuwa amelalamika ubaguzi wa rangi huko aliko.

- kuna options mbili ikitokea tunahitaji mabadiliko;
+ Kuwatumia Zouma au Luiz kama Holding midfielders.
+ Kucheza 4-2-3-1 (advantage ni kuwa tunao atacking midfielders wengi at our disposal)

- Ila, ikitokea akabaki ni heri tubaki na midfielders tulionao;
- Ngolo Kante
- Jorginho
- Ruben Loftus Cheek
- Kovacic
- Ross Barkley

Ross Barkley simkubali kabisaa ana mpira wa Pogba, mpiria wa kunata nata sana.
 
Tusubiri ila target ya hazard ni kuondoka, sema anataka kuondoka kwa amani kwa kuwa club imempa heshima kubwa mno toka anatoka Lile
Tatizo kuondoka sio Hazard, RM hawajafanya maamuzi, wana target nyingi na hawataki kufikia dau la paundi zaidi ya 100mil
 
Tathimini yangu kwa timu yetu pendwa kwa msimu ujao.

BACK LINE.
Chelsea kwa kweli tunahitaji mbadala wa Luiz yan beki mwenye experience na michuano ya ulaya halafu pia tuna hitaji mbadala wa Azpilicueta nadhani msimu ujao atarudishwa R. James aliyekuwa kwa mkopo Wigan. Kama kwenye back line hatutapata beki wa kati au rufaa itakataliwa basi tumrudishe Fikayo Tomori aliye kwa mkopo chini ya Lampard na Derby County, ni beki mzuri sana huyu dogo na ameshiriki 90% ya mechi zote za Derby County. Pia upande wa kushoto kumeshamalika uwepo wa Alonso na Emerson unatosha sana kuukabili msimu ujao. Kwa upande wa kipa hakuna mashaka tunaye mzuri na anaendana na bei yake ila naye caballero apewe mkataba kwa sababu unaisha msimu huu, so ni bora aendelee kuwa mbadala wa Kepa.

MIDFIELD
Kiukweli nadhani Sarri ataendelea kumpa nafasi Jorginho na hata kiuhalisia Jorginho ameonyesha kiwango kizuri kwa baadhi ya mechi na hasa mechi 2-3 zilizopita sema anatakiwa apate mtu wa kumpa back up na kumpa changamoto na hakuna mwingine zaidi ya kumrudisha Bakayoko ukiangalia ana perform vizuri sana Ac Milan. Tukija kwa atacking midfielder nadhani hakuna shida Kante, Barkley, Kovacic na zaidi namuona mbali sana msimu ujao RLC. Atakuja kugombaniwa sana na vigogo huyu dogo.

Inaendelea.. Am ready to be corrected. Mnikosoe.
Kwa maoni yangu
Azpilicueta anahitaji backup sio replacement, RJ anaweza kuwa backup yake.
Azpilicueta anachoka sana kwa sababu anacheza bila kupumzika, rekodi zinaonyesha kuwa
Azpilicueta is one of the best RB in EPL, kudrop form ni kawaida hasa kwa mchezaji asiyepumzishwa., Bakayoko not fitted at all in English footaball, wache aendelee kufanya vizuri huko Roma. Kuhusu Jorginho kama ban itaendelea kuwepo, Kovacic anaweza kabisa kuimudu hiyo nafasi na amashafanya hivyo kwa baadhi ya mechi. Backup wa RLC na Kante ni muhimu kwa ajili ya majeruhi na kupumzisha. Kama Odoi atasisitiza kuondoka huyu jamaa anayeitwa
Ryan Fraser ni mzuri sana kwa winger wa kushoto au attacking MF wa kushoto. Kule mbele mkopo wa Higuaín uongezwe naona msimu ujao atakuwa ameijulia EPL ila kama ban itaondolewa tunahitaji strikers wa kaliba ya Drogba na Diego Costa.
 
Higuain??????????????????
Kwa maoni yangu
Azpilicueta anahitaji backup sio replacement, RJ anaweza kuwa backup yake.
Azpilicueta anachoka sana kwa sababu anacheza bila kupumzika, rekodi zinaonyesha kuwa
Azpilicueta is one of the best RB in EPL, kudrop form ni kawaida hasa kwa mchezaji asiyepumzishwa., Bakayoko not fitted at all in English footaball, wache aendelee kufanya vizuri huko Roma. Kuhusu Jorginho kama ban itaendelea kuwepo, Kovacic anaweza kabisa kuimudu hiyo nafasi na amashafanya hivyo kwa baadhi ya mechi. Backup wa RLC na Kante ni muhimu kwa ajili ya majeruhi na kupumzisha. Kama Odoi atasisitiza kuondoka huyu jamaa anayeitwa
Ryan Fraser ni mzuri sana kwa winger wa kushoto au attacking MF wa kushoto. Kule mbele mkopo wa Higuaín uongezwe naona msimu ujao atakuwa ameijulia EPL ila kama ban itaondolewa tunahitaji strikers wa kaliba ya Drogba na Diego Costa.
 
Tukisajiri kiungo namba 8 kipenzi chetu N'golo itabidi aondoke hakuna namna, pia tunaunga mkono kusajiri beki wa kati makini ila zuma arudi kucheza ,pulisic anacheza vizuri akitoka kulia ndio maana Dortmund anapigwa benchi Kali na Sancho dogo wamoto balaa,odoi atakosa namba hakuna namna naona kabisa akiondoka, kwa hivyo kuziba pengo la hazard ni majanga angalau Zaha anafika nusu ya uwezo wa hazard, pia Insigne na wote wanatoka kushoto,tunahitaji namba tisa, hiyo position hatuna mchezaji ,na mfumo wa Sari Depay anatufaa, tusisahau namba 3 hatuna mchezaji, pia azipiculator kachoka kiufupi Team yetu inahitaji repair ya hali ya juu na usajiri tulivyo pigwa stop balaa kubwa
Mkuu kwa jinsi ya ufundishaji wa Sarri sioni kama anahitaji wachezaji wote hao. Nafikiri anahitaji Left back, midi mmoja na striker. Ila kati namba sita anacheza Joginho/Kovacic, namba 8 Kante, namba 10 RLC na Barkley pia yupo kati. Naamini msimu ujao utakuwa for rebuilding and I'm confinced Sarri is a long term.
 
.
.
.
DEFENCE:

- Ulimaanisha Reece James aje kama mbadala wa Luiz ama Azpilicueta? Mimi nadhani ni vyema Reece aje tena arudi msimu ujao aanze pre-season awe understudy wa D. Luiz maana Reece anacheza kama Fullback.

- Sioni shida ya Azpilicueta bado na Zappacosta anatosha kuwa mbadala wake kwa msimu ujao

- Kurt Zouma huwa anacheza kwa kujituma sana kama huyu Mjerumani A. Rudiger. Kwa kuondoka kwa Cahill na Ethan Ampadu ningependelea Kurt Zouma arudishwe.

Defenders wetu wawe:
- Cesar Azpilicueta
- David Luiz
- Emerson Palmieri
- Kurt Zouma
- Marcos Alonso
- Antonio Rudiger
- Andreas Christensen
- Davide Zappacosta
Reece anacheza full back siyo mzuri akicheza katikati. Arudishwe awe msaidizi wa Azpilicueta hiyo itasaidia kumpa changamoto Azpi.
 
.
.
.
FORWARDS:

Kwa kweli hapa, kutokana na formation pendwa ya Sarri ya 4-3-3, hapa inakuwa changamoto kuzungumza.

- Nakubali kuwa Giroud na Higuain waondoke tu, tena mapema.

- Hakuna haja ya kumrudisha Morata

- KUNA HAJA KUBWA YA KUSAJILI STRIKER ila sina hata idea ni nani wa kumpendekeza. Jovic? Depay? Insigne?

- Forward line yetu tuliyonayo ingependeza sana kama tungecheza 4-2-3-1. Kwa 4-3-3 kuna wengi watakaa benchi ila kama ulivyosema kuwa Willian na Pedro wanazeeka hivyo ni vyema kuwa na madogo wa kuchukua nafasi zao

- Eden Hazard
- Willian
- Pedro
- Callum Hudson Odoi
- Christian Pulisic
- Tammy Abraham
Mkuu rufaa imekataliwa. Hatutaweza kusajili kwa hiyo kwa vyovyote vile lazima tutumie wachezaji wa academy kwa msimu ujao. Tammy lazima awe first option
IMG_20190508_230000_241.jpeg
 
Wakuu rufaa yetu imekataliwa ...kwaiyo imepelekwa mahakama ya juu zaidi. Kma ikutokea imeshindikana kabisa itabidi tupambane kwa zaid ya misimu miwili bila kufanya usajili wowote ule...
 
Tathimini yangu kwa timu yetu pendwa kwa msimu ujao.

BACK LINE.
Chelsea kwa kweli tunahitaji mbadala wa Luiz yan beki mwenye experience na michuano ya ulaya halafu pia tuna hitaji mbadala wa Azpilicueta nadhani msimu ujao atarudishwa R. James aliyekuwa kwa mkopo Wigan. Kama kwenye back line hatutapata beki wa kati au rufaa itakataliwa basi tumrudishe Fikayo Tomori aliye kwa mkopo chini ya Lampard na Derby County, ni beki mzuri sana huyu dogo na ameshiriki 90% ya mechi zote za Derby County. Pia upande wa kushoto kumeshamalika uwepo wa Alonso na Emerson unatosha sana kuukabili msimu ujao. Kwa upande wa kipa hakuna mashaka tunaye mzuri na anaendana na bei yake ila naye caballero apewe mkataba kwa sababu unaisha msimu huu, so ni bora aendelee kuwa mbadala wa Kepa.

MIDFIELD
Kiukweli nadhani Sarri ataendelea kumpa nafasi Jorginho na hata kiuhalisia Jorginho ameonyesha kiwango kizuri kwa baadhi ya mechi na hasa mechi 2-3 zilizopita sema anatakiwa apate mtu wa kumpa back up na kumpa changamoto na hakuna mwingine zaidi ya kumrudisha Bakayoko ukiangalia ana perform vizuri sana Ac Milan. Tukija kwa atacking midfielder nadhani hakuna shida Kante, Barkley, Kovacic na zaidi namuona mbali sana msimu ujao RLC. Atakuja kugombaniwa sana na vigogo huyu dogo.

Inaendelea.. Am ready to be corrected. Mnikosoe.
Mkuu sis Bado tuna kikosi finyu sana ..hasa ukizingatia na hazard naye anasepa ..sasa naona kwa mahesabu ya haraka wale madogo wa kwa mkopo warudishwe tukubali kuwa kama arsenal kuchrza nao tu...
 
Wakuu rufaa yetu imekataliwa ...kwaiyo imepelekwa mahakama ya juu zaidi. Kma ikutokea imeshindikana kabisa itabidi tupambane kwa zaid ya misimu miwili bila kufanya usajili wowote ule...
poleni sana aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom