Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,739
- 1,585
Wenye akili watalielewa hili ila wengi sijui kama watasoma hili bandiko lenye nukuu za Conte.Menejimenti ilifanya nn baada ya kuaddress mabadiliko ya wachezaji? #SackView attachment 1026405
Na mimi nimesema humu kwamba Sarri ameshasema hawezi kubadili mfumo wakati plan A yake ya kwanza bado haijaeleweka. Na pia aina ya wachezaji tulionao ni shida. No wonder why Zidane anataka apewe £200 M za usajiri na power ya kuuza na kununua wachezaji katika club. Vinginevyo anajua yatampata ya Conte na Sarri.
Sent using Jamii Forums mobile app