Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu umesema kweli na kama sio Pedro angechezesha pemben hazard na willian na kat forward higuain au giroud koz ni warefu wangeweza msumbua zaidi beki kisiki wao wa kati Liverpool VVD.
Lakini clixus tulikuwa kwenye mechi ya Chelsea dhidi ya Slavia nadhani, sio Liverpool
 
Aaaah ok saw nilidhan ya Liverpool ilyoniuma sana
Hii ya Liverpool it was a nightmare. Chelsea bado inahitaji kocha mpya anayeweza kushirikiana na management kuiunda upya Chelsea na kuwaondoa matakata wasiostahili paleNusu ya wachezaji wanatakiwa wabadilishwe. Hapo ndipo tutakuwa na uwezo wa kushindana comfortably bila woga na top 6 including wale mbwa mwitu
Katikati walizidiwa sana na ndio waliotuuza including Sarri's beloved son Jourginho
 
Ollachuga ameibukia kwenyeJukwaa la Barcelona Hahahahahahahahah Kapotea tena
 
Chelsea for sale
Three bidders from US, Asia and UK are targeting to buy the club from Russian billionaire. Roman Abramovich acquired Chelsea in 2003 for £140 million from Ken Bates, who had in 1982 purchased it for a paltry sum of £1 (and thereby made a £17 million profit). The current price tag stand at 2.5bn Sterling Pound. This amount is equal to TZS. 7.5 trillion

Karibuni wawekezaji, ila msije mkaigeuza kuwa kama Sunderland
Ombeni sana timu isije ikauzwa kwa watu kama Glazzers ,mtajuta , mtajuta aise.

Sent using simu mbovu
 
Ollachuga Oc upo wapi ,toka jumapili huonekani, jitokeze Leo manyua anacheza na barca

Yohana 3:16

Hahahaah

Mzee AROON huyo jamaa alijipiga ban tokea jumapili ila ameonekana uzi wa Barca leo

huyu hapa chini

🤣😆🤣

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

asante sana Barca asante sana Messi. Kidogo nimepunguza machungu ya kupigwa na Liverpool, sasa tuwepe awa vijana wa Klopp tuwafundishe mpira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Read first wapi nimemdisqualify Willian. Kwa taarifa yako mimi ni admirer mkubwa wa Willian hata siku akiwa kwenye bad form siwezi kumsema vibaya. Willian kwangu ni one of Chelsea legend. kama umefuatilia mada yangu tangu mwanzo nilikuwa nazungumzia kiwango cha Pedro nau kama ile nafasi ya Pedro angecheza Odoi kungechangamka!!!!!!!!!!!!!
mchawi wetu ni kocha kushindwa kupanga kikosi bora katika game muhimu yaani anabatisha
Pili middle yake haina huwezo wa EPL only mtu mwenye nguvu sio mtoa ulimi jognho
 
Hawa Chelsea wanajielewa kweli?Ndo nini kuruhusu magoal hayo yote pale darajani?.Mashabiki wa Chelsea kazi mnayo.
 
Dah! Bora liende aise ..afadhali tumeshinda, hii Chelsea imekuja kuwa ya ajabu sana ..sikutegemea kama tungekuwa ivi aise dah! ..kama Praha ndo hivi ao Valencia au Arsenal itakuwa balaa...

Keep The Blues Flag To Fly High..
 
Hawa Chelsea wanajielewa kweli?Ndo nini kuruhusu magoal hayo yote pale darajani?.Mashabiki wa Chelsea kazi mnayo.
Chelsea ni timu kubwa Sana London na pengine england nzima ..kwa shida shida tutaiñgia fainal na kubebà kabisa maana hatua mpinzani mpka sasa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom