Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kichapo cha mbwa mitu.
Wakati mpira unaanza walipewa point 1 - 1 chelsea akawa juu ya man u. Dakika tatu akashuka chini yake. Sasa nashangaa ameshuka tena mpaka nafasi ya sita. Kwann mancity wanawabeba Aesenal na Man U. Kwani si wangeshinda 5 tu. Chelsea iwe juu ya arsenal?
 
Man city sio mara ya Kwanza kupiga 6 ,Man Utd alikula sita safi, ila poleni blues wenzangu hatujawai kupigwa hivi, Blue is the color.
 
IMG_4978.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom