Peasant upo kamanda??!! nakusoma, leo ama zenu ama zetu!! ha ha
Watani poleni, ahsanteni for a good game tukutane May 7th tena kwenye mechi ya ligi.
Ahsante BJ, hongereni kwa ushindi. Nakutaia matokeo mazuri kwenye semi-final.
Belinda game imeshaisha, Mau U kashapita believe me. Kocha katuangusha, poor perfomer ever at history of Chelsea.
Peasant mzee angalia msimu ujao, huu hatujatoka hata MLISI.
Tena kuanzia sasa na mkae kimya kabisa. Angalau sie kwa mbaaali tunaweza ponea kikombe cha babu!
Anyway, its so hard to manage a club like chelsea as a manager where the OWNER is always on YOUR NECK. naambiwa na vyanzo vya Chelsea kwamba alitakiwa kuanza na TORESS na si Drogba kama wote tulivyofikiria lakini akalazimika.
OWNERS wakianza kuingilia maamuzi na team managers inakuwa matatizo, hasa kwa chelsea haya ndiyo yaliyomkimbiza Jose na wengineo kuondoka. MRUSI huyu ni MJINGA, pia anafikiri pesa ndiyo ushindi.
Kukuhakikishia haya, TORESS hakuwa target ya chelsea January, CHelsea ilihitaji Central defender wakati TERRY na ALEX wanaumwa, lakini kwa pesa zake na ujinga kamleta Toress na anataka apangwe kila game ili a justify manunuzi yake.
He is a looser as well, i think i dont like him MUCH.
My bad night.
Anyway, its so hard to manage a club like chelsea as a manager where the OWNER is always on YOUR NECK. naambiwa na vyanzo vya Chelsea kwamba alitakiwa kuanza na TORESS na si Drogba kama wote tulivyofikiria.
OWNERS wakianza kuingilia maamuzi na team managers inakuwa matatizo, hasa kwa chelsea haya ndiyo yaliyomkimbiza Jose na wengineo kuondoka. MRUSI huyu ni MJINGA, pia anafikiri pesa ndiyo ushindi.
Kukuhakikishia haya, TORESS hakuwa target ya chelsea January, CHelsea ilihitaji Central defender wakati TERRY na ALEX wanaumwa, lakini kwa pesa zake na ujinga kamleta Toress na anataka apangwe kila game ili a justify manunuzi yake.
He is a looser as well, i think i dont like him MUCH.
My bad night.
pole sanaI recommended Yoss to start along side Lampard and Essien at the mid - Drogba to start along side with Yury and Malouda. Ramires, Torres and Anelka to be at the waiting bench.
this result is not mine, i think CARLO will have nothing to prove at CHELSEA, i cant wait to see his days are very few at chelsea. - his life is less than remaining 45 min.
Anyway, its so hard to manage a club like chelsea as a manager where the OWNER is always on YOUR NECK. naambiwa na vyanzo vya Chelsea kwamba alitakiwa kuanza na TORESS na si Drogba kama wote tulivyofikiria lakini akalazimika.
OWNERS wakianza kuingilia maamuzi na team managers inakuwa matatizo, hasa kwa chelsea haya ndiyo yaliyomkimbiza Jose na wengineo kuondoka. MRUSI huyu ni MJINGA, pia anafikiri pesa ndiyo ushindi.
Kukuhakikishia haya, TORESS hakuwa target ya chelsea January, CHelsea ilihitaji Central defender wakati TERRY na ALEX wanaumwa, lakini kwa pesa zake na ujinga kamleta Toress na anataka apangwe kila game ili a justify manunuzi yake. Of couse wote tunajua Torres ni super striker lakini anahitaji muda kujuana na wachezaji wenzake, game kama hii lazima Manager awe na uhuru wa kuchagua good combination.
To me Roman is a looser as well, i think i dont like him MUCH, itachukua muda mrefu sana Chelsea kuchukua kombe la UEFA unlesss JOSE ARUDI msimu ujao.
My bad night.