lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,699
- 25,913
Umechanganya mambo na ukajichanganya sana tu! Alonso sawa ana shida ndio maana kawekwa kando, Luiz sometimes mzito kama ilivyo kwa Rudiger na ndio maana kwa sasa Rudger anaongoza kwa kucheza rafu. Kuanzia December kumekuwa na tabia ya karibu wachezaji wote form kushuka aidha wakifungwa au baada ya HT na hapa huwezi mlaumu mchezaji mmoja mmoja labda kocha ndio hawezi kutekjeleza majukumu yake sawasa. Hii mechi ya juzi na Slavia timu nzima ilikuwa ikifanya silly mistakes including akina Kante, Kovasic, Willian, Aspi, Emmerso nk. Kosa kubwa ni ball possession, na pasi mbovu kabisa, Katika mechiza za Liverpool na SLavia wafungaji au waliokuwa wakitoa assists walikuwa wanapitia kule kule kwa Emerson walishazoea kwa Alonso.Chelsea imejaa wachezaji wavivu kweli kweli ,ni wavivu na wazembe wanakaba kwa macho na kuwanyooshea mikono wenzao wakabe Luiz,willian,alonso,emerson, jorgihno siku chelsea isipokuwa na Rudiger, Kante ,kovasic, Barkley kwa kipa wetu lazima tutapigwa goli 2-3 haijalishi tutashinda au la
Nilichogundua tu ni kwamba tukiwa na MF wazuri tunaposses na tukiwa na winga pamoja na Left and Right backs wazuri tunafunga magoli