Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umeongea fact



Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa mpaka sasa bado kuna watu wanamtetea Kepa kwa upumbavu alioufanya.
Lakini watu wanapaswa kufahamu kuwa ule ni uamuzi unaotoka technical bench. And possibly kocha wa makipa ndiye kasuggest Kepa atolewe. Na kipa wa makocha ndo wanajua zaidi nani mzuri wapi na nani anafaa wapi.
Possibly walijua Caballero anaweza kusaidia zaidi kwenye penalty kuliko Kepa. Na yeye ni nani apinge uamuzi huo?
Hakuna sababu yoyote ya kujustify tendo la Kepa. Nimeskia mpaka commentator anasema "I have never seen this before". Na Maurizio Sarri kafanya kumsitiri Kepa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mchezaji kagoma kutoka sijawahi ona.. Ngoja nikajenge taifa Chelsea yangu hii basi tu
 
Kilichosomwa Pale ni Kwamba Alikataa kutoka

Hayo mengine ya kujitetea yatabaki kuwa ya kwake.

Kocha anapoandaa Mabadiliko Mchezaji wajibu wako ni kumtii kocha kwa Kutoka bila ya Kuhoji kwamba unaweza kuendelea na Mchezo au huwezi.

Ni sawa na TEVEZ aliyeingizwa uwanjani imebaki dakika 1 kipindi yupo Man City akagoma kuingia akidai kwa dakika moja iliyobakia hata akiingia hawezi badilisha chochote! Huu ni utovu wa nidhamu.
Shit, hapa mnakuza tu ukiwemo wewe Ngwaba, kulikuwa na misunderstanding na kocha kakiri hiyo (fuatilia haya mahojiano maalumu kwa jili ya hiyo incident) . Ilikuwa hivi, daktari aliwasili kwenye benji baada ya dakika nne na hivyo Sarri alichukua uamuzi wa kumbadilsiha Kepa akidhani ameumia na hataweza kwenda kwenye penalting shootouts. Daktari aliporudi na baada ya kuelewana hiyo kitu imeevaporate hewani. Wapinzani wa Chelsea natakiwa mpambane na hali zenu huko kwenu badala ya kuhangaika na Chelsea
 
Shit, hapa mnakuza tu ukiwemo wewe Ngwaba, kulikuwa na misunderstanding na kocha kakiri hiyo (fuatilia haya mahojiano maalumu kwa jili ya hiyo incident) . Ilikuwa hivi, daktari aliwasili kwenye benji baada ya dakika nne na hivyo Sarri alichukua uamuzi wa kumbadilsiha Kepa akidhani ameumia na hataweza kwenda kwenye penalting shootouts. Daktari aliporudi na baada ya kuelewana hiyo kitu imeevaporate hewani. Wapinzani wa Chelsea natakiwa mpambane na hali zenu huko kwenu badala ya kuhangaika na Chelsea


Nakushangaa Sana Kile tulichokiona Live uwanjani unataka tukibadilishe Kwa Habari za Magezeti.

Ni sawa na Mtu aliyejishuhudia akipimwa Kwa SD-Bioline na UNIGOLD akagundulika kuwa ana maambukizi ya VVD then akajifanya Kuamini kauli za Mganga wa Kienyeji Kuwa hana maambukizi.

Kwahiyo iwapo kocha Kaamua Kukutoa uwanjani akiamini tu kuwa umeumia wakati unaweza kuendelea na Mchezo, taratibu zinasema usitoke?

Hivi unataka kutuaminisha kiwa tulichokiona uwanjani haikuwa uhalisia bali ni Sinema tu uhalisi ni Hizi habari zinaroshwa mitandaoni sasahivi zaidi ya Masaa 12 baada ya Mechi?

√ Bango la Mabadiliko limeshaekwa tayari
√ Caballero ameshapasha kuingia
√ Sarri anafoka kwa Hasira
√ Kepa anashauriwa na Luis Stoke
√ Refa anamuashiria Kepa Stoke
√ Kepa ananyoosha mikono kuashiria hatotoka
√ Benchi zima la ufundi la Chelsea limenyanyuka kutoridhika na kitendo cha Kepa

Then unatwambia tulichokiona sio uhalisia Bali ni Acting?

Tafuta hoja ya kumtetea Kepa.

Kama Kocha anadhani tu kuwa mchezaji Hawezi Kuendelea na Mchezo wakati Mchezaji mwenyewe anajiona yupo fiti akagoma kutoka na ukahisi yupo sahihi kwasababu anaweza kuendelea na Mchezo! Hilo litakuwa linaruhusiwa only kwenye Chelsea.
 
Mkuu mm ni Chelsea wewe ni Liverpool Ila katika hili misimamo yetu iko mlengo unaofanana. Mchezaji yeyote anapotaka kutolewa na kocha anapaswa atoke. Kitendo cha Kepa kumtuma daktari kuwa hatoki kwa sababu yuko fit ni sawa na Hazard atolewe kwa sababu ya tactic reasons alafu akatalie uwanjani eti yuko fiti na anaumudu mchezo. Juzi kawasub Salah kaingizwa Origi na ikabidi Salah atoke
Nakushangaa Sana Kile tulichokiona Live uwanjani unataka tukibadilishe Kwa Habari za Magezeti.

Ni sawa na Mtu aliyejishuhudia akipimwa Kwa SD-Bioline na UNIGOLD akagundulika kuwa ana maambukizi ya VVD then akajifanya Kuamini kauli za Mganga wa Kienyeji Kuwa hana maambukizi.

Kwahiyo iwapo kocha Kaamua Kukutoa uwanjani akiamini tu kuwa umeumia wakati unaweza kuendelea na Mchezo, taratibu zinasema usitoke?

Hivi unataka kutuaminisha kiwa tulichokiona uwanjani haikuwa uhalisia bali ni Sinema tu uhalisi ni Hizi habari zinaroshwa mitandaoni sasahivi zaidi ya Masaa 12 baada ya Mechi?

√ Bango la Mabadiliko limeshaekwa tayari
√ Caballero ameshapasha kuingia
√ Sarri anafoka kwa Hasira
√ Kepa anashauriwa na Luis Stoke
√ Refa anamuashiria Kepa Stoke
√ Kepa ananyoosha mikono kuashiria hatotoka
√ Benchi zima la ufundi la Chelsea limenyanyuka kutoridhika na kitendo cha Kepa

Then unatwambia tulichokiona sio uhalisia Bali ni Acting?

Tafuta hoja ya kumtetea Kepa.

Kama Kocha anadhani tu kuwa mchezaji Hawezi Kuendelea na Mchezo wakati Mchezaji mwenyewe anajiona yupo fiti akagoma kutoka na ukahisi yupo sahihi kwasababu anaweza kuendelea na Mchezo! Hilo litakuwa linaruhusiwa only kwenye Chelsea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua huyu Sarri Mafegi naye chizi...we kipa umepambana dakika 120 bila kuruhusu goli hlf atokeee tu aseme We Kepa njoo nje, penalt atadaka huyu mwingine. Hamuoni hiyo ni dharau. Aliyeonesha uhuni wa kwanza ni Mafegi mana dogo kalinda lango muda wote. Mafegi ni wa kuangaliwa pia, msi-base side moja tuu, dogo ubishi anao lakin mafegi apunguze dharau.

Van Gaal Kombe la Dunia ilikuaje??
 
Kipa alitaka apambane mpaka Dakika ya mwisho japo sio heshima kisoka lakini ameonesha ushujaa Fulani hivi ..

Sarri alipaswa/anapaswa kuelewa hilo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatetea uozo

Hivi mchezaji anaanzaje kumgomea kocha

Hapa ndio ninapowapa heshima akina Fergeson na Jose bila kumsahau papaa Zahera

Kipa akigoma kutoka uwanjani, mamlaka ya kocha yatakuwa yapi sasa?

After all inajulikana kuwa Caballero ni golikipa bora kwenye penalty shout out, Van Gaal alitumia hiyo mbinu world cup, City wenyewe walikuwa wanaogopa kama Caballero angeingia kwenye matuta, then haka katoto kanakuja kugoma kutoka ....... Hakana nidhamu kabisa.

Ingekuwa mimi ndio Sari, ningempiga benchi kipa mpaka akili imkae vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua huyu Sarri Mafegi naye chizi...we kipa umepambana dakika 120 bila kuruhusu goli hlf atokeee tu aseme We Kepa njoo nje, penalt atadaka huyu mwingine. Hamuoni hiyo ni dharau. Aliyeonesha uhuni wa kwanza ni Mafegi mana dogo kalinda lango muda wote. Mafegi ni wa kuangaliwa pia, msi-base side moja tuu, dogo ubishi anao lakin mafegi apunguze dharau.
Duh kwahiyo na striker akipambana afunge hat trick iwe goli 3 bila dakika za mwisho mwisho akifanyiwa sub akatae kutoka?

AU

Striker afunge goli 3, halafu iwe goli 3 - 3, akifanyiwa sub inabidi agome kutoka maana amepambania timu?

Soka ni team sport, kwahiyo lazima wachezaji wakubaliane na huo ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatetea uozo

Hivi mchezaji anaanzaje kumgomea kocha

Hapa ndio ninapowapa heshima akina Fergeson na Jose bila kumsahau papaa Zahera

Kipa akigoma kutoka uwanjani, mamlaka ya kocha yatakuwa yapi sasa?

After all inajulikana kuwa Caballero ni golikipa bora kwenye penalty shout out, Van Gaal alitumia hiyo mbinu world cup, City wenyewe walikuwa wanaogopa kama Caballero angeingia kwenye matuta, then haka katoto kanakuja kugoma kutoka ....... Hakana nidhamu kabisa.

Ingekuwa mimi ndio Sari, ningempiga benchi kipa mpaka akili imkae vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona poyoyo nyingi Mzee, Unamlaumu kepa bila kujua sababu n nn?

Sub yoyote tena ya sehemu nyeti kama ya goli keeper huwa inapagwa mazoezini , Kwa hali ilivyoonekana sub ya keeper Hawakupanga atolewe may be kocha alitaka abadili kutokana na sababu hizi...

>Labda alidhani kipa ameumia au hata kama hajaumia sana ila itamcost katika penalty Ila kepa kwa kusisitiza aliwajibu kuwa yupo vizuri kuendelea

>Au labda kocha alitaka kufanya maamuzi ya papo kwa hapo bila hata kupanga katika mazoezi, Maana kama ni kitu walichopanga asingesubiri aumie ndo afanye sub,,, Kepa alichoelewa yeye anataka afanyiwe sub kutokana na injury kitu alichodhibitisha yupo vizur

Kwaiyo mvuta fegi (Sari) ndo mwenye matatizo kutokuwapanga wachezaji wake vizuri maana mimi naamini kama ni ishu waliopanga tokea wakiwa mazoezini sidhani kama angegoma kutoka




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona poyoyo nyingi Mzee, Unamlaumu kepa bila kujua sababu n nn?

Sub yoyote tena ya sehemu nyeti kama ya goli keeper huwa inapagwa mazoezini , Kwa hali ilivyoonekana sub ya keeper Hawakupanga atolewe may be kocha alitaka abadili kutokana na sababu hizi...

>Labda alidhani kipa ameumia au hata kama hajaumia sana ila itamcost katika penalty Ila kepa kwa kusisitiza aliwajibu kuwa yupo vizuri kuendelea

>Au labda kocha alitaka kufanya maamuzi ya papo kwa hapo bila hata kupanga katika mazoezi, Maana kama ni kitu walichopanga asingesubiri aumie ndo afanye sub,,, Kepa alichoelewa yeye anataka afanyiwe sub kutokana na injury kitu alichodhibitisha yupo vizur

Kwaiyo mvuta fegi (Sari) ndo mwenye matatizo kutokuwapanga wachezaji wake vizuri maana mimi naamini kama ni ishu waliopanga tokea wakiwa mazoezini sidhani kama angegoma kutoka




Sent using Jamii Forums mobile app
Blah blah nyiiiingi ....... Labda kama 10

Inaonekana hujui unachoongea, labda hivi, labda vile

Wewe baki na labda zako, mimi naongea kile nilichokiona uwanjani

Pamoja vi labda vyako mia mbili ulivyoviweka, je Sari alionekana kama ni happy man hata baada ya kuambiwa kepa hajaumia na anaweza kuendelea kucheza?

Baada ya dakika 120, kipindi wanajiandaa na matuta je Sari na Kepa waliweza hata kuangaliana usoni? Wote walikuwa wanakwepana tu.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona poyoyo nyingi Mzee, Unamlaumu kepa bila kujua sababu n nn?

Sub yoyote tena ya sehemu nyeti kama ya goli keeper huwa inapagwa mazoezini , Kwa hali ilivyoonekana sub ya keeper Hawakupanga atolewe may be kocha alitaka abadili kutokana na sababu hizi...

>Labda alidhani kipa ameumia au hata kama hajaumia sana ila itamcost katika penalty Ila kepa kwa kusisitiza aliwajibu kuwa yupo vizuri kuendelea

>Au labda kocha alitaka kufanya maamuzi ya papo kwa hapo bila hata kupanga katika mazoezi, Maana kama ni kitu walichopanga asingesubiri aumie ndo afanye sub,,, Kepa alichoelewa yeye anataka afanyiwe sub kutokana na injury kitu alichodhibitisha yupo vizur

Kwaiyo mvuta fegi (Sari) ndo mwenye matatizo kutokuwapanga wachezaji wake vizuri maana mimi naamini kama ni ishu waliopanga tokea wakiwa mazoezini sidhani kama angegoma kutoka




Sent using Jamii Forums mobile app
Usidanganyike, hakuna cha sub kupangwa kwenye mazoezi.
Unapaswa kufahamu mambo haya;

1. Game plan na game execution ni vitu viwili tofauti. Kuna muda mnapanga mikakati fulani alafu wapinzani wenu wanafanikiwa kuitibua. Hii italazimisha kocha kuadjust au hata kubadili game plan. Sasa kama game plan ikiwa ni kwamba utolewe ili Fulani aingie kuaccomodate changes lazima utii ili mambo yaende sawa.

2. Game plan yenu inaweza kwenda sawa ila mtu fulani akawa anaperform kinyume na mlivyotegemea. Na kwa mazingira haya kama anatolewa lazima ukubali kutoka.

3. Kuna maswali kama injuries, nk

Kwa vyovyote vile lazima wachezaji waonyeshe heshima kwa kocha hasa katika maeneo wazi kama haya ya uwanjani ambayo kila mtu anaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipa wa Chelsea anajua Sarri ni mtu mdogo tu pale Chelsea,hata maamuzi ya kumuweka benchi msimu mzima hana,pia nafikiri anaamini kuwa Sarri ataondoka soon na kumuacha yeye akiendelea kukaa golini..!
Sidhani kama angethubutu kufanya alichokifanya kwa kocha kama Guardiola..!
Hii kitu itaendelea kumuumiza mno Mzee Sarri..!
 
Mbona poyoyo nyingi Mzee, Unamlaumu kepa bila kujua sababu n nn?

Sub yoyote tena ya sehemu nyeti kama ya goli keeper huwa inapagwa mazoezini , Kwa hali ilivyoonekana sub ya keeper Hawakupanga atolewe may be kocha alitaka abadili kutokana na sababu hizi...

>Labda alidhani kipa ameumia au hata kama hajaumia sana ila itamcost katika penalty Ila kepa kwa kusisitiza aliwajibu kuwa yupo vizuri kuendelea

>Au labda kocha alitaka kufanya maamuzi ya papo kwa hapo bila hata kupanga katika mazoezi, Maana kama ni kitu walichopanga asingesubiri aumie ndo afanye sub,,, Kepa alichoelewa yeye anataka afanyiwe sub kutokana na injury kitu alichodhibitisha yupo vizur

Kwaiyo mvuta fegi (Sari) ndo mwenye matatizo kutokuwapanga wachezaji wake vizuri maana mimi naamini kama ni ishu waliopanga tokea wakiwa mazoezini sidhani kama angegoma kutoka




Sent using Jamii Forums mobile app

Sub inapangwa mazoezini?????????
Mkuu bora nyamaza usiaibike hapa.

Kwahiyo Kocha anapanga Kwenye Mazoezi kuwa Game ya Kesho Nitamtoa Willian dakika ya 70, Nitamtoa Higuan dakika ya 75 na nitamaliza na Kovacic dakika ya 80 si ndiyo?

Kwahiyo hapo ikitokezea Joginho au Alonso kuwa na Bad game basi hawezi kuwatoa Coz hakupanga tokea kwenye Mazoezi?

Kocha yoyote mpaka kufikia Mpira unaanza basi hajui nani atakayemfanyia Sub kwani Sub inafanywa kulingana na Hali ya Mchezo unavyoendelea
 
Nakushangaa Sana Kile tulichokiona Live uwanjani unataka tukibadilishe Kwa Habari za Magezeti.

Ni sawa na Mtu aliyejishuhudia akipimwa Kwa SD-Bioline na UNIGOLD akagundulika kuwa ana maambukizi ya VVD then akajifanya Kuamini kauli za Mganga wa Kienyeji Kuwa hana maambukizi.

Kwahiyo iwapo kocha Kaamua Kukutoa uwanjani akiamini tu kuwa umeumia wakati unaweza kuendelea na Mchezo, taratibu zinasema usitoke?

Hivi unataka kutuaminisha kiwa tulichokiona uwanjani haikuwa uhalisia bali ni Sinema tu uhalisi ni Hizi habari zinaroshwa mitandaoni sasahivi zaidi ya Masaa 12 baada ya Mechi?

√ Bango la Mabadiliko limeshaekwa tayari
√ Caballero ameshapasha kuingia
√ Sarri anafoka kwa Hasira
√ Kepa anashauriwa na Luis Stoke
√ Refa anamuashiria Kepa Stoke
√ Kepa ananyoosha mikono kuashiria hatotoka
√ Benchi zima la ufundi la Chelsea limenyanyuka kutoridhika na kitendo cha Kepa

Then unatwambia tulichokiona sio uhalisia Bali ni Acting?

Tafuta hoja ya kumtetea Kepa.

Kama Kocha anadhani tu kuwa mchezaji Hawezi Kuendelea na Mchezo wakati Mchezaji mwenyewe anajiona yupo fiti akagoma kutoka na ukahisi yupo sahihi kwasababu anaweza kuendelea na Mchezo! Hilo litakuwa linaruhusiwa only kwenye Chelsea.
Hakuna aliyekataa kwamba kumgomea kocha ni makossa, what happened is a total misunderstanding period
 
Nakushangaa Sana Kile tulichokiona Live uwanjani unataka tukibadilishe Kwa Habari za Magezeti.

Ni sawa na Mtu aliyejishuhudia akipimwa Kwa SD-Bioline na UNIGOLD akagundulika kuwa ana maambukizi ya VVD then akajifanya Kuamini kauli za Mganga wa Kienyeji Kuwa hana maambukizi.

Kwahiyo iwapo kocha Kaamua Kukutoa uwanjani akiamini tu kuwa umeumia wakati unaweza kuendelea na Mchezo, taratibu zinasema usitoke?

Hivi unataka kutuaminisha kiwa tulichokiona uwanjani haikuwa uhalisia bali ni Sinema tu uhalisi ni Hizi habari zinaroshwa mitandaoni sasahivi zaidi ya Masaa 12 baada ya Mechi?

√ Bango la Mabadiliko limeshaekwa tayari
√ Caballero ameshapasha kuingia
√ Sarri anafoka kwa Hasira
√ Kepa anashauriwa na Luis Stoke
√ Refa anamuashiria Kepa Stoke
√ Kepa ananyoosha mikono kuashiria hatotoka
√ Benchi zima la ufundi la Chelsea limenyanyuka kutoridhika na kitendo cha Kepa

Then unatwambia tulichokiona sio uhalisia Bali ni Acting?

Tafuta hoja ya kumtetea Kepa.

Kama Kocha anadhani tu kuwa mchezaji Hawezi Kuendelea na Mchezo wakati Mchezaji mwenyewe anajiona yupo fiti akagoma kutoka na ukahisi yupo sahihi kwasababu anaweza kuendelea na Mchezo! Hilo litakuwa linaruhusiwa only kwenye Chelsea.
Pamoja na kwamba ni mistaunderstanding, naona Sarri atatumia hekima yake ya uzee kumuadhibu ili siku nyingine hata kama Bosi kakosea inabidi tu atii mamlaka. Nategemea atawekwa bench kwenye game nyingi Zaidi hata zilke za EPL nao akina Green wapate angalau fursa ya kukaa golini. It is not a big deal, watu wa media wameshauza habari na sasa tunaizika hiyo incident
 
Nim
Sub inapangwa mazoezini?????????
Mkuu bora nyamaza usiaibike hapa.

Kwahiyo Kocha anapanga Kwenye Mazoezi kuwa Game ya Kesho Nitamtoa Willian dakika ya 70, Nitamtoa Higuan dakika ya 75 na nitamaliza na Kovacic dakika ya 80 si ndiyo?

Kwahiyo hapo ikitokezea Joginho au Alonso kuwa na Bad game basi hawezi kuwatoa Coz hakupanga tokea kwenye Mazoezi?

Kocha yoyote mpaka kufikia Mpira unaanza basi hajui nani atakayemfanyia Sub kwani Sub inafanywa kulingana na Hali ya Mchezo unavyoendelea
Nimesema kwenye sub ya kipa

KWA HALI ILIVYOONYESHA KIPA ALIJUA ANAFANYIWA SUB KUTOKANA NA INJURY KITU ALICHOTHIBITISHA KUWA YUPO FITI KUENDELEA.

KAMA INGEKUWA NI SUB ALIYO PLAN ASINGESUBIRI MPAKA AUMIE NDO AMTOE,,

TUKUMBUKE SUB ALIYOFANYAGA VAN GAL KIPINDI YUPO UHOLANZI UTAGUNDUA KABISA NI GAME PLAN AMBAYO ALIJUA KUWA YULE KIPA ANAYEINGIA NI MZURI KWA PENALT





Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom