Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Naona wakuu mmeshinda kwa utata. Hongereni ligi inaendelea kesho Emirates stadium hapo na sie tutaifanya hiwe open zaidi.
![]()
Lose and you're axed, Carlo
khe khe khe khe kheeeee
Waache MANU waende zao...hii chama ni moto wa kuotea mbali. Sijui kama Chelsea wataweza kufanya chochote katika dakika zilizobaki ambazi ni nyingi mno!...Mpira ni dakika 90