Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,143
INSHORT SARI HANA NIA NA KOMBE hivi ni kocha gani anayepigwa goli nyingi bila ya kuwa na nia ya kusawazisha makocha wote utaona wakipigwa mbili mfumo unabadilika either kuzuia na kushambulia kwa kusitukizana kudababisha goliKamwe timu zilizozoea makombe kama Real Madrid wasingeweza kubaki na kocha kama Solari
Na hapa watu wanaoikandia Chelsea kufukuza makocha wajifunze hapa, timu kubwa ni makombe, kama kocha huleti makombe utafungasha virago tuh
Sari asipoleta makombe sanasana tutamvumilia mwaka wa pili tu
Sasa sarr afungwe asifungwe analeta pass slowly tena backward na horizontal