Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chanzo cha kunyimwa hiyo viza ni kp hasa hadi asitishe hayo yote?

Sent using Jamii Forums mobile app

Yeye ana uraia wa Russia na Israel.

Russia wanalalamikiwa kumwua agent wa UK kwa kutumia biological weapon, na wamemwua ndani ya ardhi ya Uingireza (inavyosemekana).

Sasa kwa sababu jamaa ni rafiki wa Putin, wakambania kirenew, so kwa kutumia pass ya Israel anaingia kuangalia mechi tu.
 
Kumbe..., daaah...! Aiseee, yani niko nnje ya dunia kabisa, ss c unaona hata hizo habari nilikuwa sizijui kabisa?
Yeye ana uraia wa Russia na Israel.

Russia wanalalamikiwa kumwua agent wa UK kwa kutumia biological weapon, na wamemwua ndani ya ardhi ya Uingireza (inavyosemekana).

Sasa kwa sababu jamaa ni rafiki wa Putin, wakambania kirenew, so kwa kutumia pass ya Israel anaingia kuangalia mechi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini Russia ilimuua huyo Mu-UK kwa sababu zipi hasa au kuna inshu za msingi za usiri kuhusu Russia alizi-expose UK ndiyomaana walimmaliza?
Yeye ana uraia wa Russia na Israel.

Russia wanalalamikiwa kumwua agent wa UK kwa kutumia biological weapon, na wamemwua ndani ya ardhi ya Uingireza (inavyosemekana).

Sasa kwa sababu jamaa ni rafiki wa Putin, wakambania kirenew, so kwa kutumia pass ya Israel anaingia kuangalia mechi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lkn umeniacha kwny mataa kuhusu habari hiyo "Double agent case" ni aina ya kesi gani hiyo Chifu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni mtanzania unayefanya kazi usalama wa taifa.

Kwa uficho unakubaliana na Usalama wa taifa wa nchi nyingine kuwaizia taarifa za nchi yako. Double agent, serving two countries at par.

Au kwenye mission za nje ya nchi unaamua kuasi moja kwa moja na kufanya kazi na nchi nyingine (usaliti).
 
Wewe ni mtanzania unayefanya kazi usalama wa taifa.

Kwa uficho unakubaliana na Usalama wa taifa wa nchi nyingine kuwaizia taarifa za nchi yako. Double agent, serving two countries at par.

Au kwenye mission za nje ya nchi unaamua kuasi moja kwa moja na kufanya kazi na nchi nyingine (usaliti).
Nimekupata vizuri sana Kaka, so inamaana Russia waliamua kummaliza baada ya kugundua UK wameshamstukia Raia wao alikuwa akiwaibia Russia siri za nchi yao, so ili kufuta ushahidi waliona wammalize mazima tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekupata vizuri sana Kaka, so inamaana Russia waliamua kummaliza baada ya kugundua UK wameshamstukia Raia wao alikuwa akiwaibia Russia siri za nchi yao, so ili kufuta ushahidi waliona wammalize mazima tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa ndo naangalia updates, jamaa hakufa kumbe.

Maana walikuwa poisoned yeye na mwanae wa kike kwa kutumia sumu ambazo kuna makubaliano ya kutozitumia.

Na ilikuwa nchini Uingereza, waliowafanyia ni Russians, kwa hiyo Uingereza ikafukuza officials wa Russia na Russia nayo ikafanya hivyo.

Baada ya kuangalia updates naona walipona, ila uhusiano wa hizo nchi umeteteleka. Hata kombe la Dunia Uingereza hawakupeleka officials Russia.
 
Interest haiwezi kupungua maana kawekeza hela zake pale. It is possible to run a business in UK while in Israel.

Sent using Jamii Forums mobile app

Interest in terms ya kuipenda timu, kuwa involved kwa football issues kama zamani.

Kama unakumbuka alikuwa hadi anasajili wachezaji anaowakubali mwenyewe bila hata kocha kupenda.
 
Aiseee...asante sana kunipa updates zote Kaka, uko vzr sn kimadini Chifu.

"Time is wealthy when it's timed consecutively"
Hapa ndo naangalia updates, jamaa hakufa kumbe.

Maana walikuwa poisoned yeye na mwanae wa kike kwa kutumia sumu ambazo kuna makubaliano ya kutozitumia.

Na ilikuwa nchini Uingereza, waliowafanyia ni Russians, kwa hiyo Uingereza ikafukuza officials wa Russia na Russia nayo ikafanya hivyo.

Baada ya kuangalia updates naona walipona, ila uhusiano wa hizo nchi umeteteleka. Hata kombe la Dunia Uingereza hawakupeleka officials Russia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Interest in terms ya kuipenda timu, kuwa involved kwa football issues kama zamani.

Kama unakumbuka alikuwa hadi anasajili wachezaji anaowakubali mwenyewe bila hata kocha kupenda.
Ni kweli kabisa, tena hapa ni kipindi kile ambapo Mourinho alikuwa anamuamini sana Didie Drogba huku Abrahamovich alikuwa akimpenda sana Chievichenco akitaka awe anacheza nafasi ya aliyokuwa akicheza Didie Drogba huku Mourinho akipingana na Abrahamovich.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Komaeni basi majogoo ili yule mbaguzi wa wa waafrika(Pep Gadiola) asije kujivunia ni kubeba tena ubingwa kwa mara ya pili.

"Time is wealthy when it's timed consecutively"

Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa ana mkikosi wa kufa mtu, anatoa jiwe anaingiza jiwe.

Tulitegemea mtulinde mkaachia.

Jamaa siyo mchezo, ni kuomba bahati tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom