The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,433
Mkuu utashtakiwa...anaitwa salah na siyo salarLiver 2 Chelsea 0 mane and salar
WAPO WANANIELEWA MPAKA HAWAJIELEWI
Mkuu utashtakiwa...anaitwa salah na siyo salarLiver 2 Chelsea 0 mane and salar
WAPO WANANIELEWA MPAKA HAWAJIELEWI
Kizuri zaid umenielewaMkuu utashtakiwa...anaitwa salah na siyo salar
Kizuri zaid umenielewa
WAPO WANANIELEWA MPAKA HAWAJIELEWI
Unasema hayo toka moyoni kabisa?Game bado ipo 50/50. Chelsea maybe a threat to yu
Vipi kashakufa?Msijar tunaenda kwenye goal letu la ushinda Liverpool anakufa
Kabla ya game kuanza niliuliza hili swali



Sasa mkuu unamlaumu kocha nini ,sema liver walikuwa bora kuliko nyie, basSitaacha kulalamika na huyu kocha wetu. Hakika anatunyima maisha tuliyoyazoea.
Sema tuvumilie maisha ya mpito. Nakubali nimefungwa kama ambvyo hata mimi namfunga. Hali yetu kwa sasa isiwe sababuya kufungwa kwetu. Tulikua na nafasi nyingi za kufanya mazuri ila tumefanya uzembe tu.
Sema goli la Salah zuri. Hatuwezi kumlaumu kipa. Pale anafungwa kipa yoyte yule na ubora wake. Hatukati tamaa, nafasi bado tunayo.
Up Blues
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha lawama kwa kocha, liver walikuwa bora kuliko nyie,Sarri OUT, msaada wake katika timu ni mdogo sana, matokeo yanaamuliwa na mchezaji mmoja mmoja ila sio kitimu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio mpira huo, haya jipangen mkamkazie man u maana na yeye anabebwa sana na marefa,Daa hali mbaya tulikua na uwezo wa kusawazisha kwa nafasi mbili za Hazard lakin bahati haikuwa yetu