Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa mechi ya jana ukimtazama Higuain alikuwa anarudi nyuma kutafuta mipira na wakati team inampira tayr ni jambo la kuset move kwenda mbele.

Na lingine ambalo ni tatizo kwetu ambalo asipopata watu sahihi wa kufanya hivyo hata akiletwa Icardi bado tatizo litakuwepo. Kwa timu inayomiliki sana mpira lazima iwe na uwezo mkubwa wa kupiga penetration passes kwahiyo unapokutana na timu inapack bus uwe na uwezo wa ku penetrate mipira ifike kwa foward.

Sasa Chelsea ikiwa na mpira wakifika mbele Kante anapeleka kwa Azpilicueta au Pedro na yeye akishindwa kupiga Cross anarudisha nyuma tena vile vile upande wa Kovacic, Hazard na Alonso/Emerson tunakuwa tunazunguka tu nje ya box lao kwa pasi ambazo hazileti manufaa kwetu.
 
Habarini za wakati
IMG_20190131_183249_740.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni wanna Chelsea wenzangu. Katika siku niliyoumia ni Leo. Niliumia Jana baada ya matokeo. Nakupelekea Leo siku yangu kuwa mbaya sana kidogo nitoroke kazini. Lakini kwa sababu Mimi Ni mwanaume nikajipa moyo konde.

Lakini ndiyo matokeo hatuna namna inabidi tuyapokee ivo ivo. But naamini next game vijana watapamban na kurejesha heahima Stanford bridge.

Viva Chelsea. Chelsea 4reva

Sent using Jamii Forums mobile app
 
First, i would like to talk about the character of our players. Many have highlighted that our dressing room lacks leaders. It does not have players like John Terry or Frank Lampard, which i believe is very true. However, if its leaders that are missing then i disagree
 
This is why the likes of Mourinho, Conte and Sarri are losing/lost the dressing rooms. They have no actual authority over these players. When Jose told Terry, a club legend, that if h does not commit in training he'll spend 55 million and replace him John didn't hang his head
 
and get annoyed. He didn't flip out and go against his manager. He took it, worked hard and retained his coaches trust. Because he wanted to play for Chelsea. He wanted to wear the armband and the blue shirt. He wanted to prove Jose wrong and be on that pitch a Chelsea man
 
Chelsea vs Manchester United is on Monday night on 18 February. Kick off 19:30 and on BBC One in the UK. #CFC #MUFC
 
Sarri not only showed his anger yesterday after the defeat but he also singled out a few players. Hazard is among one of those players who were singled out and Sarri told him that he doesn't do what he is asked to do and rather plays how he wants to play. [Matt Law]
 
Cesar Azpilicueta revealed that Sarri and his players ‘spoke like men’ after the defeat: “We spoke as men between the manager and the players.
 
Chelsea stars ‘unhappy’ with Maurizio Sarri for unpopular policy despite grievances aired
Sarri Chelsea Manager and The Cigarette.jpg

The Italian kept his players in the dressing room for over an hour before facing the media last night.
But the former Napoli boss has been accused of ignoring grievances made by the Chelsea stars.
According to the Evening Standard, the squad have made it clear they do not think training on the same day as games is good for them.
Yet on Wednesday, Sarri held a training session that morning before facing the Cherries.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom