Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-0-0BD9F31B00000578-63_634x286.jpg



article-1382147-0BDA803700000578-280_634x373.jpg




article-1382147-0BD9C91200000578-195_634x523.jpg




article-1382147-0BDA7FC400000578-552_634x490.jpg






Hongereni wakuu huwa ham-dissapoint you're truly truly truly the mafioso team. Dhuluma huwa hailipi muulizeni Ghadafi et al khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Nafahamu leo mtafyata mkia hadi mechi ya Arsenal iishe khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
Naona wakuu mmeshinda kwa utata. Hongereni ligi inaendelea kesho Emirates stadium hapo na sie tutaifanya hiwe open zaidi.

Watengeneze cowshed pengine wataacha kuhonga kila mechi. Waje Emirates leo waangalie mpira khe khe kheeeeeeeeeeee sisi huwa hatushindi kwa bahasha wala mpunga, tunashinda kwa kutandaza soka. Angalia sasa jinsi wanavyotiana ngeo, kuanzia kwa Barca hadi kwa mafioso team khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nimekubali tajiri la kirusia ni mafia.Chelsea hamwoni aibu ?.
 


Mungiki Brother alikuwa Kibera jana kuona huu mpambano tamaa yake ya kurudi bongo bado ni kali ingawa Chelsick wanasuasua, kumbe hata kule Gunners wanamkondesha
hapa walikuwa wanaenda kushuhudia mpambano wa Gunners waliotoka kidedea na Manure khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Taking into consideration the importance of tomorrow's match to both teams, it's my hope that the game between Chelsea VS MANU will be one of the best matches of the season
 
80_carlo_1305975a.jpg


Lose and you’re axed, Carlo
khe khe khe khe kheeeee
 
Haya wakuu wa Darajani, muda ndio umedaia hivyo, timu yetu leo ni hii:
Cech, Ivanovic, Terry, David Luiz, Cole, Mikel, Lampard, Essien, Kalou, Drogba, Malouda.
Subs: Turnbull, Ramires, Torres, Benayoun, Ferreira, Alex, Anelka.
 
Aisee yani hata hamu sina Beki yetu inatuangusha
 
Tatizo tunapasi mpira taratibu kwenye half ya Manure, hivyo wanapata nafasi ya kujipanga.
 
Waache MANU waende zao...hii chama ni moto wa kuotea mbali. Sijui kama Chelsea wataweza kufanya chochote katika dakika zilizobaki ambazi ni nyingi mno!...Mpira ni dakika 90
 
Waache MANU waende zao...hii chama ni moto wa kuotea mbali. Sijui kama Chelsea wataweza kufanya chochote katika dakika zilizobaki ambazi ni nyingi mno!...Mpira ni dakika 90


Tunahitaji goli kabla ya HT, vinginevyo itakuwa ngumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom