Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hata kama final ya Carabao tutashinda japo tuna asilimia chache sana kufanya vizuri hiyo match bado sioni nafasi yake kwa Chelsea hii. Ameshindwa kutushawishi kwa kipimo kidogo. Gharama za kumbakisha huyu ni kubwa kuliko za kumuondoa sasa.

Hana plan B huyu mzee. Hatuwezi tukakosa kombe msimu huu tubaki tunakuangalia tu. Tunakoelekea ni kuzito kuliko tulipo sasa. Kale kamama ka kirusi kwenye bodi ya usajili hakatakiwi kuwepo pale ni kufukuza tu.

Am QUITTING mpaka Sarri atakapoondoka, This kind of humiliation can not be tolerated, am not an Arsenal fan, am a Chelsea fan. Blue forever!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawazuia wachezaji wasicheze long bal na counter attact kama plan B ya kupata matokeo
Sasa wachezaji wameamua kucheza pasee ile sarribal ya short passes and pieces: Mpira uanenda kushoto kulia nyuma sana na mbele kidogo halafu kushoto kulia nyuma, kushoto, nyuma kulia mpaka dk 90 zinaisha hakuna goli wala mtoto wake na goli
No plan B, no strategy, no tactics, no techniques just formalities
 
Steve kasema
IMG-20190219-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujenga utamaduni inachukua muda. Siyo swala la miezi 5 tena katika league ambayo ni bussy league. Nakumbuka msimu wa 2016/2017 tukiwa na Conte tulimfunga Pep kwao Itihad 3-1 darajani pia akapigwa 2-1. It was his first season. Baadae alivumiliwa na baadae aliwanunua wachezaje wanaofaa mfumo wake.

Tunaweza kutaka Sarri aondoke leo, lakini je akija Zidane atapewa fungu la usajiri au bodi ndo itamuachia akina Giroud, Alonso, Barkley, Willian, Pedro, Batshuay, Bakayoko, Zapacosta, Emerson na huyu Higuani?
Je atatupa ubingwa kwa wachezaji hawa?
Je tuna uhakika bodi itamletea wachezaji anaowataka?

Chelsea imekuwa mbovu sana na kukosa mara nyingi kwenye top 4 baada ya hii sera mpya mbovu ya usajiri. Na pia ununuzi wa wachezaji ni holela. Hakuna umakini kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujenga utamaduni inachukua muda. Siyo swala la miezi 5 tena katika league ambayo ni bussy league. Nakumbuka msimu wa 2016/2017 tukiwa na Conte tulimfunga Pep kwao Itihad 3-1 darajani pia akapigwa 2-1. It was his first season. Baadae alivumiliwa na baadae aliwanunua wachezaje wanaofaa mfumo wake.

Tunaweza kutaka Sarri aondoke leo, lakini je akija Zidane atapewa fungu la usajiri au bodi ndo itamuachia akina Giroud, Alonso, Barkley, Willian, Pedro, Batshuay, Bakayoko, Zapacosta, Emerson na huyu Higuani?
Je atatupa ubingwa kwa wachezaji hawa?
Je tuna uhakika bodi itamletea wachezaji anaowataka?

Chelsea imekuwa mbovu sana na kukosa mara nyingi kwenye top 4 baada ya hii sera mpya mbovu ya usajiri. Na pia ununuzi wa wachezaji ni holela. Hakuna umakini kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
huna nyimbo ww unOna sari ana mbinu mbadala Akifungw goli moja azuuu wala aahambulii ni pasi jifikirie
 
Kawazuia wachezaji wasicheze long bal na counter attact kama plan B ya kupata matokeo
Sasa wachezaji wameamua kucheza pasee ile sarribal ya short passes and pieces: Mpira uanenda kushoto kulia nyuma sana na mbele kidogo halafu kushoto kulia nyuma, kushoto, nyuma kulia mpaka dk 90 zinaisha hakuna goli wala mtoto wake na goli
No plan B, no strategy, no tactics, no techniques just formalities
naomba yule asiyejitambua anaya copy twitter asituletee uj wake hapa maana anamteteaga sarr bila kufikilia
 
Hata kama final ya Carabao tutashinda japo tuna asilimia chache sana kufanya vizuri hiyo match bado sioni nafasi yake kwa Chelsea hii. Ameshindwa kutushawishi kwa kipimo kidogo. Gharama za kumbakisha huyu ni kubwa kuliko za kumuondoa sasa.

