Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna Jamaa m1 alichambua vzr sana jana kwenye uzi wenu kwa mechi mlizoshinda nyingi sana bila ya kuwa na Kiungo m1 pia akaonesha mlipomtumia huyo kiungo mlipoteza kiasi gn ushindi "Henandezi" km sikosei.
EPL ni ngumu sana mwishoni, kuna timu zinatafuta top 4 na kuna zile zinakwepa kushuka daraja, zinakomaa sana yaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia huwa hamna mipango nnje ya uwanja zaidi ya kutegemea ndani ya uwanja pekee.

Man City walibebwa mechi ya pili nyuma kabla hajacheza na Watford na kushinda 3-1 wakipewa penati ya kipumbavu kabisa iliyofungwa na Kuna Aguero.
EPL ni ngumu sana mwishoni, kuna timu zinatafuta top 4 na kuna zile zinakwepa kushuka daraja, zinakomaa sana yaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia huwa hamna mipango nnje ya uwanja zaidi ya kutegemea ndani ya uwanja pekee.

Man City walibebwa mechi ya pili nyuma kabla hajacheza na Watford na kushinda 3-1 wakipewa penati ya kipumbavu kabisa iliyofungwa na Kuna Aguero.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ili uwe bingwa favor za namna ile huwa zinajitokeza.
 
Ule itabiri wangu wa Spurs kutokuwepo top 4 watu waliuita ramli na sasa ndiko Spurs wanakokwenda

Nakumbusha tu msimamo wa ligi baada ya tar 12/May
  1. Mancity
  2. Liverpool
  3. Chelsea
  4. Man united
  5. Spurs
  6. Arsenal

Nadhani umesahau kuwa Arsenal kwa asilimia 95% ameshamaliza mechi Ngumu/Kubwa zote tofauti na Chelsea.

Kwahiyo usitegemee kumaliza ligi juu ya Arsenal
 
Nadhani umesahau kuwa Arsenal kwa asilimia 95% ameshamaliza mechi Ngumu/Kubwa zote tofauti na Chelsea.

Kwahiyo usitegemee kumaliza ligi juu ya Arsenal
Sasa hivi hatuangalii ugumu wa mechi ni kuotea tu, Hata Fulamu atamlamba mtu mzima we ngoja uone
 
Nadhani umesahau kuwa Arsenal kwa asilimia 95% ameshamaliza mechi Ngumu/Kubwa zote tofauti na Chelsea.

Kwahiyo usitegemee kumaliza ligi juu ya Arsenal
Chelsea iko na 3, hao wengine watagombea hiyo ya nne, watajua wenyewe
 
Zinedine Zidane amerejea tena kunako klabu ya Real Madrid. Amesaini mpaka 2022. Sakata hili limenikumbusha ile kauli ya Hazard

"Napenda sana kufanya kazi na Zidane"

mwisho wa kunukuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea jana walizingua sana..wachezaji wanacheza back pass nyingi sana wakiwa hawajafungwa..ila wakifungwa ndo wanajifanya kua sirias na kutafuta goli.
Kikosi cha wapuuzi sana Ile , kocha asije kulaumu akifukuzwa make mechi za kuchukua point anazingua sana...leo mechi moja ya mkononi tungekuatunaesabu kumshusha Toteham
 
Chelsea jana walizingua sana..wachezaji wanacheza back pass nyingi sana wakiwa hawajafungwa..ila wakifungwa ndo wanajifanya kua sirias na kutafuta goli.
Kikosi cha wapuuzi sana Ile , kocha asije kulaumu akifukuzwa make mechi za kuchukua point anazingua sana...leo mechi moja ya mkononi tungekuatunaesabu kumshusha Toteham
Ndugu, inawezekana kweli Chelsea hawakucheza kwa kiwango ulichotegemea ila nina pointi chache ya kutafakarisha kwa pande zote mbili za shilingi, yaani Chelsea kutocheza vizuri na Wolves kuwa na nidhamu ya hali ya juu
  1. Wolves walikuwa na nidhamu ya hali ya juu kwenye Defense, hata wangecheza na timu yyeyote kwenye top six matokeo yangekuwa just jirani na yale ya Chelsea. Na hii inaonyesha kuwa Wolve wanajiandaaga vya kutosha wanapokutana na big teams tofauti na wanapokutana na timu ndogo
  2. Form ya Higuaín jana haikuwa nzuri, muda mwingi alikuwa hatembei uwanjani, just stationed in one place
  3. Hata Jourginho jana alicheza zile pressing au deep passes ambazo ndizo tulizitaka tuzione Zaidi kuliko horizontal passes
  4. Tactically jana Chelsea walikuwa low of course kwa sababu ya uimara wa safu ya ulinzi ya Wolves. Tactically wangetafuta hata magoli kupitia penalty, wale wolves walikuwa too physical na angekuwepo Lofta Cheek tangu mwanzo, au Hazard angecheza zaidi ule mchezo wake wa kupenya defence kila mara, lazima chache zingezaa penalti
 
Kamwe timu zilizozoea makombe kama Real Madrid wasingeweza kubaki na kocha kama Solari
Na hapa watu wanaoikandia Chelsea kufukuza makocha wajifunze hapa, timu kubwa ni makombe, kama kocha huleti makombe utafungasha virago tu
Sari asipoleta makombe sanasana tutamvumilia mwaka wa pili tu
 
Ni kweli kurudi kwa Zinedine Zidane Real Madrid kutaongeza uwezekano wa Hazard kuhama Chelsea ila kama ban ya Chelsea ikiendelea kuwepo, yaani Chelsea waklinyimwa kusajili kiangazi hii, no way Hazard ataondoka. Aidha yeye hataondoka kwa nguvu au timu haitamruhusu mpaka mkataba wake uishe ili aondoke bure baada ya 2020 na hapo atakuwa na miaka 29, interests ya Real Madrid itakuwa imeisha kwani watakuwa wamehsampata replacement ya CR7.

Kama Ban ya Chelsea itaondolewa angalau kwa mwaka huu, 100% Hazard ataondoka kwa sababu Chelsea atakuwa na uwezo wa kumreplace
 
Bandugu ni kwa nini cfc yetu hii ya sari anakomaa na wachezaji wasio na tamaa ya magoli ebu ona city tot liver ni mfano wa timu anbazo ukija umejilegeza wanakulegeza kweli
.
Nashangaa gemu kama ya dynamo mtu kama pedro hana umakini dah ungekuwapo hata odoi na loftas in First sessions tungeuwa sita
 
Ni kweli kurudi kwa Zinedine Zidane Real Madrid kutaongeza uwezekano wa Hazard kuhama Chelsea ila kama ban ya Chelsea ikiendelea kuwepo, yaani Chelsea waklinyimwa kusajili kiangazi hii, no way Hazard ataondoka. Aidha yeye hataondoka kwa nguvu au timu haitamruhusu mpaka mkataba wake uishe ili aondoke bure baada ya 2020 na hapo atakuwa na miaka 29, interests ya Real Madrid itakuwa imeisha kwani watakuwa wamehsampata replacement ya CR7.

Kama Ban ya Chelsea itaondolewa angalau kwa mwaka huu, 100% Hazard ataondoka kwa sababu Chelsea atakuwa na uwezo wa kumreplace
huyu ndio wa kuondoka hazard maana ashakuwa too much km mtu hana mapenzi na timu kama kina kun aguero for city, drogba for cfcn. K tumwache aende
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom