The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,444
Yah nataman iwe hivyo
Kuna uwezekano EPL ikawa na timu zote kwenye finali za UEFA na EUROPA
Kuna uwezekano EPL ikawa na timu zote kwenye finali za UEFA na EUROPA
Msome uzuri alieropoka sio muandishi alie mnukuu mlevi
Hahahahah mkuu unamwogopa NAPOLIDynamokiv jana walikuwa ovyo sana, Chelsea walikutana na kibonde wala haikucheza vizuri sana kwa sababu wangecheza vizuri wangewafunga hata 10 na zaidi
Muhimu ni robo fainali
Leo UEFA wanatangaza nani na nani watacheza kwenye robo fainali, nafikiri hawatatupanga na Naples
Sarri ndio kasema anatamani kukutana na Napoli fainali sio Quarter final, anauheshimu huo mji wa NapoliHahahahah mkuu unamwogopa NAPOLI
EUROPA Quarter-final draw
Napoli (ITA) v Arsenal (ENG) (Mchezo utaanza London badala ya Napoli ili kutoganganisha na mchezo wa Chelsea kwenye mardiano)
Villarreal (ESP) v Valencia (ESP)
Benfica (POR) v Frankfurt (GER)
Slavia Praha (CZE) v Chelsea (ENG)
Semi-final draw
1. Napoli (ITA) / Arsenal (ENG) v Villarreal (ESP) / Valencia (ESP)
2. Benfica (POR) / Frankfurt (GER) v Slavia Praha (CZE) / Chelsea (ENG)
Final draw
Winners of semi-final 2 v Winner of semi-final 1
Facts
Hakuna uwezekano wa kukutana na Napoli au Arsenal labda mpaka Fainali kama wahusika wamefuzu
View attachment 1046241
Benefica haiwezekani kabisa labda nusu fainali na mmoja lazima atoke
Hiv ww fainal ngap nimekubonda ?
mtoe kwanza huyo napoli ndio uongee hayoHiv ww fainal ngap nimekubonda ?
Ss tunaomba fainal tukutane na ww mteja wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Napoli safar ishaiva ,nawasubir nyie vibonde wangu fainalmtoe kwanza huyo napoli ndio uongee hayo