Hana plan B huyu mzee. Hatuwezi tukakosa kombe msimu huu tubaki tunakuangalia tu. Tunakoelekea ni kuzito kuliko tulipo sasa. Kale kamama ka kirusi kwenye bodi ya usajili hakatakiwi kuwepo pale ni kufukuza tu.

Am QUITTING mpaka Sarri atakapoondoka, This kind of humiliation can not be tolerated, am not an Arsenal fan, am a Chelsea fan. Blue forever!!

Sent using Jamii Forums mobile app
mfumo mmja pas bila goli n ungese umefungwa hauzibi aucount attack kocha asepe cfc hatujawahi kuwa n kocha mbovu k sarr
 
huna nyimbo ww unOna sari ana mbinu mbadala Akifungw goli moja azuuu wala aahambulii ni pasi jifikirie
Assume timu hii tuliyonayo apewe Pep, ataweza kudeliver? Pia ukisoma ujue kuelewa namaanisha nini. Mimi siyo namtetea Sarri, lakini tatizo ni je Sarri aliletwa na nani?
Waliomleta walijirisha?
Je atakayeletwa ataweza kutupa makombe katika hali ya sasa iliyo ndani ya klub ambapo bodi inanunua wachezaji ovyo ovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assume timu hii tuliyonayo apewe Pep, ataweza kudeliver? Pia ukisoma ujue kuelewa namaanisha nini. Mimi siyo namtetea Sarri, lakini tatizo ni je Sarri aliletwa na nani?
Waliomleta walijirisha?
Je atakayeletwa ataweza kutupa makombe katika hali ya sasa iliyo ndani ya klub ambapo bodi inanunua wachezaji ovyo ovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
shida sio kombe shida nikipigo mfululizo ambapo timu haina changamoto kwa timu pinzani wait tupigwe na tot then city
 
Kujenga utamaduni inachukua muda. Siyo swala la miezi 5 tena katika league ambayo ni bussy league. Nakumbuka msimu wa 2016/2017 tukiwa na Conte tulimfunga Pep kwao Itihad 3-1 darajani pia akapigwa 2-1. It was his first season. Baadae alivumiliwa na baadae aliwanunua wachezaje wanaofaa mfumo wake.

Tunaweza kutaka Sarri aondoke leo, lakini je akija Zidane atapewa fungu la usajiri au bodi ndo itamuachia akina Giroud, Alonso, Barkley, Willian, Pedro, Batshuay, Bakayoko, Zapacosta, Emerson na huyu Higuani?
Je atatupa ubingwa kwa wachezaji hawa?
Je tuna uhakika bodi itamletea wachezaji anaowataka?

Chelsea imekuwa mbovu sana na kukosa mara nyingi kwenye top 4 baada ya hii sera mpya mbovu ya usajiri. Na pia ununuzi wa wachezaji ni holela. Hakuna umakini kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kyatile hakuna mtu anakukatalia, lakini kocha naye ni mbovu kwa sababu sio Chelsea tu wenye hii sera mbovu. Kocha mzuri lazima awe na plan b na tactics na tecniques angalau kama sio kuchukua kombe kubakia kwenye top 4 na kuchukua haya makombe madogo. Huyu wetu hana, hata akikaa 10 yrs it will be the same. Management nao hawampi kocha madaraka mpaka wamuamini. Sio kila kocha ana akili timamu. Aondoke tu vinginevy, akiendelea kuwepo Che tutajikuta tunafight kubakia kwenye ligi
 
Kule kwenye thread yetu ungeambiwa hujui football management, Sarri anajua zaidi yako.
Mkuu wao kwa maoni yao wataona ivyo ila kwa maoni yangu sioni chochote atakachotupa Sarri. Hebu angalia Conte alikua na plan B baada ya kufungwa na Arsenal alibadili mfumo kutoka 5-3-2 mpaka 3-5-2 ali switch chap na tukashinda mechi 13 mfululizo. Alichukua kombe kwa sababu aliona mfumo haumfai. Sasa huyu hafanyi rotation yoyote kwenye kikosi.

Kante kashinda PL na Ranieri akiwa DM

Kante kashinda PL na Conte akiwa DM

Kante kashinda WC na Deschamp akiwa DM

Kante kawafunga Man U na kuchukua FA akiwa DM.

Kwanini anashindwa kuswitch hata game kadhaa aone italeta matokeo gani.? Wazee tunawapenda ila mpaka sasa naanza kuamini Zidane anaweza kutufaa hata kama nilikua simuamini mwanzo ila hawezi kuwa mgumu kama Sarri.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
sarriball haiwezi kufanikiwa EPL...mark my words..

Kwanza tatizo la Mr mafegi ni stubborn kuelewa baadhi ya wachezaji alionao hawa fit style yake bado anawaamini

EPL ni very fast na tactical dunian inahitaji kocha tactical dynamic siyo huyu anayemini idea moja na sub za kukariri...





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wao kwa maoni yao wataona ivyo ila kwa maoni yangu sioni chochote atakachotupa Sarri. Hebu angalia Conte alikua na plan B baada ya kufungwa na Arsenal alibadili mfumo kutoka 5-3-2 mpaka 3-5-2 ali switch chap na tukashinda mechi 13 mfululizo. Alichukua kombe kwa sababu aliona mfumo haumfai. Sasa huyu hafanyi rotation yoyote kwenye kikosi.

Kante kashinda PL na Ranieri akiwa DM

Kante kashinda PL na Conte akiwa DM

Kante kashinda WC na Deschamp akiwa DM

Kante kawafunga Man U na kuchukua FA akiwa DM.

Kwanini anashindwa kuswitch hata game kadhaa aone italeta matokeo gani.? Wazee tunawapenda ila mpaka sasa naanza kuamini Zidane anaweza kutufaa hata kama nilikua simuamini mwanzo ila hawezi kuwa mgumu kama Sarri.


Sent using Jamii Forums mobile app

Na mahali pakubwa palipomfelisha Sarri ni kwa Kante, kiukweli kuona Kante anaondolewa DM nilisema ngoja niwe mpole nione wapi tutafika.

Sasa hivi naona Joginho upepo umekata kabisa.
 
Kyatile hakuna mtu anakukatalia, lakini kocha naye ni mbovu kwa sababu sio Chelsea tu wenye hii sera mbovu. Kocha mzuri lazima awe na plan b na tactics na tecniques angalau kama sio kuchukua kombe kubakia kwenye top 4 na kuchukua haya makombe madogo. Huyu wetu hana, hata akikaa 10 yrs it will be the same. Management nao hawampi kocha madaraka mpaka wamuamini. Sio kila kocha ana akili timamu. Aondoke tu vinginevy, akiendelea kuwepo Che tutajikuta tunafight kubakia kwenye ligi
Unachosema nakubaliana nacho japo Sarri is too predictable kiasi kwamba akitoka Kovacic unajua anaingia Barkley, akitoka Pedro unajua anaingia willian na hakuna twist of the formation au tactics. Mata jana kamakamata Joginho na timu haikuwa na mbadala wa njia ya kujikwamua.
Je Conte aliondoka kwa sababu hizo?
Make kama kuna mtu alikuwa na magic of tactics alikuwa ni Conte lakini mwezi kama huu wengi wenu mlikuwa mnadai Conte out

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assume timu hii tuliyonayo apewe Pep, ataweza kudeliver? Pia ukisoma ujue kuelewa namaanisha nini. Mimi siyo namtetea Sarri, lakini tatizo ni je Sarri aliletwa na nani?
Waliomleta walijirisha?
Je atakayeletwa ataweza kutupa makombe katika hali ya sasa iliyo ndani ya klub ambapo bodi inanunua wachezaji ovyo ovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Chelsea ni kocha sio wachezaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom