Yaani anceloti lazima abadili mfumo leo la sivyo imekula kwetunashangaa kwanini hatutumii wingi ya kulia ukizingatia beki yao kule ni mbovu!!!!!!!!!!!!
Waache MANU waende zao...hii chama ni moto wa kuotea mbali. Sijui kama Chelsea wataweza kufanya chochote katika dakika zilizobaki ambazi ni nyingi mno!...Mpira ni dakika 90
HT tumeshachapwa 2-0 da cjui tu itakuwaje second half
Yaani anceloti lazima abadili mfumo leo la sivyo imekula kwetu
Imekula kwenu mkuu.....Man U ushindi ni wetu.....
Yaani anceloti lazima abadili mfumo leo la sivyo imekula kwetu
Sikujua kama leo mechi ni dakika 45 tu!
Kwa jinsi hii naona tuna kazi kurudisha haya magoliNi ngumu kupitisha mpira katikati kwenye 18 ya Manure, kuna midfielders wengi, dawa ni kutumia width, especially right wing maana O'Shea sio mzuri....Kalou anatakiwa acheze wide zaidi ya alivyocheza kipindi cha kwanza.
nashangaa kwanini hatutumii wingi ya kulia ukizingatia beki yao kule ni mbovu!!!!!!!!!!!!
Leo hadi muombe poa kudadeki
Endelea kushangaa tu mkuu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mungiki Brother yuko Live chacha rudisheni magoli ndio tuongee maana last week mliomba tuwabebe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chacha ingiza Tor the Res
BTW Mwambie MB aweke pics ... ..
Acha tu mama wa kwanzamna hali ngumu leo