Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

_52436320_011871949-2.jpg




_52436793_011871992-2.jpg

 
SAF, Vijana wake, Wanachama, wapenzi na mashabiki wa MANU popote pale walipo duniani wanayafurahia sana matokeo haya na kama TOT wataziona tena nyavu za Chelsea katika hizi dakika za lala salama basi kesho watatushambulia kama nyuki ili kuhakikisha wanapata ushindi mnono na kujisafishia njia ya kurudisha ubingwa wa EPL pale Old Trafford
 
Lucky Chelsea draw level

Chelsea have equalised with Spurs through a Frank Lampard goal after Gomes let a shot through his legs - but the ball cleary did not cross the line. A Sandro scorcher came first
 
Sicheki game, so siwez comment about the controversial goal stuff...ila wat i can say FIFA rules should be applicable universal, asa kuweka technolojia sidhan dunia ya tatu tutaweza..kama hadi leo vibao vya substitutions tunaandika na chaki...talk abt those devices?, a joke indeed...
 
4 additional minutes, Chelsea 2 Tottenham 1
 
Hongereni kwa ushindi mnono akina Invisible, Peasant & Co. You're still alive to compete with MANU for the remaining matches.
 
Sicheki game, so siwez comment about the controversial goal stuff...ila wat i can say FIFA rules should be applicable universal, asa kuweka technolojia sidhan dunia ya tatu tutaweza..kama hadi leo vibao vya substitutions tunaandika na chaki...talk abt those devices?, a joke indeed...
Ni kweli mkuu sifa mojawapo ya sheria nzuri ni lazima iwe universal, sheria inayobagua kundi flani haifai
 
SAF, Vijana wake, Wanachama, wapenzi na mashabiki wa MANU popote pale walipo duniani wanayafurahia sana matokeo haya na kama TOT wataziona tena nyavu za Chelsea katika hizi dakika za lala salama basi kesho watatushambulia kama nyuki ili kuhakikisha wanapata ushindi mnono na kujisafishia njia ya kurudisha ubingwa wa EPL pale Old Trafford

Mkuu waangalia mechi ipi?
 
Naona wakuu mmeshinda kwa utata. Hongereni ligi inaendelea kesho Emirates stadium hapo na sie tutaifanya hiwe open zaidi.

Mhhhh! Mkuu AW sijui kama tuna ubavu huo, maana naona Wachezaji wetu wengi wameshakata tamaa kabisa na kauli za wa jina wako za hivi karibuni nazo haziwapi motivation yoyote ile Wachezaji. Pia MANU sasa hivi wana confidence ya hali ya juu hivyo wanacheza kwa moyo wa kujituma utadhani wamekunywa vikombe vya Babu, lakini itakuwa poa sana kama tutaweza kuwaadhiri kesho, pia nahisi utakuwa mchezo mzuri sana.
 
Kutokana na utata unaoendelea kutitokeza kila siku ni bora FIFA wakubali kutumia video reply.Wachezaji wa siku hizi hawana fair play,nakumbuka kuna kipindi Paulo Di Canio alipewa tuzo ya Fair Play alikuwa kwenye position ya kufunga lakini kulikuwa na mchezaji ameumia jamaa hakufunga goli.Kwa kasi na pressure ya soka ya sasa ni vigumu kwa waamuzi kushuhudia baadhi ya matukio so inakuwa rahisi sana kushawishiwa na wachezaji kufanya maamuzi ambayo si sahihi,baadhi ya matukio yenye utata

  1. Goli la Pedro Mendes, game ya Man U VS Spurs
  2. Goli la Frank Lampard,England VS Germany
  3. Penati karibu 4 zilikataliwa game ya Chelsea VS Barca
  4. Thiery Henry alituliza mpira kwa mkono akampa krosi Gallas akafunga, France VS Ireland
Labda tusubiri atakapoondoka Blatter atakayekuja labda atakubali madadiliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom