Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamani eenhe...
Nawakumbusha tu,yule Albino leo yupo katika first eleven ya City..!
Wish you all the best..!!!
 
Kamati ya chakula imeamua kuwa patakuwa na chakula lakini sahau kuhusu Wali au Ugali, Ni kila Mtu Kitumbua Kimoja tu Na kikombe cha maji.
Hapana Sukari ya kupika chai.
 
Dakika 90+nyongeza. Zitaamua.
Yaani man city ni wazembe kiasi gani wafungwe na Chelsea waliofungwa mnara wa 4G na AFC Bournemouth.?

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.

Hahaha, kulikuwa na sababu ya kuwakumbusha kile kipigo?
 
Tukutane hapa baadae.
IMG_20190210_185605_129.JPG


The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom