Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mkuu bado msimamo wako unaendelea au tunaongea lugha moja kwa sasa??
Mkuu,
Unapaswa ujue kwanza kwamba Sarri haeleweki kwa wengi kwasababu anaamini his plan A inapaswa ieleweke vizuri kabla ya kuswitch to plan A.
Second, ni vigumu kwa kocha kuimplement his style of football wakati unawacritise wachezaji wako in public

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,
Unapaswa ujue kwanza kwamba Sarri haeleweki kwa wengi kwasababu anaamini his plan A inapaswa ieleweke vizuri kabla ya kuswitch to plan A.
Second, ni vigumu kwa kocha kuimplement his style of football wakati unawacritise wachezaji wako in public

Sent using Jamii Forums mobile app
naona bado hatujaanza kuongea lugha moja, tufukie hili kaburi tutafukua then

Sarri ni msimamizi wa mazoezi
ova
 
Binafsi sijawahi kuwa na imani na amani na huyu kocha Sarri japo ktk nyuzi za nyuma kdg watu walimpigia upatu sn na kumwagia sifa nyingi sana na kuona ni bora ya Conte.
Kweli wakati ni mwalimu wa kila kitu. Kaja hata hajamaliza msimu watu tayari washakuja na wimbo wa #SARRIOUT! Kocha hy ni mzuri lkn kwa timu za kawaida tu zile ambazo hazina presha na hata zikikosa kuwepo ndani ya top 4 mbali na kupambana kutwaa kombe ni kawaida tu. Lkn kwa timu kama Chelsea bado asubiri sana.
Ukija kuna member anasema angepewa timu hii Pep isingeleta matokeo, nakataa kabisa mm. Chelsea japo ina kikosi kibov lkn sio kiasi hicho. Sarri kakosa mbinu mbadala ndo maana hana jpya na hata hz mbinu mbadala huenda hajiamini kabisaaaa kama zitaleta matokeo changa. #CHELSEAVIPIGOVIENDELEE japo mashabiki twaumia lkn hakuna namna.
Conclusion
Matatizo makuu Chelsea yapo kwa Kocha na menejimenti pia!
 
Na mahali pakubwa palipomfelisha Sarri ni kwa Kante, kiukweli kuona Kante anaondolewa DM nilisema ngoja niwe mpole nione wapi tutafika.

Sasa hivi naona Joginho upepo umekata kabisa.
Kuna watu wanasema kante hawezi kucheza pahari pa joginho kwenye huu mfumo Wa sariball, mtu pekee angeweza ni fabregas>Monaco.
Hii ni kweli?

Sent using simu mbovu
 
Unachosema nakubaliana nacho japo Sarri is too predictable kiasi kwamba akitoka Kovacic unajua anaingia Barkley, akitoka Pedro unajua anaingia willian na hakuna twist of the formation au tactics. Mata jana kamakamata Joginho na timu haikuwa na mbadala wa njia ya kujikwamua.
Je Conte aliondoka kwa sababu hizo?
Make kama kuna mtu alikuwa na magic of tactics alikuwa ni Conte lakini mwezi kama huu wengi wenu mlikuwa mnadai Conte out

Sent using Jamii Forums mobile app
Conte, MOU na hata Sarri ataondoka kwa sababu ya kutukana na kukosana na wachezaji muhimu kwenye timu
One of the primary resons Chelsea haichezi vizuri ni motivation hakuna kwa sababu kocha kawatukana, kwanza timu nzima na baadaye Hazard kwenye vyombo vya habari. Content alikosana na Diego, Hazard, Fabrigas, Willian na wengineo. Na nafikiri kosa la Conte pekee la timu kuvurunda second season yake ni hiyo ya kugombana na wachezaji otherwise Conte ni kocha mzuri when it come to changing formations that suit the game, deploy tactics etc na ndio maan msimu wake wa kwanza tu kachukua ndoo kubwa. MOU sina haja ya kumsemea, hata akiwa na timu mbovu anaweza kuifunga timu kama Manacity, Tatizo la MOU ni kugombana na wachezaji muhimu kila akienda
 
Mimi naona defense inazingua saana,.. Rudger na Luiz wote wanacheza kama watu wa mwisho,... Zaidi niliyemchoka ni Luiz, kanachezaga mpira wa kujichelewesha chelewesha hivi, halafu uwezo wa kukaba haupo,.. Anacheza kama kiungo wa juu,... Ni mvivu, ni bora yule dogo kuliko Luiz anazamisha ngalawa kabisa... Sasa maisha haya ya kila siku tulie sisi tuuu, ni maisha gani...!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assume timu hii tuliyonayo apewe Pep, ataweza kudeliver? Pia ukisoma ujue kuelewa namaanisha nini. Mimi siyo namtetea Sarri, lakini tatizo ni je Sarri aliletwa na nani?
Waliomleta walijirisha?
Je atakayeletwa ataweza kutupa makombe katika hali ya sasa iliyo ndani ya klub ambapo bodi inanunua wachezaji ovyo ovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Chelsea ni kocha sio wachezaji
Nakubaliana na wewe, Chelsea ina quality players hata kama sio wa kugombania ubingwa lakini wachezaji quality wa kubakia top 4 wapo ila kocha hana mbinu, yaani mzee Sarri kaishiwa kabisaaa. PEP akipewa hii timu atapata matokeo tofauti na hizi. Alipokuwa na Man City mwaka wake wa kwanza aliiwezesha kubakia top 4
 
Kuna watu wanasema kante hawezi kucheza pahari pa joginho kwenye huu mfumo Wa sariball, mtu pekee angeweza ni fabregas>Monaco.
Hii ni kweli?

Sent using simu mbovu

Kuna wachezaji ukishakuwa nao kwenye kikosi wewe kama kocha lazima uhakikishe mfumo wako una wa-accomodate.

Kante ni rare species kwenye soccer, kwa kipindi nilichoangalia mpira, namwona Makelele kupitia Kante, ni watu ambao wao ndiyo nguzo ya mfumo wako, kama huwezi kuwatumia kama nguzo kufeli kunakuhusu.
 
Kuna watu wanasema kante hawezi kucheza pahari pa joginho kwenye huu mfumo Wa sariball, mtu pekee angeweza ni fabregas>Monaco.
Hii ni kweli?

Sent using simu mbovu
Hata mimi nilitaka kuamini hivyo lakini sasa nakubalian na wale wanaomtaka Kante arudi CMF. Kante anazuia na kuwafanya mabeki wacheze vizuri, hivi sasa kuna fans wanaamini uwezo wa Rudiger, Aspi, Luiz ni mdogo mimi nasema no, Rudiger, Aspi, Luiz ni ma fullback wazuri sana ila Kiungo anaruhusu mafuriko makubwa kaisi kwamba hata uwe hodari kama nani lazima tu mara mseme Luiz mbovu, Rudiger mzito or Aspi kiwango kimeshuka nk. Central Mild-field kuna shida tena kubwa. Kante akirudi hapo atapunguza hizi counter attack za kijinga jinga
 
Mnacheza tena na city jpili.......hlf sasa ni fainali.....pep anataka amalizane na Carabao kwanza.....hii fainali msipotumia mfumo wa 8-1-1 mnakula 9, cyo kiganja na kidole kimoja tena bali ni 9 mnakula
 
BBC pundit Jimmy Floyd Hasselbaink, who scored 81 goals for Chelsea, said these are "worrying times" for his former club.

"They've got important matches coming up and they need to pick themselves up," he said. "Without the ball they showed no reaction, no hunger to get the ball back. It's all nice with the ball, but they didn't create.

"Chelsea are in trouble. Something needs to change. The balance in midfield is not right.

"Sarri sticks to his beliefs. That is the system he wants to play, fair enough, but something is not right in that midfield.

"Chelsea are not creating enough for the strikers."
 
Mnacheza tena na city jpili.......hlf sasa ni fainali.....pep anataka amalizane na Carabao kwanza.....hii fainali msipotumia mfumo wa 8-1-1 mnakula 9, cyo kiganja na kidole kimoja tena bali ni 9 mnakula
Tushaazoea, hata zikiingia 10 sawa tu, mimi ushindi wangu na trophy yangu mwaka huu ni kuona sari katimuliwa nje ya darajani
 
Huu uvumilivu team yetu imeutoa wapi, tunafungwa 6,4 ,3.bila kocha anavumiliwa? Abra anatuangusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom