21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,303
- 2,853
Game ilikua tight hii, kaz kwenu na spurs kugombea hiyo nafasi moja iliyobakiMmeshashinda hii inamaanisha ,
Manyua msimu ujao atakuwa futuhi
Game ilikua tight hii, kaz kwenu na spurs kugombea hiyo nafasi moja iliyobakiMmeshashinda hii inamaanisha ,
Manyua msimu ujao atakuwa futuhi
Jamaa alilalamika sana kocha hajamtendea hakiGary Cahill anaingia badala ya Luiz dk ya 89 kuwaaga mashabiki
Bado hata wewe inakubid game ya mwisho ushinde,,japo mpaka sasa umefikisha 80% ya kwenda UCLGame ilikua tight hii, kaz kwenu na spurs kugombea hiyo nafasi moja iliyobaki
Arsenal wakikubali kufungwa leo kama kawaida yao, TOP 4 race will be overBado hata wewe inakubid game ya mwisho ushinde,,japo mpaka sasa umefikisha 80% ya kwenda UCL
Leo tutakaza aisee,Arsenal wakikubali kufungwa leo kama kawaida yao, TOP 4 race will be over
Hapa najua hutakuwa na la kuongea Tena.Weka akiba ya maneno ,ni rahis kumpiga lei lkn sio Watford ,wana viungo wazuri sana wenye nguvu, rejea mech zao wanavyotawalaga kiungo,
Chelsea 3 vs Watford 0Mkishinda ni kwa ukakasi sana.
AubaaaaArsenal anafungwa leo
AubaaaArsenal anafungwa leo
Ndio maana mm huwa naamini Watford ndio timu yenye kiungo bora EPL nzima,ila haina forward wakueleweka tu
Mmeshashinda hii inamaanisha ,
Manyua msimu ujao atakuwa futuhi
Ndio imeisha hiyo mzeeArsenal wamesalimi amri kama manu, ,,Chelsea 100% top 4, Spurs ni kama nao wamepita labda wafungwe magoli mengi na evarton na wao Arsenal wawafunge Burnley nyumbani kwao mabao mengi
This is EPL
Man U na Arsenal sasa rasmi Futuhi Championship mwakani, ubishi woote na matusi juu imefika ukomo japo Arsenal wanaweza kujipeleka Championship kupitia EuropaBado hata wewe inakubid game ya mwisho ushinde,,japo mpaka sasa umefikisha 80% ya kwenda UCL
Leo tutakaza aisee,