Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unajua huyu Sarri Mafegi naye chizi...we kipa umepambana dakika 120 bila kuruhusu goli hlf atokeee tu aseme We Kepa njoo nje, penalt atadaka huyu mwingine. Hamuoni hiyo ni dharau. Aliyeonesha uhuni wa kwanza ni Mafegi mana dogo kalinda lango muda wote. Mafegi ni wa kuangaliwa pia, msi-base side moja tuu, dogo ubishi anao lakin mafegi apunguze dharau.
 
Nipo mzee baba ..iyo nafasi ya nne najua umenishikia tu.

Kwa leo nilijua tu City lazima angeshinda tu japo sikutegemea kama ni kwa penalties ..

Ila all in all tumefungwa..

Pole kwa fans wote wa Chelsea ..bado tuna Europa tunaeza fanya maajabu uko..



Sent using Jamii Forums mobile app
Mfanye maajabu gani wakati Washika Mitutu wapo huko?
 
Alichokifanya Kepa leo ni aibu kwa manager/coach Sari lakini zaidi pia ni aibu kwa club.

Nimekuwa nikisema hapa kwamba tatizo kubwa Chelsea ni club board.
Wachezaji wamepewa power kubwa mpaka wanafanya mambo ya kudhalilisha uwanjani. Na hata manager akichukua hatua utaona msukosuko unaanza kutokea kwa kocha. Huu upumbavu ni kama ule alioufanya Costa kwa Conte alafu kuna mazwazwa humu yakawa yanatetea ule upumbavu
Huo ujinga huwezi kumfanyia Guadiola, Wenger, Klopp, Pochetino, Mourinho au hata sir Fugerson ukabaki salama.

Club inapaswa kutengeneza mazingira ya kocha kuwa anaheshimiwa kama inavyostahili.

Alichofanya Keppa siyo profetional ni upumbavu mkubwa. And I guess ujinga kama huu kuna muda unafanyika huko nyuma ya camera japo hatuoni.

Bodi yenyewe ya kihuni. Kocha anaweza kubeba ubingwa ila akishindwa mechi 2/3 washaanza kuruhusu tetesi kwamba kocha atafukuzwa. Hakuna hata mtu kwenye bodi anasimama kumtetea kocha dhidi ya vyombo vya habari vya kiingereza.

Itafika mahali makocha makini kama Pep Guadiola, Pochetino, Zidane, na makocha wenye kariba kama yao watashindwa kuja kufanya kazi na Chelsea hii ya sasa. Maana haina heshima kwa makocha

Lastly mnapaswa kuelewa Chelsea ilipokuja imezifunika club pendwa za kiingereza na kuipa man U ushindani mkali. Lakini pia mmiliki Wa Chelsea ni mrusi na Urusi ina mahusiano mabaya na Uingereza. So waingereza wengi wako against Chelsea na wanaichukia sana. Kwa hiyo ni lazima media nyingi ziko against Chelsea. Guadiola alifungwa msimu wa 2016/2017 lakini sikusikia tetesi za kufukuzwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichokifanya Kepa leo ni aibu kwa manager/coach Sari lakini zaidi pia ni aibu kwa club.

Nimekuwa nikisema hapa kwamba tatizo kubwa Chelsea ni club board.
Wachezaji wamepewa power kubwa mpaka wanafanya mambo ya kudhalilisha uwanjani. Na hata manager akichukua hatua utaona msukosuko unaanza kutokea kwa kocha. Huu upumbavu ni kama ule alioufanya Costa kwa Conte alafu kuna mazwazwa humu yakawa yanatetea ule upumbavu
Huo ujinga huwezi kumfanyia Guadiola, Wenger, Klopp, Pochetino, Mourinho au hata sir Fugerson ukabaki salama.

Club inapaswa kutengeneza mazingira ya kocha kuwa anaheshimiwa kama inavyostahili.

Alichofanya Keppa siyo profetional ni upumbavu mkubwa. And I guess ujinga kama huu kuna muda unafanyika huko nyuma ya camera japo hatuoni.

Bodi yenyewe ya kihuni. Kocha anaweza kubeba ubingwa ila akishindwa mechi 2/3 washaanza kuruhusu tetesi kwamba kocha atafukuzwa. Hakuna hata mtu kwenye bodi anasimama kumtetea kocha dhidi ya vyombo vya habari vya kiingereza.

Itafika mahali makocha makini kama Pep Guadiola, Pochetino, Zidane, na makocha wenye kariba kama yao watashindwa kuja kufanya kazi na Chelsea hii ya sasa. Maana haina heshima kwa makocha

Lastly mnapaswa kuelewa Chelsea ilipokuja imezifunika club pendwa za kiingereza na kuipa man U ushindani mkali. Lakini pia mmiliki Wa Chelsea ni mrusi na Urusi ina mahusiano mabaya na Uingereza. So waingereza wengi wako against Chelsea na wanaichukia sana. Kwa hiyo ni lazima media nyingi ziko against Chelsea. Guadiola alifungwa msimu wa 2016/2017 lakini sikusikia tetesi za kufukuzwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hukutaka kusikia, maana timu ikifungwa lazima tetesi ziwepo na sio kweli Waingereza wanaisusia Chelsea kwa sababu mmiliki wake ni Mrusi, siasa na mpira wapi na wapi
 
Daima tunakuwa salama uwanjani Marco Alonso asipocheza
 
Kepa ametoa ufafanuzi kuhusu kitendo kilichodaiwa kamgomea kocha wake
Kepa Clarifies HWAt Hapen in Karabao Final Against Man City.jpg

The whole story has been exaggerated
 
Kepa ametoa ufafanuzi kuhusu kitendo kilichodaiwa kamgomea kocha wake
View attachment 1031381
The whole story has been exaggerated


Kilichosomwa Pale ni Kwamba Alikataa kutoka

Hayo mengine ya kujitetea yatabaki kuwa ya kwake.

Kocha anapoandaa Mabadiliko Mchezaji wajibu wako ni kumtii kocha kwa Kutoka bila ya Kuhoji kwamba unaweza kuendelea na Mchezo au huwezi.

Ni sawa na TEVEZ aliyeingizwa uwanjani imebaki dakika 1 kipindi yupo Man City akagoma kuingia akidai kwa dakika moja iliyobakia hata akiingia hawezi badilisha chochote! Huu ni utovu wa nidhamu.
 
Alichokifanya Kepa leo ni aibu kwa manager/coach Sari lakini zaidi pia ni aibu kwa club.

Nimekuwa nikisema hapa kwamba tatizo kubwa Chelsea ni club board.
Wachezaji wamepewa power kubwa mpaka wanafanya mambo ya kudhalilisha uwanjani. Na hata manager akichukua hatua utaona msukosuko unaanza kutokea kwa kocha. Huu upumbavu ni kama ule alioufanya Costa kwa Conte alafu kuna mazwazwa humu yakawa yanatetea ule upumbavu
Huo ujinga huwezi kumfanyia Guadiola, Wenger, Klopp, Pochetino, Mourinho au hata sir Fugerson ukabaki salama.

Club inapaswa kutengeneza mazingira ya kocha kuwa anaheshimiwa kama inavyostahili.

Alichofanya Keppa siyo profetional ni upumbavu mkubwa. And I guess ujinga kama huu kuna muda unafanyika huko nyuma ya camera japo hatuoni.

Bodi yenyewe ya kihuni. Kocha anaweza kubeba ubingwa ila akishindwa mechi 2/3 washaanza kuruhusu tetesi kwamba kocha atafukuzwa. Hakuna hata mtu kwenye bodi anasimama kumtetea kocha dhidi ya vyombo vya habari vya kiingereza.

Itafika mahali makocha makini kama Pep Guadiola, Pochetino, Zidane, na makocha wenye kariba kama yao watashindwa kuja kufanya kazi na Chelsea hii ya sasa. Maana haina heshima kwa makocha

Lastly mnapaswa kuelewa Chelsea ilipokuja imezifunika club pendwa za kiingereza na kuipa man U ushindani mkali. Lakini pia mmiliki Wa Chelsea ni mrusi na Urusi ina mahusiano mabaya na Uingereza. So waingereza wengi wako against Chelsea na wanaichukia sana. Kwa hiyo ni lazima media nyingi ziko against Chelsea. Guadiola alifungwa msimu wa 2016/2017 lakini sikusikia tetesi za kufukuzwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea fact



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifuatilia video za mazoezi hyo jamaa anaelewanaga na Jognho tu kucheka kuongea kukumbatiana ila waliiobaki wnaona ni shida huyu sarrr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom