Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
😛😛😛😛😛 (WEAKEST)Kulingana na Line-up ya Man City Walker na Zinchenko ndiyo their weakest points kwa leo.
Mmepigwa SIX O'CLOCK
Mechi mbili kapigwa goli 10Yaani kipa wa Chelsea peke ake anafunika usajiri wa ARSENAL wa majira ya joto na dirisha dogo lakini kala kidato cha juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitokeze tafadhali..!Leo tutakwenda pale etihad kuchukua point tatu ..sio kutafuta draw..
Uwezo wa kushinda tunao, man city anafungika vizuri tu..
Gemu itaisha 1-2..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mvuta sigara tangu lini akawa na akili yule jamaa ile kichwa imejaa moshi
ni kweli ila ilikuwa 6 kwa 1 tayari utofauti huoMan city sio mara ya Kwanza kupiga 6 ,Man Utd alikula sita safi, ila poleni blues wenzangu hatujawai kupigwa hivi, Blue is the color.