lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,201
- 28,088
Kipa alitaka apambane mpaka Dakika ya mwisho japo sio heshima kisoka lakini ameonesha ushujaa Fulani hivi ..
Sarri alipaswa/anapaswa kuelewa hilo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole sana.
Dogo kakosea sana,amemdhalilisha kocha na pia amemkosea nidhamu Caballero. Willy ni mzuri kwenye matuta nadhani.
Dogo kakosea sana,amemdhalilisha kocha na pia amemkosea nidhamu Caballero. Willy ni mzuri kwenye matuta nadhani.

