Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bonge la controversy simchezo. Mpira si ukivuka mstari kidogo ni goli tayari au mpaka mpira wote? Manake ule karibia nusu na zaidi umevuka mstari na kama mshika kibendera angekuwa kwenye kona kule angekubali goli.

LAW 10 – THE METHOD OF SCORING​

Goal Scored​
A goal is scored when the whole of the ball passes over the goal line, between the goalposts and under the crossbar, provided that no
infringement of the Laws of the Game has been committed previously by the team scoring the goal.

Conclusion: Chelsea wamepewa goli la bure​
 
Mpira ukigusa laini tayari ni bao. Its not a must for the whole damn thing to hit the net.

Naah mkuu hio pia ndio ulikuwa mtazamo wangu kwamba mpira ukivuka kidogo tu mstari liwe goli lakini sheria haisemi hivyo.sheria inasema mpira lazima wote uvuke mstari ndio liwe goli.kwa kuangalia hio sheria lile sio goli na mshika kibendera hakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuona ule mpira kama wote umevuka amerukia kwenye conclusion kwamba ni goli.


Sasa kama kuna mda wa kumzonga refa kama vile kwanini kusiwe na mda wa kureview play kama hizi zenye utata ?
 
LAW 10 – THE METHOD OF SCORING​

Goal Scored​
A goal is scored when the whole of the ball passes over the goal line, between the goalposts and under the crossbar, provided that no
infringement of the Laws of the Game has been committed previously by the team scoring the goal.

Conclusion: Chelsea wamepewa goli la bure​

Acha unazi! Goli la halali kabisa
 
Mie nilichanganya naona nilijua wamelikataa nadhani mpira ukivuka kihasi kile ni goli tu haita make sense kunyima goli kama lile

Nimejaribu kuattach picha ya goli linapoingia nimeshindwa ila soma link yangu hapo juu nimeweka sheria namba 10 ya goli
 
LAW 10 – THE METHOD OF SCORING​

Goal Scored​
A goal is scored when the whole of the ball passes over the goal line, between the goalposts and under the crossbar, provided that no
infringement of the Laws of the Game has been committed previously by the team scoring the goal.

Conclusion: Chelsea wamepewa goli la bure​
Ssawa sawa mkuu ni mimi nilikosea pale nilijua kwamba mpira ukivuka kwa kiwango chochote kile ni goli lakini si hivyo.

Na post yangu pia nilijua imekataliwa kwahio nilichanganya habari. Haikutakiwa liwe goli kwa kutokana na sheria
 
Naah mkuu hio pia ndio ulikuwa mtazamo wangu kwamba mpira ukivuka kidogo tu mstari liwe goli lakini sheria haisemi hivyo.sheria inasema mpira lazima wote uvuke mstari ndio liwe goli.kwa kuangalia hio sheria lile sio goli na mshika kibendera hakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuona ule mpira kama wote umevuka amerukia kwenye conclusion kwamba ni goli.


Sasa kama kuna mda wa kumzonga refa kama vile kwanini kusiwe na mda wa kureview play kama hizi zenye utata ?

Mkuu,

hizi sheria ndivyo zilivyo. Zimeandikwa kitambo and they have not changed to accomodate the times.
To back pedal kidogo na kukumbuka world cup....lile bao la Lampard si lilivuka mstari wote na crossbar...lakini what
happened?...Jamaa alinyimwa bao la wazi despite numerous replays showing the dogone thing.

It makes sense kubadili hizi sheria to run with the current times. Kumbuka mpira ukigusa ile side chalkline
si unasemekana umetoka nje na ni throwball?..why should it be different for a goal line situation?

Tafakari hapo.
 
Mkuu,

hizi sheria ndivyo zilivyo. Zimeandikwa kitambo and they have not changed to accomodate the times.
To back pedal na kukumbuka world cup....lile bao la Lampard si lilivuka mstari wote na crosbar...lakini what
happened?...Jamaa alinyimwa bao la wazi dispite numerous replays showing the dogone thing.

It makes sense kubadili hizi sheria to run with the current times. Kumbuka mpira ukigusa ile side chalkline
si unasemekana umetoka nje na ni throwball?..why should it be different for a goal line situation?

Tafakari hapo.

Ndio maana nikasema kwamba mpia ukivuka kiwango chochote inabidi liwe goli lakini sheria haisemi hivyo na ndio kinachofanya lile lisiwe goli.

Kuwa fair fifa should introduce video technology.
 
45'

HALF TIME It is 1-1 at the break. Sandro with a stunning half-volley to open the scoring, before controversy reigned. Replay's show Lampard's shot did not cross the line. What a huge moment in the title race.

45'

goal.gif
GOAL Gomes with an absolute clanger! Lampard's drive from 25-yards out, the Brazilian goalie lets the ball through his legs and desperately tries to claw it back. He grabs the ball, but the referee gives a goal after discussion with his linesman



44'

Huge controversy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom