Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama Pedro angekua mtulivu sa ivi tungekua na goli tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ilikuwa goli tano za wazi (kati ya hizo kafunga moja), short on target zote tano za kipindi cha kwanza zilikuwa ni za Pedro. Hata hivyo Pedro kafufuka (kazaliwa upya) baada ya ile incident ya Kepa kukataa kufanyiwa Sub
 
Chelsea New Technical Director

The Blues are looking at Luis Campos as a potential appointment to fill the technical director role that has been vacant since the departure of Michael Emenalo in November 2017.

The former technical director was the go-between for managers and club director Marina Granovskaia, with Roman Abramovich's right-hand woman being the person to negotiate deals with clubs and contracts with players.

The 53-year-old has worked at both Monaco and Real Madrid before and was a main figure in the likes of Kylian Mbappe, Tiemoue Bakayoko, Thomas Lemar and Bernardo Silva all going through the Ligue 1 outfit's ranks
Furthermore, he has shown with his previous signings and bringing players through the ranks that he is keen to give youth a chance, something that will go down well with Chelsea supporters.

Who is Luis Campos?
 
Mkuu ilikuwa goli tano za wazi (kati ya hizo kafunga moja), short on target zote tano za kipindi cha kwanza zilikuwa ni za Pedro. Hata hivyo Pedro kafufuka (kazaliwa upya) baada ya ile incident ya Kepa kukataa kufanyiwa Sub
Sure man. Ila kocha anapaswa kumpa Odoi game time ya kutosha. Kila anapopewa anaonyesha uwezo wake. Naanza kuhisi Odoi ni zaidi ya Pulisic. Lakini hebu cheki kauli ya kocha halafu fikiria kuna klabu zipo tayari kutoa pesa ili kumpata.


Naanza kuhisi huyu dogo anaondoka.
IMG_20190308_194100_389.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure man. Ila kocha anapaswa kumpa Odoi game time ya kutosha. Kila anapopewa anaonyesha uwezo wake. Naanza kuhisi Odoi ni zaidi ya Pulisic. Lakini hebu cheki kauli ya kocha halafu fikiria kuna klabu zipo tayari kutoa pesa ili kumpata.


Naanza kuhisi huyu dogo anaondoka.View attachment 1041022

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisoma sehemu
odoi alikuwa anamkarisha sancho benchi England under 18,
Sancho anamkarisha benchi pulisic , dortmund.



Sent using simu mbovu
 
Watu waongo ngoja nicheke eti odoi anamweka benchi Sancho duh... huyo Sancho alikuwa famous na danger Sana kwenye under 23 huko chini aliwahi kuwa maarufu we usiye fatilia unakurupuka tu na mhemko wako
Nilisoma sehemu
odoi alikuwa anamkarisha sancho benchi England under 18,
Sancho anamkarisha benchi pulisic , dortmund.



Sent using simu mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure man. Ila kocha anapaswa kumpa Odoi game time ya kutosha. Kila anapopewa anaonyesha uwezo wake. Naanza kuhisi Odoi ni zaidi ya Pulisic. Lakini hebu cheki kauli ya kocha halafu fikiria kuna klabu zipo tayari kutoa pesa ili kumpata.


Naanza kuhisi huyu dogo anaondoka.View attachment 1041022

Sent using Jamii Forums mobile app
Sarri ni mzuri wa kukariri mambo, Mbape kawa top akiwa 19 ni kwa sababu alipewa nafasi, ODOI kashaproove kuwa anaweza kuleta matokeo kwa miaka 18, basi si angempa hata 20mins kila game?
 
Hazard On Chelsea Contract

243753D6-861B-41D6-B0C2-43F4EB67CBEF.jpeg

In a recent interview, former team mate Cesc Fabregas had with Cadena Ser about a chat he had with Hazard over his future, he had this to say.
‘I think he’s going to extend his contract with Chelsea. He’s a loyal player. He told me he would never fight with Chelsea to leave. This is his club, he has won so much in England,’ Fabregas told Cadena Ser.
 
Sure man. Ila kocha anapaswa kumpa Odoi game time ya kutosha. Kila anapopewa anaonyesha uwezo wake. Naanza kuhisi Odoi ni zaidi ya Pulisic. Lakini hebu cheki kauli ya kocha halafu fikiria kuna klabu zipo tayari kutoa pesa ili kumpata.


Naanza kuhisi huyu dogo anaondoka.View attachment 1041022

Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha yuko sahihi. Bado Odoi hajafika top. He needs to improve hata yeye hilo analikubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha yuko sahihi. Bado Odoi hajafika top. He needs to improve hata yeye hilo analikubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Odoi anastahili kuongezewa muda na mechi, ni kweli hajafika top lakini Sarri nae kuna ukweli ambao hauoni. Atafikaje top akiwa anapewa dkd 10 tena kwenye baadhi ya mechi za Europa tu. Sisemi awe first XI lakini aongezewe muda hata wa dk 20 kila mechi including EPL
 
Ule itabiri wangu wa Spurs kutokuwepo top 4 watu waliuita ramli na sasa ndiko Spurs wanakokwenda

Nakumbusha tu msimamo wa ligi baada ya tar 12/May
  1. Mancity
  2. Liverpool
  3. Chelsea
  4. Man united
  5. Spurs
  6. Arsenal
 
Ule itabiri wangu wa Spurs kutokuwepo top 4 watu waliuita ramli na sasa ndiko Spurs wanakokwenda

Nakumbusha tu msimamo wa ligi baada ya tar 12/May
  1. Mancity
  2. Liverpool
  3. Chelsea
  4. Man united
  5. Spurs
  6. Arsenal
Kati ya Kitu unachokosea kuandika na kufikiria ni kumweka chelsea nafas ya 3 hata kama una mech mkononi. Wolves ananyonyoa mtu leo
 
Kati ya Kitu unachokosea kuandika na kufikiria ni kumweka chelsea nafas ya 3 hata kama una mech mkononi. Wolves ananyonyoa mtu leo
Karibu tuangalie burudani leo, Chelsea sio ile ya kichwa cha mwenda wazimu tena
 
Kati ya Kitu unachokosea kuandika na kufikiria ni kumweka chelsea nafas ya 3 hata kama una mech mkononi. Wolves ananyonyoa mtu leo
Timu ambayo inaweza maintain matokeo na labda wakabadilishana nafasi ni Man U na Chelsea, Spurs na Arsenal bado ni walewale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom