The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,434
Kila timu inayokutana na chelsea saiv kwenye Epl inajua tayar kama cyo itaondoka na point zote 3 kutoka kwa chelsea basi lazima wagawane point. Yan hiyo ndy philosophy ya Engalnd saiv. Ingekua ni mtoano, au chelsea atoke au penalt zipigwe hlf hapo ndy itumike bahat kuamua nani apite
