Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
71Ndo mlimnunu paundi ngapi vile? ??
71Ndo mlimnunu paundi ngapi vile? ??
Kwa timu yako hii ya kepa, huku nakusibiri final nikubondeNiko bizye kihakikisha Barca tunabeba Uefa na Chelsea ikinyanyua Europa ..
Mkuu MASAMILA nakusalimu ..nadhani mnatambua kuwa King hakabiki ..ukimkaba ni faulu maana lazima ukamie sana ...Hahahaah
Mzee AROON huyo jamaa alijipiga ban tokea jumapili ila ameonekana uzi wa Barca leo
huyu hapa chini
[emoji1787][emoji38][emoji1787]
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
sasa Kepa unamfananisha na kipa gani apo England ..Kwa timu yako hii ya kepa, huku nakusibiri final nikubonde
Kwa hii chelwowo inayosumbuka kwa Slavia Prague?Tukipewa nyie uyo Leno tutahakikisha tunamtoboa sio chini ya goli tatu...
Mkuu MASAMILA nakusalimu ..nadhani mnatambua kuwa King hakabiki ..ukimkaba ni faulu maana lazima ukamie sana ...
Uyu Messi tangu tumboni mwa mamaye alikuwa akiupiga mwingi tu ..halafu leo kijibeki kama VVD au Matip kihe kimzuie!!? Beki kisiki kam Vidic, Garry Neville, Ferdinand..zilishindwa sembuse hiz za looserfool ..
Hahaaa pazia kepa ,sasa Kepa unamfananisha na kipa gani apo England ..
Mkuu MASAMILA nakusalimu ..nadhani mnatambua kuwa King hakabiki ..ukimkaba ni faulu maana lazima ukamie sana ...
Uyu Messi tangu tumboni mwa mamaye alikuwa akiupiga mwingi tu ..halafu leo kijibeki kama VVD au Matip kihe kimzuie!!? Beki kisiki kam Vidic, Garry Neville, Ferdinand..zilishindwa sembuse hiz za looserfool ..
Chelsea wamecheza vizuri, hayo mashuti ya kubahatisha wala kipa hana makossa, kipa yeyote anafungwa na mashuti ya kushtukiza kama yaleHawa Chelsea wanajielewa kweli?Ndo nini kuruhusu magoal hayo yote pale darajani?.Mashabiki wa Chelsea kazi mnayo.
Mpendwa hayo mashuti ya Petr ya kubahatisha baada ya kushindwa kufika golini. Hizi incidents huwa hazitokei wakati wote. Cha kumshukuru Mungu ni good form ya Pedro jana ililipa, magoli yote manne Pedro alihusika kwa 100%, akifunga mawili, moja assist na lingine assists kwa OG, hii form iendelee tutakapokutana na Eintracht Frankfurt ya Ujerumani kwenye Semi Final tarehe 2 na 9 May 2019Dah! Bora liende aise ..afadhali tumeshinda, hii Chelsea imekuja kuwa ya ajabu sana ..sikutegemea kama tungekuwa ivi aise dah! ..kama Praha ndo hivi ao Valencia au Arsenal itakuwa balaa...
Keep The Blues Flag To Fly High..
Chelsea imejaa wachezaji wavivu kweli kweli ,ni wavivu na wazembe wanakaba kwa macho na kuwanyooshea mikono wenzao wakabe Luiz,willian,alonso,emerson, jorgihno siku chelsea isipokuwa na Rudiger, Kante ,kovasic, Barkley kwa kipa wetu lazima tutapigwa goli 2-3 haijalishi tutashinda au laBaada ya Half time huwa tunapigwa magoli mengi. Jana tena, wachezaji wanaambiwa nini? Maana hii ni dalili mbaya
Kepa nae kuna baadhi anatakiwa a-save kila game anapigwa magoli ya mbali. kwanza anaruka (dive) wakati yy ni mfupi. Alitakiwa apige hatua mbili au moja ndo aruke.
Pili mabeki wasikubali opposition players awe free kupiga mashoot kwa urahisi. Emerson na Luiz (joke defender).
Kwa maelezo yako unaweza kuwa kipa bora duniani kumzidi KEPABaada ya Half time huwa tunapigwa magoli mengi. Jana tena, wachezaji wanaambiwa nini? Maana hii ni dalili mbaya
Kepa nae kuna baadhi anatakiwa a-save kila game anapigwa magoli ya mbali. kwanza anaruka (dive) wakati yy ni mfupi. Alitakiwa apige hatua mbili au moja ndo aruke.
Pili mabeki wasikubali opposition players awe free kupiga mashoot kwa urahisi. Emerson na Luiz (joke defender).